YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,904
Rais mpya wa Marekani akiapishwa mabalozi wengi huwa pressure zinawapanda sababu kila Rais akiingia huwafungasha virago mabalozi na kuchangua wapya
Balozi aliyepo na akina Pompeo Secretary of state wa Marekani hawakuwa rafiki sana wa CCM na Serikali yake! Mwisho wao ni leo anapoapishwa Rais mpya
Kuanzia leo watakuwa hawalali usingizi wakijua ujuaji wao umefikia ukingoni
Kila silaha itakayofanyika juu ya Tanzania haitafanikiwa kuanzia Donald Trump na pompeo na balozi wa Marekani Tanzania na Amsterdam na Tundu Lissu.
Balozi aliyepo na akina Pompeo Secretary of state wa Marekani hawakuwa rafiki sana wa CCM na Serikali yake! Mwisho wao ni leo anapoapishwa Rais mpya
Kuanzia leo watakuwa hawalali usingizi wakijua ujuaji wao umefikia ukingoni
Kila silaha itakayofanyika juu ya Tanzania haitafanikiwa kuanzia Donald Trump na pompeo na balozi wa Marekani Tanzania na Amsterdam na Tundu Lissu.