Umasikini Tanzania tuwalaumu Waarabu au sisi wenyewe?

Mkamap,
Unaposema miundombinu unamaanisha vitu gani?..
maanake nijuavyo ni hizi NGO zinazochimba visima, sehemu wanazoweka kambi zao huwa hazina maji, umeme, shule wala Hospital na watatumia vigezo hivi kuomba fedha zaidi...Ni umaskini unaowapa nguvu ya NGO hizi kujijenga sehemu ambayo haina miundombinu hata Marekani huwezi kukuta NGO Manhatan kusaidia maskini ila utasikuta huko kusikokuwa na hizi miundombinu..
Halafu ktk maswala ya miji ebu rudia huko nyuma wewe umeandika vitu gani kama sio kuitaja miji..sasa umerukia maswala ya shule kuwa ni maendeleo hivi mkuu unataka kunambia kwamba Watawala wazungu walikuja jenga shule zipi?...Au unataka kusema wakristu dhidi ya waislaam na ndiko nilijua unataka sana kwenda. Nijuavyo mimi shule zile zimejengwa kwa mfuko wa dini kutusaidia maskini na sio kutuendelea na sio mzungu mkoloni aliyetutawala sawa sawa kabisa na mwarabu wa Oman ambaye alikuja tawala tu.

Mkuu jivunie kilicho chako, ulichojenga wewe kuliko misaada inayokudhalilisha maanake hata huyo Mjarumani alituacha na reli tu, Muingereza ndio hakujenga kitu kabisa..labda unazungumzia maghorofa ndio maana nikaweka mifano ya miji!
Mkuu hii mada haina mpango kabisa na nimechangia tu kutaka kukuonyesha wazi kwamba pamoja na ufinyu wake ni muhimu tupeane darasa...


Mkandara
kila maada ni pana maana kuna msemo unasema mwisho wako ama wangu ndio mwanzo wangu ama wako.

Mkandara lazima utambue uaarabu si UISLAMU na UISILAM si uarabu ,Hili ni tatizo kubwa ambalo waarabu wamepata kuwainginza baadhi ya waislamu wenye miono mifupi ili wapate suport za kimunkali.

Mwarabu anapokua anatofautiana na nchi husika anachota akili za watu kwa kusema ni vita dhidi ya UISLAMU.
Ndivyo hivyo BUSH alijitahidi kuteka akili za watu kwa kuhusisha watu fulani ni ma GAIDI.

Mkuu mimi hapa naongelea WAARABU kama WAARABU usijitahidi kujibu kwa hisia zako tofauti na kichwa cha thread,.

Nimesema ili kutibu gonjwa letu la umasikini lazima tujue historia ya umasikini na mimi nikaskuti nikaona sababu ni waarabu na inabidi tuanzie hapo kupata mwarobaini.Sababu ya ufisadi weka pembeni yani kama const na kukutaka wewe na wengine tutoe sababu zaidi.

Nashangaa kwa maneno yako eti nasifia wazungu na majengo sijui umeyatoa wapi??
Ama hoja pana kwako ni lazima niseme CHENGE fisadi ,CCM hoi itashindwa uchaguzi mdogo taarime??

Hoja hapa ni sehemu walipokalia waarabu kutoka OMAN ina lag behind ukilinganisha na sehemu zingine. kielimu, kimuondo mbinu ,kimuonekano nk,
 
Mkuu hebu tueleze hoja yako ipo wapi? Umasikini munaletwa na kutawaliwa na Mwarabu au Mwarabu hakutengeneza sehemu alizozitawala?

Kama hoja yako kuwa umasikini unakuja kwa kutawaliwa na Waarabu, nafikiri tusingewalaumu Waarabu bali sisi wenyewe kwani Waarabu walikwishaondoka na kuwaachia Wazungu wakati tulipopata Uhuru mwaka 1961. Baada ya uhuru kulikuja Ujamaa nao pia ulishindwa kuleta maendeleo na ushahidi unaonyesha kuwa kule kulikokuwa hakuna harakati za Ujamaa ndio sehemu zinazoonyesha maendeleo.

Kati ya Sehemu ambayo ilitawaliwa na Mwarabu kwa muda mwingi na umetowa mfano ni Zanzibar. Naogopa kusema kuwa pengine huijui Zanzibar. anzibar hadi tunapata uhuru 1961ilikuwa mbele kimaendeleo kushinda sehemu nyingi za Afrika Mashariki. Kudorora kwa maendeleo ya Zanziba kunaltwa na mfumo wa Ukandamizaji wa Muungano. Zanzibar iliendelea kiuchumi na kijamii sana sana kuliko sehemu nyingi za Tanzania. Si busara kueleza hali zilivyokuwa tofauti kati ya pande mbili hizi kwani pengine itasababisha kupelekana nje ya mada.

Ama kama hoja yako ni kueleza kuwa Waarabu hawakuzitengeneza sehemu walizozitawala nakubaliana nwe kwani hiyo ndio utamaduni wao. Kwao wao hata nchini mwao (wanabadilika sasa kutokana na hali ya kilimwengu) haweana tabia ya kujenga majengo makubwa makubwa. Utamaduni wao hawana haja ya kujenga sehemu nyengine kama za burudani kwa vile wao hukaa wenyewe kwa wenewe basi. Hivyo sioni sababu kwa nini tusiwe tumeshajijengea makazi mazuri iwapo makazi mazuri ni maendeleo.

Hata hizo sehemu zilzojengwa vizuri zilifanywa hivyo kwa faida ya Watawala na sio wananchi na ndio maana Waingereza waliijenga zaidi Kenya kwa kuzingatia kuwa ni sehemu nzuri kwa wao kuishi.
Kwa hivyo mtazamo wangu nahisi umasikini wetu tusiubebeshe kwa Waarabu kwa kuwachagua wao tu bali kama ukoloni ulikuwa kikwazo kwa maendeleo yetu bali tuwaseme kwa ujumla wao.

Mkuu
Kama sijakosea sana kihistoria maana historia yangu ni ya shule ya msingi naomba unirekebishe.

Waingereza kujenga kenya ni kwa sababu kenya ilikua koloni lao,Waingereza hawakuwahi kuitawala Tanganyika ila Tanganyika ilikua chini ya uangalizi wa waingereza mpaka tunapata uhuru.

Nasema chanzo ni waarabu kwanza waarabu hawakujenga na wangelijenga ina maana baada ya kupata uhuru tusingepoteza nguvu nyingi kujenga jenga vijizahanati na shule za msingi chini ya miti.

Siwasifii wazungu ila nchi ambazo zilikua chini wa ukoloni wa mzungu mpaka juzijuzi ndizo zinaonekana kua na uhauni kiuchumi ,hii ni kwa sababu mzungu anakunyonya lakini anakusaidia saidia kidogo na hapendi uvivu,ulisoma kitabu IS IT POSSIBLE njisi mkoloni mzungu alivyokua anawatafuta wamasai vijana kwenda shule??

Unaweza usione tatizo lakini mimi naliona Pamoja mwaarabu hakujenga chochote lakini pia aliacha kasumba mbaya ama culture yake mbovu ambayo inachangia umasikini ,culture yakusogoa sana kupiga stori bila kufanya kazi tangu usubuhi ni harua ,gahawa ,kashata na draft hii ndio sababu kuu ya umasikini wetu ni niwaarabu hao.

Ndio maana sehemu walipokua waarabu panazidi didimia ama kwenda mwendo wa kinyonga kwa sababu wakazi wa mahala husika hawafanyi kazi kazi GAHAWA tuuu ,bao toka usubuhi na maneno mengi badala ya kufanya kazi.

Tatizo la umasikini TZ ni sababu ya waarabu kuleta culture zao za kivivu, tutazunguka kutafuta sababu ya umasikini wetu lakini sababu kubwa ni kupenda kuongea sana bila kutenda tabia aliyoileta mwaarabu.
 
Wacha kutafuta watu wa kulaumu wewe. Fanya kazi kwa juhudi na maarifa!


Chanzo chetu cha umasikini lazima tukitambue na sababu kuu ni waarabu ,waarabu walileta kasumba ya kupiga soga bila kufanya kazi.Kumbe tukigundua jinsi waarabu walivyofanya na kuwafanya watu kupenda toka asubuhi vijiweni wakipata HARUA,GAHAWA na KASHATA,ndio tutapata mwarobaini wa kutugeuza watanzania kufanya kazi kama maroboti

Hii tabia ya kukaa vijiweni na kupata gahawa ,harua tangu asubuhi imeletwa na waarabu na pamoja waliondoka lakini bado tunayo na imeshamili.

Tatizo la TZ kua masikini ni sisi watanzania kuiga tabia ya waarabu kusogoa na kukaa vijiweni zaidi ya kupiga mzigo.
Lazima hii tabia mbaya ya waarabu tuiache na hatimaye maisha bora.

Watu wanaokuja ulaya na amerika wanaiga tabia ya wazungu ya kuacha kusogoa na kunywa gahawa na badala yake wanapiga mzigo ambao ni hakuna kulala kitu ambacho kinawaeka waishi.

Kama nao wangesogoa wangelikufa na njaa na baridi wala usingemlaumu BROWN wala BUSH.

Na cha ajabu kundi kubwa linalolaumu maisha bora JK kushindwa kutekeleza ni kundi linalopiga soga tangu asubuhi vijiweni mpaka jioni.Hii tabia mbaya ya waarabu lazima ikomeshwe ili maisha bora yapatikane.
 
Ningekua mimi Ndio Kikwete

ninge toa sadaka baadhi ya hifadhi za taifa kama pori la pugu ,kibaha na kwingine

Nawagawia vijana mashamba makubwa na hizo ndizo zinakua AJIRA MILION mbili nilizotengeneza.
Akishindwa kulima kwa namna nyingine anaiambia serikali imulimie ,ipalilie yeye aje kuvuna tu sio
 
Mkandara
kila maada ni pana maana kuna msemo unasema mwisho wako ama wangu ndio mwanzo wangu ama wako.

Mkandara lazima utambue uaarabu si UISLAMU na UISILAM si uarabu ,Hili ni tatizo kubwa ambalo waarabu wamepata kuwainginza baadhi ya waislamu wenye miono mifupi ili wapate suport za kimunkali.

Hebu nifafanulie hiyo kauli yako hapo juu. Kwa mtazamo wangu, sehemu zote zilizowahi kuwa na influences ya kihistoria na Waarabu/Uarabu utakuta wananchi wa sehemu hizo ni Waislamu na jamii hizi zime-adopt mfumo wa kimaadili na tamaduni za Kiarabu. Kwa mantiki hiyo ni wazi kwamba for all practical purposes, jamii zenye mwelekeo wa Kiarabu kiutamaduni na kimaadili kwa kiasi kikubwa ni zilezile ambazo watu wake ni waumini wa dini ya Kiislamu. Ningependa hilo tu tukubaliane kwanza.
 
Waarabu wengi huwa wana tabia ya kuchukua nyota za watu kimazingara, hivyo ukiwa karibu yao tu au wakipita au kukaa kwenye maeneo yenu tu, wanawapiga juju kimazingara na kuwachukulia nyota zenu za utajiri, wao tu ndo watakuwa matajiri, ninyi mtadunda hadi mtachoka. amini usiamini ndo hivyo. hii sio wao tu, ni pamoja na watu wengine ambao sitaki kuwataja hapa kwasababu nikiwataja nitaanzisha zogo na fujo. asante.
 
Hebu nifafanulie hiyo kauli yako hapo juu. Kwa mtazamo wangu, sehemu zote zilizowahi kuwa na influences ya kihistoria na Waarabu/Uarabu utakuta wananchi wa sehemu hizo ni Waislamu na jamii hizi zime-adopt mfumo wa kimaadili na tamaduni za Kiarabu. Kwa mantiki hiyo ni wazi kwamba for all practical purposes, jamii zenye mwelekeo wa Kiarabu kiutamaduni na kimaadili kwa kiasi kikubwa ni zilezile ambazo watu wake ni waumini wa dini ya Kiislamu. Ningependa hilo tu tukubaliane kwanza.


Mkuu ni kweli ya kwamba waarabu walipopita wengi wao ni Waislaam lakini si WAISLAMU wote ni waarabu na Waarabu wote SI WAISLAAMU.

Ila baadhi ya WAISLAMU wamekubali kutekwa na waarabu na kuamua kufumba macho ukiangalia vita za nchi wanazopigana ni vita ya kimaslahi lakini waaarabu wamefanikisha kuwainginza baadhi ya waaislamu kwenye mduara kwa kusema hiyo vita ni zidi ya UISLAMU.

Nikama BUSH alivyotaka wa kristu wamuunge mkono ya kwa kujaribu kuwaaminisha kua waarabu ni magaidi,Ila kwa vile tuko huru kuhoji na kufikiria tuligundua BUSH ni mhuni tu anatafuta support.

Mkuu.
umasikini wetu unachangiwa na tabia ya kiarabu ya watu kupiga soga tu na kupata gahawa na inaonekana kabisa sehemu walipoishi sana ndipo kumeathirika zaidi.
 
Waarabu wengi huwa wana tabia ya kuchukua nyota za watu kimazingara, hivyo ukiwa karibu yao tu au wakipita au kukaa kwenye maeneo yenu tu, wanawapiga juju kimazingara na kuwachukulia nyota zenu za utajiri, wao tu ndo watakuwa matajiri, ninyi mtadunda hadi mtachoka. amini usiamini ndo hivyo. hii sio wao tu, ni pamoja na watu wengine ambao sitaki kuwataja hapa kwasababu nikiwataja nitaanzisha zogo na fujo. asante.

sasa wanazichukua je hizo nyota ? hebu tufafanulie.

kwi kwi kwi kwi kwi kwi
 

Mkuu.
umasikini wetu unachangiwa na tabia ya kiarabu ya watu kupiga soga tu na kupata gahawa na inaonekana kabisa sehemu walipoishi sana ndipo kumeathirika zaidi.


Hapa ni wazi unaboronga mjomba. Jee, una ushahidi gani wa kisayansi (mfano, takwimu au statistical data zinazotokana na uchunguzi bayana wa kisomi) kuthibitisha kauli yako kwamba "umasikini wetu unachangiwa na tabia ya kiarabu ya watu kupiga soga tu na kupata gahawa na inaonekana kabisa sehemu walipoishi sana ndipo kumeathirika zaidi"

Jee huu ni mtazamo wako binafsi au maoni yako tuu (yaani subjective opinion) au ni ukweli usiopingika (yaani objectively verified fact of life)? Badala ya kubweta tu hovyo ingekuwa vizuri kama ungetupatia takwimu zinazo onyesha tofauti kati ya kipato cha wastani cha nyumba cha kila mwezi kati ya Wakristu na Waislamu kwa kata/wilaya/mikoa (au sijui kitu gani) uliyotaja.
 
Hapa ni wazi unaboronga mjomba. Jee, una ushahidi gani wa kisayansi (mfano, takwimu au statistical data zinazotokana na uchunguzi bayana wa kisomi) kuthibitisha kauli yako kwamba "umasikini wetu unachangiwa na tabia ya kiarabu ya watu kupiga soga tu na kupata gahawa na inaonekana kabisa sehemu walipoishi sana ndipo kumeathirika zaidi"

Jee huu ni mtazamo wako binafsi au maoni yako tuu (yaani subjective opinion) au ni ukweli usiopingika (yaani objectively verified fact of life)? Badala ya kubweta tu hovyo ingekuwa vizuri kama ungetupatia takwimu zinazo onyesha tofauti kati ya kipato cha wastani cha nyumba cha kila mwezi kati ya Wakristu na Waislamu kwa kata/wilaya/mikoa (au sijui kitu gani) uliyotaja.

Wewe una maada tofauti kati ya wakristu na waislamu,Ndio unataka unilazimishe kusema waislaamu ndio waarabu inamaana unataka kusema hao waislamu watanzania weusi kama mimi ni WAARABU?? ama jina jingine la WAISLAMU ni WAARABU? ndugu yangu jadili hoja ya kwamba

sehemu walipopita waarabu maendeleo yanakua nyuma ama yanaenda mwendo wa kinyonga.
nimekupa mifano miundo mbinu na elimu pia iko nyuma maeneo hayo yani Kigoma,mtwara,lindi,tabora ,singinda na kwingine.Sasa kama unaona hizo mikoa zina miundo mbinu kama zingine na shule za kutosha kama kwingine hapo ndipo tugombane kwa hoja na si hisia zako.

Mimi nina ndugu zangu rafiki waislaamu ambao kwa asilimia 100% si waarabu. Na hata hizo sehemu nilizozitaja pia zina makundi yote ya dini ,sasa kuniuliza kipato cha makundi ya dini unatoka kabisa nje.
 
Wewe una maada tofauti kati ya wakristu na waislamu,Ndio unataka unilazimishe kusema waislaamu ndio waarabu inamaana unataka kusema hao waislamu watanzania weusi kama mimi ni WAARABU?? ama jina jingine la WAISLAMU ni WAARABU? ndugu yangu jadili hoja ya kwamba

sehemu walipopita waarabu maendeleo yanakua nyuma ama yanaenda mwendo wa kinyonga.
nimekupa mifano miundo mbinu na elimu pia iko nyuma maeneo hayo yani Kigoma,mtwara,lindi,tabora ,singinda na kwingine.Sasa kama unaona hizo mikoa zina miundo mbinu kama zingine na shule za kutosha kama kwingine hapo ndipo tugombane kwa hoja na si hisia zako.

Mimi nina ndugu zangu rafiki waislaamu ambao kwa asilimia 100% si waarabu. Na hata hizo sehemu nilizozitaja pia zina makundi yote ya dini ,sasa kuniuliza kipato cha makundi ya dini unatoka kabisa nje.

Haloo, sijui unazungumza vitu gani. Hebu tuliza boli. Hapa ni muhimu kutofautisha kati ya Uislamu na Uarabu; dini ya Kiislamu chimbuko lake haswa ni tamaduni na mfumo wa maadili unaotokana na jamii ya Kiarabu/Waarabu, kubali usikubali. Sijadai kwamba Waislamu wote ni Waarabu (au kuwa Muislamu ni sawa na kuwa Mwarabu kama unavyojaribu kupendekeza) ila kwamba kuwa Muislamu ni sawa na kukubali utamaduni na mfumo wa maadili wa Kiarabu/Waarabu.

Ama baada ya kusema hivyo naomba ujibu maswali yangu niliyouliza pale mwanzo: jee, una ushahidi gani zaidi ya mtazamo wako binafsi tu eti kwamba "sehemu walipopita waarabu maendeleo yanakua nyuma ama yanaenda mwendo wa kinyonga"?

Jee, una ripoti ya uchunguzi wa kisayansi/kisomi au takwimu zozote za mambo ya uchumi kwa sehemu uizotaja ambazo zinaendana na maoni yako kwamba kipato au shughuli za uchumi za familia za Kiislamu ni duni ukilinganisha nza zile za Kikristo? Bila ya hivyo utakuwa huna ushahidi wowote wa kutetea hoja au maoni yako binafsi na ni bora ukae kimya kwani utakuwa huna hoja ya msingi.
 
Haloo, sijui unazungumza vitu gani. Hebu tuliza boli. Hapa ni muhimu kutofautisha kati ya Uislamu na Uarabu; dini ya Kiislamu chimbuko lake haswa ni tamaduni na mfumo wa maadili unaotokana na jamii ya Kiarabu/Waarabu, kubali usikubali. Sijadai kwamba Waislamu wote ni Waarabu (au kuwa Muislamu ni sawa na kuwa Mwarabu kama unavyojaribu kupendekeza) ila kwamba kuwa Muislamu ni sawa na kukubali utamaduni na mfumo wa maadili wa Kiarabu/Waarabu.

Ama baada ya kusema hivyo naomba ujibu maswali yangu niliyouliza pale mwanzo: jee, una ushahidi gani zaidi ya mtazamo wako binafsi tu eti kwamba "sehemu walipopita waarabu maendeleo yanakua nyuma ama yanaenda mwendo wa kinyonga"?

Jee, una ripoti ya uchunguzi wa kisayansi/kisomi au takwimu zozote za mambo ya uchumi kwa sehemu uizotaja ambazo zinaendana na maoni yako kwamba kipato au shughuli za uchumi za familia za Kiislamu ni duni ukilinganisha nza zile za Kikristo? Bila ya hivyo utakuwa huna ushahidi wowote wa kutetea hoja au maoni yako binafsi na ni bora ukae kimya kwani utakuwa huna hoja ya msingi.


wewe unaenda mbali wakikusikia wenyewe patakua hapatoshi hapa kwamba DINI ya kiislamu ni tamaduni tu ya waarabu Na kwamba Qoran haikutoka mbinguni ambayo ndio inaelekeza jinsi ya mwislamu anavyotakiwa kuishi.Badala yake unasema uislamu ni tamaduni za waarabu mimi SIMO .

Sikujibu swali lako mpaka unithibitishie Uislamu ni uarabu na uarabu ni uislamu.Hayo si maneno yangu bali yako.

Mimi ninachojadili hapa ni kua sehemu walipopita waarabu kimindombinu na kielimu dunia inaonekana kuachwa na sehemu zingine kama vile kigoma,lindi,mtwara,mafia,tabora,bagamoyo,pangani nk.
 
Mimi ninachojadili hapa ni kua sehemu walipopita waarabu kimindombinu na kielimu dunia inaonekana kuachwa na sehemu zingine kama vile kigoma,lindi,mtwara,mafia,tabora,bagamoyo,pangani nk.

Hata mtoto wa darasa la 5 atakwambia kwamba kihistoria Uislamu unatokana na utawala wa Kiarabu, sasa sijui unataka uthibitisho gani zaidi ya huo. Hiyo "miundo mbinu, elimu dunia" na sijui vitu gani unayodai hebu tuambie vyanzo vyake ni nani na wapi? Hebu tuwekee wazi. Ni "elimu dunia" ambayo Wazawa wenyewe wamebuni kwa akili yao na kugharamia kwa nguvu zao wenyewe za kiuchumi? Ni "miundo mbinu" ipi hiyo ambayo wanufaika Wazawa wamebuni, wameendeleza na kugharamia kwa juhudi na maarifa yao wao wenyewe kiakili na kipesa? Hivi wewe unajifanya mjinga kimakusudi ili kukomoa binadamu wenzako wenye akili timamu humu ndani au kitu gani? Ni nani anaendesha dunia hii ya leo kiuchumi, kielimu, kiutamaduni, kisiasa, kifikra, na kadhalika kama siyo Wazungu na tamaduni na dini ya Ukristo? Hizo sehemu nyingi ulizotaja nazo zilikuwa zimendelea sana kielimu, kiuchumi, kiutamaduni (Unguja, Tabora, Bagamoyo etc) na vinginiveyo kijamii enzi hizo za utawala wa Kiaarabu/Waarabu kabla ya Wazungu kuingia kwa nguvu na ustaarabu wao kutumia bunduki upande mmoja na Biblia upande mwingine. Na hadi hivi leo utakuta Mahospitali na Madwa pamoja na Huduma za kisasa za Afya, Mashule, Vyuo, Maji, Umeme, nyumba na vijiji vizima pamoja na huduma mbalimbali za jamii, barabara, madaraja hadi vituo vya ndege vimejengwa kwa misaada ya sadaka kutoka Wakristo wa Kizungu huko Ulaya. Upo hapo?
 
Hata mtoto wa darasa la 5 atakwambia kwamba kihistoria Uislamu unatokana na utawala wa Kiarabu, sasa sijui unataka uthibitisho gani zaidi ya huo. Hiyo "miundo mbinu, elimu dunia" na sijui vitu gani unayodai hebu tuambie vyanzo vyake ni nani na wapi? Hebu tuwekee wazi. Ni "elimu dunia" ambayo Wazawa wenyewe wamebuni kwa akili yao na kugharamia kwa nguvu zao wenyewe za kiuchumi? Ni "miundo mbinu" ipi hiyo ambayo wanufaika Wazawa wamebuni, wameendeleza na kugharamia kwa juhudi na maarifa yao wao wenyewe kiakili na kipesa? Hivi wewe unajifanya mjinga kimakusudi ili kukomoa binadamu wenzako wenye akili timamu humu ndani au kitu gani? Ni nani anaendesha dunia hii ya leo kiuchumi, kielimu, kiutamaduni, kisiasa, kifikra, na kadhalika kama siyo Wazungu na tamaduni na dini ya Ukristo? Hizo sehemu nyingi ulizotaja nazo zilikuwa zimendelea sana kielimu, kiuchumi, kiutamaduni (Unguja, Tabora, Bagamoyo etc) na vinginiveyo kijamii enzi hizo za utawala wa Kiaarabu/Waarabu kabla ya Wazungu kuingia kwa nguvu na ustaarabu wao kutumia bunduki upande mmoja na Biblia upande mwingine. Na hadi hivi leo utakuta Mahospitali na Madwa pamoja na Huduma za kisasa za Afya, Mashule, Vyuo, Maji, Umeme, nyumba na vijiji vizima pamoja na huduma mbalimbali za jamii, barabara, madaraja hadi vituo vya ndege vimejengwa kwa misaada ya sadaka kutoka Wakristo wa Kizungu huko Ulaya. Upo hapo?

kwani tunakomoana hapa? au tunagonganisha hoja?

tuende kwa mifano hai.Waarabu BWAGAMOYO ndio ilikua eneo lao la kujidai.Nipe basi Angalau shule moja waarabu walizojenga BWAGAMOYO.
 
kwani tunakomoana hapa? au tunagonganisha hoja?

tuende kwa mifano hai.Waarabu BWAGAMOYO ndio ilikua eneo lao la kujidai.Nipe basi Angalau shule moja waarabu walizojenga BWAGAMOYO.

Kasome historia ufahamu na kuelewa. Bagamoyo ilishamiri sana kielimu enzi zile za utawala wa Waarabu na ilikuwa "centre of learning" kwa Wanazuo wa Kiislamu enzi hizo. Wazawa wa kwanza kujifunza kusoma na kuandika walipitia madrassa ambazo ni shule kamili kulingana na ustaarabu wa Kiarabu, na Bagamoyo kulikuwa na madrassa zenye sifa na hadhi kubwa sana Tanganyika nzima enzi hizo. Bado upo?
 
WANANET
Pamoja umasikini wetu unasababishwa na vigezo vingi lakini mimi naona WAARABU ni moja ya kigezo kikuu cha umasikini,sijui waliacha nini?
.

Kama hawa jamaa ndio kigezo kikuu cha umasikini wetu, inakuwaje wenyewe wamepiga hatua kuliko sisi??? Tungelikuwa tunafanana nao kwa kiwango cha umaskini, pengine hapo hoja yako ingelikuwa na msingi.

WANANET
Ukiangalia sehemu ambazo Tanzania waarabu walikaa kwa wingi ni masikini kulinganisha na sehemu zingine ukiangalia mikoa Kigoma,Lindi,mtwara,tabora,zanzibar,tanga- hii mikoa imekaliwa na waarabu na badala ya kwenda mbele hua inarudi nyuma.
.

Mhh!!! Ya kweli haya??? Yaani sina hata la kusema.


Na ukiangalia Tanzania wenda ndio nchi afrika chini ya jangwa la sahara iliyokaliwa na waarabu wengi kutoka omani na hivyo kuifanya nchi masikini.
.

Mhhh!!!


Mimi nashauri turudi ktk historia tuone ni nini waarabu walitenda? Maana uzoefu onaonyesha kila wanapopita wanacha umasikini na badala ya kwenda mbele sehemu hiyo hua inarudi nyuma
.

Kumbe muhimili wa umaskini wetu ni waarabu. Sikutambua hilo.
 
Badala ya kutafuta wa kumlaumu watanzania tujue maendeleo yetu yako mikononi mwetu wenyewe,na hatuta endelea bila ya kujua na kuamini hivyo.
 
Kama hawa jamaa ndio kigezo kikuu cha umasikini wetu, inakuwaje wenyewe wamepiga hatua kuliko sisi??? Tungelikuwa tunafanana nao kwa kiwango cha umaskini, pengine hapo hoja yako ingelikuwa na msingi.



Mhh!!! Ya kweli haya??? Yaani sina hata la kusema.



Mhhh!!!



Kumbe muhimili wa umaskini wetu ni waarabu. Sikutambua hilo.

gary-glitter-plane4_793106c.jpg


:D Eebana mwanamalundi kulikoni? Naona umehusudu hiyo picha ya Gary Glitter akipata chai jaba eapoti Bangkok baada ya kufeki ugonjwa ...... hahaahaaa ... hii kali babu!! :D
 
Mkamap,
Mkuu naona sasa umeishiwa au ndio sponsership ya wacheza kandanda imedata sasa unatafuta mchawi!
Hivi ni mikoa gani iliyokua tajiri?...na twambie wana utajiri gani.
Hatuongelei michezo hapa, tunaongelea maendeleo ya mimi na wewe na vizazi vyetu vijavyo.
Jaribu kufanya reseach na summary za kila aina kuhusu mikoa aliyoiongelea Mkamap!, Kwa mtu ambaye hajawahi kutembelea mikoa iliyotajwa hapo juu anaweza akaongea kama Mkandara. kwa nini?

Kwanza wewe mkandala unapaswa kujiuliza na kujua ni Mikoa gani inayochangia pato la uchumi wa nchi ya Tanzania na inayozalisha pamba kwa wingi pamoja na mifugo, pengine huenda hili likawa si jambo la kutilia maanani kwako,.
na kila unapoongelea ama kushabikia baadhi ya mambo! tafadhali angalia mazingira yake kwanza .
Mfano katika mkoa wa Shinyanga, wazalishaji wa pamba na ngozi ni wasukuma na Wanyiramba , mwarabu yeye hukusanya tu ! na kupeleka anapopajua, unajua ni asilimia ngapi anayopata mzalishaji?

tafadhali ! naomba uisahau pia kwamba Mwarabu ni mtu aliyeingia Afrika ya Mashariki akiwa kama Mfanyabiashara, alipoingia alichukua watumwa ambao ni ndugu zetu na ambao ni nguvukazi ya Taifa.
kisha angalia sehemu zilizotajwa, Shinyanga, Tabora, n.k, pia usisahau Singida ambako watu kama Rostam aziz anasema alipata utajiri wake kupitia babu zake! na ukweli ni kwamba aliupata utajiri huo kwa kupitia babu zetu.

hivyo tumeona kwamba Uchumi wa sehemu hizo ulikuwa ukitegemea ama unategemea katika nyanja zipi! mwarabu yeye ndiye ndiye wakala, mpangaji wa bei na uthabiti wa bidhaa, mimi kwangu vitu kama hivi ni unyonyaji mtupu!
pamoja na kwamba wapo pale lakini hawachulii kama sehemu ile inawahusu ( part of them) na ukiangalia kwa umakini sehemu nilizozitaja hapo juu hazina huduma muhimu za kijamii kama Maji, Elimu n.k, Fikiri!

je unaweza kuniambia kwa nini Nyanza cooperative imesuasua?

Ndani ya kanda ya Nyanza ( Nyanza Province ) kuna Waarabu na Wahindi! the same creature! hadi leo hii wamewafanya kaka na dada zetu watumwa kuwababesha mizigo masaa 24 na kuwageuza wafanyakazi wa ndani.Je? hili linamaanisha nini kwako?

Na unajua kwa nini wanakuwa watumwa! Elimu?!, katika kanda ya ziwa na sehemu nyingine, kuna vitu vinaitwa International school & Agha Khan Insitutions, je? Unataka kusema hivi si vielelezo vya ubepari na unyonyaji?
 
Hatuongelei michezo hapa, tunaongelea maendeleo ya mimi na wewe na vizazi vyetu vijavyo.
Jaribu kufanya reseach na summary za kila aina kuhusu mikoa aliyoiongelea Mkamap!, Kwa mtu ambaye hajawahi kutembelea mikoa iliyotajwa hapo juu anaweza akaongea kama Mkandara. kwa nini?

Kwanza wewe mkandala unapaswa kujiuliza na kujua ni Mikoa gani inayochangia pato la uchumi wa nchi ya Tanzania na inayozalisha pamba kwa wingi pamoja na mifugo, pengine huenda hili likawa si jambo la kutilia maanani kwako,.
na kila unapoongelea ama kushabikia baadhi ya mambo! tafadhali angalia mazingira yake kwanza .
Mfano katika mkoa wa Shinyanga, wazalishaji wa pamba na ngozi ni wasukuma na Wanyiramba , mwarabu yeye hukusanya tu ! na kupeleka anapopajua, unajua ni asilimia ngapi anayopata mzalishaji?

tafadhali ! naomba uisahau pia kwamba Mwarabu ni mtu aliyeingia Afrika ya Mashariki akiwa kama Mfanyabiashara, alipoingia alichukua watumwa ambao ni ndugu zetu na ambao ni nguvukazi ya Taifa.
kisha angalia sehemu zilizotajwa, Shinyanga, Tabora, n.k, pia usisahau Singida ambako watu kama Rostam aziz anasema alipata utajiri wake kupitia babu zake! na ukweli ni kwamba aliupata utajiri huo kwa kupitia babu zetu.

hivyo tumeona kwamba Uchumi wa sehemu hizo ulikuwa ukitegemea ama unategemea katika nyanja zipi! mwarabu yeye ndiye ndiye wakala, mpangaji wa bei na uthabiti wa bidhaa, mimi kwangu vitu kama hivi ni unyonyaji mtupu!
pamoja na kwamba wapo pale lakini hawachulii kama sehemu ile inawahusu ( part of them) na ukiangalia kwa umakini sehemu nilizozitaja hapo juu hazina huduma muhimu za kijamii kama Maji, Elimu n.k, Fikiri!

je unaweza kuniambia kwa nini Nyanza cooperative imesuasua?

Ndani ya kanda ya Nyanza ( Nyanza Province ) kuna Waarabu na Wahindi! the same creature! hadi leo hii wamewafanya kaka na dada zetu watumwa kuwababesha mizigo masaa 24 na kuwageuza wafanyakazi wa ndani.Je? hili linamaanisha nini kwako?

Na unajua kwa nini wanakuwa watumwa! Elimu?!, katika kanda ya ziwa na sehemu nyingine, kuna vitu vinaitwa International school & Agha Khan Insitutions, je? Unataka kusema hivi si vielelezo vya ubepari na unyonyaji?

Mkuu
watachakua mda kutambua waarabu ni chanzo cha umasikini wetu.
 
Back
Top Bottom