Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,297
- 217,300
Hakika Wazazi tafuteni hela muokoe familia zenu
Duniani tumekuja kuenjoy maisha kwa kuonesha uwezo wetu wa kufanya mema kwa ajili yetu na watu wengine kiufupi kufanya ibada.Hivi duniani tulikuja kufanya nini?
Kwanini tupo hapa?????
Then baada ya hapo??what next?Duniani tumekuja kuenjoy maisha kwa kuonesha uwezo wetu wa kufanya mema kwa ajili yetu na watu wengine kiufupi kufanya ibada.
Tumekuja kufa...kwahyo kabla hujafa hakikisha umeishi 100%Hivi duniani tulikuja kufanya nini?
Kwanini tupo hapa?????
The world as we know it today haikuwa kama vile Mungu alivyokusudia iwe. Haya tuyaonayo yanakuja kama matokeo ya dhambi kuingia duniani.Hivi duniani tulikuja kufanya nini?
Kwanini tupo hapa?????
Mkuu kama ambavyo mbegu ya chungwa ukiitupa pale chini ikipata sababu inazalisha mchungwa ungine mkuuuubwaaaaa sana maana yake maisha yanaendelea tu na mbegu hiyo itatoa mchungwa mmoja wenye machungwa yenye mbegu nyingi kweeeliii....Then baada ya hapo??what next?
Hivi duniani tulikuja kufanya nini?
Kwanini tupo hapa?????
Fact...Suala la kufa kwa huyo dogo halihusiani na umasikini wake...ni kuwa muda wake tu wa kuondoka ulifika...hii haijalishi kuwa aliishi mazingira duni.
Unaweza kuwa tajiri..lakini siku yako ikifika utaondoka hata kwa maleria tu ambayo matibabu yake yapo.
Ndiyo maana wewe unaweza kuugua typhoid ukapewa madawa ukapona..mwenzako pia akaugua similar disease akapewa dawa na asipone.
Uhai uko mikononi mwa Mungu aliyeutoa....matibabu siyo guarantee ya kuendelea kuwa hai. Unaweza kutibiwa na ukaondoka.
Ninyi chama saccos, mlifanya nini?.Upuuzi mtupu.
Nilifiwa na mshkaji wangu wa karibu sana,aisee kile kifo kiruniharibu akili kabisa.Mkuu kama ambavyo mbegu ya chungwa ukiitupa pale chini ikipata sababu inazalisha mchungwa ungine mkuuuubwaaaaa sana maana yake maisha yanaendelea tu na mbegu hiyo itatoa mchungwa mmoja wenye machungwa yenye mbegu nyingi kweeeliii....
Mkuu imani yangu ni kwamba hapa duniani tunaishi lakini tukiahakufa kuna maisha mengine makubwa na ya ajabu sana yanatusubiri.
Kuna mwanazuoni mmoja alipata kusema kwamba "hakukuumbwa ili tumalizike,bali tumeumbwa ili tushi milele"
Hata Chadema hawakumsaidia pamoja na kurudishiwa million 300
Tafuta kumjua MunguHivi duniani tulikuja kufanya nini?
Kwanini tupo hapa?????
Watu mnaoogopa kufaaa, kwani vibaya acha afe bhna
Hivi duniani tulikuja kufanya nini?
Kwanini tupo hapa?????
Walah we Ni chizi....🤣🤣🤣19.Nenda hospital kwenye wodi ya kuzalisha halafu chukua watoto wachanga uanze kuwachanganya changanya ili wazazi wasiwajue watoto wao
20.Mtoroshe mtoto wa mfalme mf. Kim Jong Un,Putin,Hangaya