Pasco_jr_ngumi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 1,802
- 282
habari wana JF
Hali za ajira, promoshen na utofauti wa mishahara ni majanga katika vyuo vya ualimu.....
Mtu ameanza kazi mwaka jana anamzidi mshahara mfanyakazi wa miaka 10 iliyopita!!
Back to topic: wafanyakazi waliojiendeleza digrii zao haztambuliwi! wapo wengi walio na degree ambazo si za ualimu. kinachonishangaza ni kuwa maboss wa wizara na wao wana degree ambazo si za ualimu..... mfano ni katibu mkuu ambaye ni mwanasheria na mkurugenz wa ualimu ambaye MPA....
Inakuja akikini mtumishi mwenye Masters ya Linguistic analipwa mshahara wa Diploma ya Ualimu alioanzia nao???.
Hali za ajira, promoshen na utofauti wa mishahara ni majanga katika vyuo vya ualimu.....
Mtu ameanza kazi mwaka jana anamzidi mshahara mfanyakazi wa miaka 10 iliyopita!!
Back to topic: wafanyakazi waliojiendeleza digrii zao haztambuliwi! wapo wengi walio na degree ambazo si za ualimu. kinachonishangaza ni kuwa maboss wa wizara na wao wana degree ambazo si za ualimu..... mfano ni katibu mkuu ambaye ni mwanasheria na mkurugenz wa ualimu ambaye MPA....
Inakuja akikini mtumishi mwenye Masters ya Linguistic analipwa mshahara wa Diploma ya Ualimu alioanzia nao???.