Itug
Senior Member
- Mar 19, 2011
- 195
- 68
Unakuta vijana wengi pesa wanazopata huishia kununua vitu vya luxury ambavyo ni liabilities na sio asset!
Ukiona unamtazamo huo basi hayo mawazo huleta umasikini. Vitu kama magari na huna kipato kinachoeleweka ni sawa na hasara!
Kupanga jumba la gharama na kipato chako ni kidogo ni sawa na hasara!
Ukiona unamtazamo huo basi hayo mawazo huleta umasikini. Vitu kama magari na huna kipato kinachoeleweka ni sawa na hasara!
Kupanga jumba la gharama na kipato chako ni kidogo ni sawa na hasara!