Umbea Umemtoka Dk.slaa

Antsadism

Member
Mar 22, 2008
17
0
MBEA UMEMTOKA DK.SLAA
Pamoja na kutaka kuwapotosha Watanzania kuwa fedha zilizochotwa isivyo halali na makampuni 22 kutoka mfuko wa madeni ya nje (EPA) katika benki kuu ya Tanzania (BoT) ni za serikali, mbunge wa karatu mkoani manyara (CHADEMA) Dr. Wilbroad Peter Slaa wiki hii ameumbuka katika mkutano wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania unaoendelea mjini Dodoma.

Dr. Slaa mwanasiasa alieukimbia upadri wa kanisa katoliki aliumbuliwa bungeni na waziri wa fedha, MUSTAFA HAID MKULO aliyesisitiza kuwa kauli yake kuhusu fedha hizo kwamba sio za serikali iko palepale na ndio inayosema ukweli.

Mbunge huyo wa karatu ambaye pia ni katibu mkuu wa chadema aliumbuliwa pia na mbunge wa mtera mkoani Dodoma (CCM) mzee John Samuel Malecela kuhusu ni nani hasa aliyeanzisha hoja inayohusu fedha hizo bungeni kati ya Dr. Slaa na wabunge wa chama cha mapinduzi.

Kimsingi hoja hiyo ilianzishwa na mbunge wa Busega mkoani Mwanza (CCM) Dr. Rafael Masunga Chengeni na “Kudakwa kichwa kichwa” na Dr. Slaa akidhani ingemsaidia kisiasa au chama chake, lakini mambo yanazidi kwenda ndivyo sivyo.

Namshauri Dr. Slaa aachane na “Umbeya” afanye siasa za kweli kama wanavyofanya wenzake akiwemo mwenyekiti wa taifa wa UDP John Momose Cheyo ambaye ni mbunge wa Bariadi Mashariki mkoani Shinyanga.

Akionyesha kutokua mnafiki Cheyo ndiye mbunge pekee kutoka kambi ya upinzani aliyeunga mkono bajeti ya serikali ya mwaka 2008/2009 na kutoa ufafanuzi yakinifu kuhusu msimamo wake huo usioyumba na hata kuyumbishwa na wanasiasa “Ucheara” kama Dr. Slaa.

Pamoja na mambo mengine, Cheyo alisema ameiunga mkono bajeti hiyo kutokana na ukaweli kwamba serikali ya CCM imeonyesha usikivu mkubwa, inashurika na inajitahidi kufanya marekebisho takribabani kila iliporuhusiwa vinginevyo na kamati ya bunge ya hesabu za serikali ambayo mbunge huyo wa bariadi mashariki ndiye mwenyekiti wake.

Hakika Dr. Slaa hatimaye “Umbea” umemtoka na kama ni mtu wa kujifunza basi amepata fundisho litakalomsaidia huko mbele.
 
Mzee hujatulia, inabidi upepewe na kuombewa ili mapepo ya ufisadi yatoke. Sisi hatujali nani kaleta sisi tunajali mali ya taifa.

Ushindwe na ulegee kabisa.

Aamen
 
sasa alieanzisha hoja ndio mshindi?
mshindi ni yule atakaeleta ufumbuzi wa kweli.
IN ANY CASE CCM NDIO WALIOANZISHA HII HOJA KWA KUPORAMALI NA HIZO WA WATANZANIA NA KUFICHA TAARIFA HADI WATU WENYE HASIRA ZAO WALIPOANZA KUZIRUSHA KWENYE MTANDAO.
 
Kwa waliopo Tanzania, wasome KULIKONI la LEO, makala ya 'Kona ya Hoja' ya Nyaronyo Kicheere ukurasa wa saba. Nyarongo amemwambia Mzindakaya 'sharaaaap' akiwa na maana anamwambia "shut up"... na wewe antsadism nakwambia sharaaap!!! Watanzania wa leo huwawezi!!! Tena huko kijijini seuse humu JF!!???
 
Hivi wewe Antisadism, una chuki binafsi na Dr Slaa au wewe una ubia na mafisadi? Naomba jibu
 
MBEA UMEMTOKA DK.SLAA
Pamoja na kutaka kuwapotosha Watanzania kuwa fedha zilizochotwa isivyo halali na makampuni 22 kutoka mfuko wa madeni ya nje (EPA) katika benki kuu ya Tanzania (BoT) ni za serikali, mbunge wa karatu mkoani manyara (CHADEMA) Dr. Wilbroad Peter Slaa wiki hii ameumbuka katika mkutano wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania unaoendelea mjini Dodoma.

Dr. Slaa mwanasiasa alieukimbia upadri wa kanisa katoliki aliumbuliwa bungeni na waziri wa fedha, MUSTAFA HAID MKULO aliyesisitiza kuwa kauli yake kuhusu fedha hizo kwamba sio za serikali iko palepale na ndio inayosema ukweli.

Mbunge huyo wa karatu ambaye pia ni katibu mkuu wa chadema aliumbuliwa pia na mbunge wa mtera mkoani Dodoma (CCM) mzee John Samuel Malecela kuhusu ni nani hasa aliyeanzisha hoja inayohusu fedha hizo bungeni kati ya Dr. Slaa na wabunge wa chama cha mapinduzi.

Kimsingi hoja hiyo ilianzishwa na mbunge wa Busega mkoani Mwanza (CCM) Dr. Rafael Masunga Chengeni na “Kudakwa kichwa kichwa” na Dr. Slaa akidhani ingemsaidia kisiasa au chama chake, lakini mambo yanazidi kwenda ndivyo sivyo.

Namshauri Dr. Slaa aachane na “Umbeya” afanye siasa za kweli kama wanavyofanya wenzake akiwemo mwenyekiti wa taifa wa UDP John Momose Cheyo ambaye ni mbunge wa Bariadi Mashariki mkoani Shinyanga.

Akionyesha kutokua mnafiki Cheyo ndiye mbunge pekee kutoka kambi ya upinzani aliyeunga mkono bajeti ya serikali ya mwaka 2008/2009 na kutoa ufafanuzi yakinifu kuhusu msimamo wake huo usioyumba na hata kuyumbishwa na wanasiasa “Ucheara” kama Dr. Slaa.

Pamoja na mambo mengine, Cheyo alisema ameiunga mkono bajeti hiyo kutokana na ukaweli kwamba serikali ya CCM imeonyesha usikivu mkubwa, inashurika na inajitahidi kufanya marekebisho takribabani kila iliporuhusiwa vinginevyo na kamati ya bunge ya hesabu za serikali ambayo mbunge huyo wa bariadi mashariki ndiye mwenyekiti wake.

Hakika Dr. Slaa hatimaye “Umbea” umemtoka na kama ni mtu wa kujifunza basi amepata fundisho litakalomsaidia huko mbele.


Punguza ugimbi wa ufisadi, unadhani ni mtanzania gani wa leo ambaye hajui kinacho endelea?

Hata wanao fanya kazi ya kuspin they are a bit smarter than you!, Nenda walau kwa wenzio wakupige msasa kwanza!
 
MBEA UMEMTOKA DK.SLAA
Pamoja na kutaka kuwapotosha Watanzania kuwa fedha zilizochotwa isivyo halali na makampuni 22 kutoka mfuko wa madeni ya nje (EPA) katika benki kuu ya Tanzania (BoT) ni za serikali, mbunge wa karatu mkoani manyara (CHADEMA) Dr. Wilbroad Peter Slaa wiki hii ameumbuka katika mkutano wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania unaoendelea mjini Dodoma.

Dr. Slaa mwanasiasa alieukimbia upadri wa kanisa katoliki aliumbuliwa bungeni na waziri wa fedha, MUSTAFA HAID MKULO aliyesisitiza kuwa kauli yake kuhusu fedha hizo kwamba sio za serikali iko palepale na ndio inayosema ukweli.

Mbunge huyo wa karatu ambaye pia ni katibu mkuu wa chadema aliumbuliwa pia na mbunge wa mtera mkoani Dodoma (CCM) mzee John Samuel Malecela kuhusu ni nani hasa aliyeanzisha hoja inayohusu fedha hizo bungeni kati ya Dr. Slaa na wabunge wa chama cha mapinduzi.

Kimsingi hoja hiyo ilianzishwa na mbunge wa Busega mkoani Mwanza (CCM) Dr. Rafael Masunga Chengeni na “Kudakwa kichwa kichwa” na Dr. Slaa akidhani ingemsaidia kisiasa au chama chake, lakini mambo yanazidi kwenda ndivyo sivyo.

Namshauri Dr. Slaa aachane na “Umbeya” afanye siasa za kweli kama wanavyofanya wenzake akiwemo mwenyekiti wa taifa wa UDP John Momose Cheyo ambaye ni mbunge wa Bariadi Mashariki mkoani Shinyanga.

Akionyesha kutokua mnafiki Cheyo ndiye mbunge pekee kutoka kambi ya upinzani aliyeunga mkono bajeti ya serikali ya mwaka 2008/2009 na kutoa ufafanuzi yakinifu kuhusu msimamo wake huo usioyumba na hata kuyumbishwa na wanasiasa “Ucheara” kama Dr. Slaa.

Pamoja na mambo mengine, Cheyo alisema ameiunga mkono bajeti hiyo kutokana na ukaweli kwamba serikali ya CCM imeonyesha usikivu mkubwa, inashurika na inajitahidi kufanya marekebisho takribabani kila iliporuhusiwa vinginevyo na kamati ya bunge ya hesabu za serikali ambayo mbunge huyo wa bariadi mashariki ndiye mwenyekiti wake.

Hakika Dr. Slaa hatimaye “Umbea” umemtoka na kama ni mtu wa kujifunza basi amepata fundisho litakalomsaidia huko mbele.
Your days are numbered!
 
Huyo nayeeeee!!!!! Pashkuna sijui katumwa? mtu mwenyewe hata haelewi anachokisema
 
mfa maji haishi kutapatapa ... aibu unaigeuza hasira ... unalo babuuu wee umeshaumbuka ... mwache aseme kwani hayo kama unayaona pumba kwetu yanamaana
 
Huyu Naye Katutokea Wapi Huy? Bila Shaka Ni Mtoto Wa Malecela, Au Chenge, You Are In The Wrong Truck
 
Baba mdogo jipange upya, naona unangata meno tu. Waliokutuma wamechemka. You are not smart enough to convey what they want. Unatetea hoja yako kwa kuingia kwenye maisha ya mtu. Kuacha upadri kwa Slaa kUNA UHUSIANO GANI NA UNACHOKISEMA.
 
watu wako siriazi hapa unaleta chuki binafsi!
lazima una matatizo makubwa.
ina maana wewe unawachukia watu, inabidi uchukie na kukemea matendo yao mabovu,
hapa tukoo kwenye swala la ufisadi, mtu anayeongoza kwa kuupiga vita badala ya kusapoti issue, unaletamambo nje ya pointi.
Sasa watu wangeanza hapa kuchambua mambo binafsi ya hawa mawaziri wenye kashfa, hapa si pasingetosha?
hebu zikumbuke kwa uchache tu, ni chafu na nyingi mno! Lakini watu hapa hawaziangalii hizo wanaangalia mustakabali wa taifa
 
Antsadism kama unaweza kutuma thread kama hii na wakati kama huu, hunipi kazi sana kukujua udogo wa ustaarabu wako hasa ukiwa maliwato (yaelekea huwa hutumii maji hata ile karatasi)
 
jamani msimshambulie sana hapa inavyoonekana yeye na wao lao moja tumsaidieni ili aelewe anacho kisema (kama mkulo anasema pesa ni zawanya biashara sawa tuna kubali je huyo bwana atupe jibu ukihifadhi pesa benki halafu zikazaibiwa zilizo ibiwa zi zakwako au za benki) ndio maana tuna sema pesa zilizo ibiwa ni za uma kwa sababu bot niya uma
 
Hata mafisadi wana wafuasi wao, hivyo huu ni muendelezo wa kifisadi tuu.

Hakuna haja ya kujadili kitu kama hiki kwani kinatupotezea wakati.
 
SADISM, What a name, jina lenyewe ni la kukodi. Sembuse mawazo yako. Chini kumekuwa na akili kuliko kichwa.
 
Slaa akiwa mkatoliki au whatever, sisi tunataka kuangalia mtu yoyote anayeweza kuturejeshea hali nzuri katika nchi yetu ili waTZ wafaidike na matunda ya nchi yetu.

Slaa keep going and you will come out with flying colours!
 
we mbona unakera na kutupotezea mda wetu kwa kusoma huu utumbo wako?? Nafikiri hata ktk magazeti ya udaku wasingekukopesha namna hii.,
 
MBEA UMEMTOKA DK.SLAA
Pamoja na kutaka kuwapotosha Watanzania kuwa fedha zilizochotwa isivyo halali na makampuni 22 kutoka mfuko wa madeni ya nje (EPA) katika benki kuu ya Tanzania (BoT) ni za serikali, mbunge wa karatu mkoani manyara (CHADEMA) Dr. Wilbroad Peter Slaa wiki hii ameumbuka katika mkutano wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania unaoendelea mjini Dodoma.

Dr. Slaa mwanasiasa alieukimbia upadri wa kanisa katoliki aliumbuliwa bungeni na waziri wa fedha, MUSTAFA HAID MKULO aliyesisitiza kuwa kauli yake kuhusu fedha hizo kwamba sio za serikali iko palepale na ndio inayosema ukweli.

Mbunge huyo wa karatu ambaye pia ni katibu mkuu wa chadema aliumbuliwa pia na mbunge wa mtera mkoani Dodoma (CCM) mzee John Samuel Malecela kuhusu ni nani hasa aliyeanzisha hoja inayohusu fedha hizo bungeni kati ya Dr. Slaa na wabunge wa chama cha mapinduzi.

Kimsingi hoja hiyo ilianzishwa na mbunge wa Busega mkoani Mwanza (CCM) Dr. Rafael Masunga Chengeni na “Kudakwa kichwa kichwa” na Dr. Slaa akidhani ingemsaidia kisiasa au chama chake, lakini mambo yanazidi kwenda ndivyo sivyo.

Namshauri Dr. Slaa aachane na “Umbeya” afanye siasa za kweli kama wanavyofanya wenzake akiwemo mwenyekiti wa taifa wa UDP John Momose Cheyo ambaye ni mbunge wa Bariadi Mashariki mkoani Shinyanga.

Akionyesha kutokua mnafiki Cheyo ndiye mbunge pekee kutoka kambi ya upinzani aliyeunga mkono bajeti ya serikali ya mwaka 2008/2009 na kutoa ufafanuzi yakinifu kuhusu msimamo wake huo usioyumba na hata kuyumbishwa na wanasiasa “Ucheara” kama Dr. Slaa.

Pamoja na mambo mengine, Cheyo alisema ameiunga mkono bajeti hiyo kutokana na ukaweli kwamba serikali ya CCM imeonyesha usikivu mkubwa, inashurika na inajitahidi kufanya marekebisho takribabani kila iliporuhusiwa vinginevyo na kamati ya bunge ya hesabu za serikali ambayo mbunge huyo wa bariadi mashariki ndiye mwenyekiti wake.

Hakika Dr. Slaa hatimaye “Umbea” umemtoka na kama ni mtu wa kujifunza basi amepata fundisho litakalomsaidia huko mbele.

Ant una haki ya kusema lolote unalotaka. Hiyo ndiyo domokrasia yako. Maana mdomo nimali yako. Lakini hapa tu hata jk akisoma makala yako hii na wewe kama ni mtu wa system atakushangaa sana.
Ukweli unabaki wazi na uongo unajitenga.
Pole sana maana bado Slaa ni mkweli na ni shujaa wa nyakati hizi ambaye vitabu vya historia ya Tanzania havitabaki kumsahau.
 
Antsadism, naomba kujua kutoka kwako ni nini maana au tafsiri ya "UMBEA"? Na ukiwa umemtoka mtu anakuwaje?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom