Hapo mmbea kati ya hao ndege na huyo nyoka na mleta mada nani? Kwani lazima umbea au hata kutafuta riziki kama jamaa wanavyoonekana. Mwanangu Mbuzi mzee umejuaje kuwa mwenzio anasutwa na wenzio?
Hapo mmbea kati ya hao ndege na huyo nyoka na mleta mada nani? Kwani lazima umbea au hata kutafuta riziki kama jamaa wanavyoonekana. Mwanangu Mbuzi mzee umejuaje kuwa mwenzio anasutwa na wenzio?
Wambea ni hao Kanga, wamzunguka Joka kama Mtalii, huku Jogoo wakidadisi, eti ni nini hiki chatembea bila miguu. Joka, yupo kazini, eti anatafuka kula, walahi riziki ya kujifanya mnyonge, huku unanyemelea maisha, si riziki bali ni uuwaji. Waacheni hao Kanga wajisogeze, karibu karibu kwa Chatu, huku Chatu akichagua, nani awe kitoweo.
Leo Joka kafaidi, kula Kanga bila kulipa bei. Umbeya utawafikisha pabaya, hawa Kanga kushangaa Joka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.