BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,526
- 3,801
Kwa hapa Tanzania inakadiriwa kwamba miaka ya kuishi ni 45, japo wapo ambao wanafika mpaka 80 lakini wengi ni wacheza kwenye 45 mpaka 50 na baadhi mpaka 62.
Yaani miaka mitatu baada ya stress za kustaafu na mafao yametokomoea kusikojulikana.
Je, ikiwa umri wa kuishi ni miaka 45 wewe umebakiza mingapi?
Mimi nimebakiza miaka miwili.
Wewe je?
Yaani miaka mitatu baada ya stress za kustaafu na mafao yametokomoea kusikojulikana.
Je, ikiwa umri wa kuishi ni miaka 45 wewe umebakiza mingapi?
Mimi nimebakiza miaka miwili.
Wewe je?