Umachinga au Ujasiriamali ni hatua ya kutoka katika uchumi mdogo kwenda uchumi wa kati na baadae uchumi wa juu

Jibu Mswali haya kwa Ukamilifu,

1.Rais Mnyenyekevu Africa -SAMIA

2.Rais mpole Africa -SAMIA. √

3. Rais mchamungu Africa -SAMIA √

4. Rais rafiki wa wananchi wake Africa -SAMIA √

5. Rais Chaguo la Watanzani 2025-2030 -SAMIA √

UMACHINGA SIO KIPAJI, SIO SIFA, SIO CHEO, SIO KIPAWA | UMACHINGA NI HATUA YA KUFIKIA NDOTO YA KUWA MFANYABIASHARA MKUBWA NDANI|NJE YA TANZANIA
__________________________________________
Niserikali ya kichawi tu ndio inaweza kujisikia fahari mtu kujiita Machinga miaka nenda rudi uje na nimchawi pekee ndio anaweza kujisifia yeye ni mmachinga mzoefu,Umachinga sio sifa wala kipaji ni hatua|daraja la kupita kwenda hatua ya juu zaidi katika kumiliki na kuendesha biashara kubwa,Kila anayetamani machinga aendelee kuwa machinga huyo ni muuwaji wa ndoto za watu hao nani mtu hatari sana kwa Ustawi wa Taifa na Watu wake hasa hao machinga,Akitokea mtu anayetafuta nafuu kwenye Siasa akakwambia wewe Machinga endelea kuwa machinga nitakulinda huyo ni hatari kuliko mchawi na hafai kuwa kiongozi kama anashindwa kukuongoza kwenda kuwa mfanyabiashara mkubwa na anafurahia namna jua linavyoishia mwilini mwako siku kwa siku ili tu siku moja umpigie kura huyo hakufai wewe wala Mungu,

Tanzania inajumla ya Wamachinga 2,335,711 wenye vitambulisho huku wafanyabiashara wakifikia 3.8M,Hii ni sawa nakusema idadi ya wamachinga Tanzania ni 62% ya walipa kodi wote wa nchi hii,Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza wamachinga wapangwe vizuri maana yake watolewe Juani wapeleke kwenye maeneo ambayo watatambulika ( Permanent premises) ili kutimiza ndoto yao ya kuwa wafanyabiashara wakubwa,hapa lazima tumpongeze sana Rais wetu Mhe Samia Suluhu Hassan ,Moja ya Sharti kubwa la kupata mkopo toka benki yoyote ya Biashara ni kuwa na eneo sahihi na kufanyia biashara ( business premise ).Nahapa natamani wamachinga mnielewe vizuri nimesema umachinga sio kipaji ni hatua ya ukuaji katika biashara hivyo ni lazima ifike siku Muhitimu huo Umachinga ila kamwe hamuwezi kuuhitimu Umachinga mkiwa Chini pembeni ya Barabara,

Wamachinga wa nchi hii wamefanyiwa sana siasa na imefika wakati wamejiona kama wao ndio wenye turufu ya Siasa na Wanasiasa wa Tanzania badala ya kuwaza zaidi kesho yao katika biashara zao,Leo Machinga akihamishwa kupelekwa mahali patakapoamua kesho yake iliyonjema anahisi kaonewa kwakuwa tu uchaguzi umekwisha,Tunataka viongozi kama Rais Samia wasiojali kesho yao kisiasa ila Kesho ya wamachinga na watoto wao na watoto wa watoto wao,Kama Rais Samia atafanikiwa kuwahitimisha Umachinga hao watu 2.34M maana yake by 2024|25 Tanzania itakuwa na walipakodi zaidi ya 6M na itakuwa rekodi nyingine kwake kwani tangu Uhuru walipakodi wamefikia 3.8M kwenye nchi ya watu 60M,kwa akili za kawaida Watu wanaweza wakadhani machinga wanaonewa kumbe wanasaidiwa kufikia ndoto zao kirahisi, Mwenye masikio naasikie haya,


.........Kazi iendelee .........


VIVA TANZANIA | VIVA SAMIA | VIVA CCM​

View attachment 1937108
 
Tanzania yaongoza kwa bei ndogo ya mafuta ya taa, disel na Petrol Africa Mashariki Kenya bei juu |Hongera Rais Samia,
________________________________
Wakati baadhi ya Watanzani wasiofuatilia mambo wamekuwa wakiilalamikia Serikali ya awamu ya Sita inayoongoza na Rais Samia Suluhu Hassan kwamba imepandisha bei ya Mafuta ya taa, dizeli na Petroli jambo ambalo ni sawa na wao kukosa fadhili juu ya juhudi kubwa na nzuri anazozifanya rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan katika kuwaletea unafuu wa Maisha wananchi wake kwani Mama anajua nishati ya mafuta ndio karibu kila kitu kwa maisha ya mnyonge wa chini,

Wakati wenzetu wa Rwanda, Burundi, Congo, Uganda, Kenya wakiimezea mate bei ya mafuta ya Tanzania Sisi Watanzani tunashindwa kuthamini na kutambua mchango wa Rais wetu katika kudhibiti bei ya nishati ya Mafuta nchini,Hii si sawa kabisa,

Jarida maarufu Africa la "STAR " limeitaja Tanzania kuwa ni nchi ya chini kabisa kwa bei ya mafuta ya taa, dizeli na Petroli ukilinganisha na bei za nchi nyingine za EAC hivi majuzi,

Kwamsiofahamu,Bei ya Petroli Kenya ni Ksh 134.72 sawa na Tshs 2,831,Wakati Uganda ni Ksh 131 sawa na Tshs 2,751,Rwanda ni Ksh 121.08 sawa na Tshs 2,540, Wakati Tanzania bei ya Petroli ni Ksh 115.26 sawa na Tshs 2,421 kwenye Pump,

Wakati huohuo bei ya dizeli nchini Kenya ni Ksh 117.28 sawa Tshs 2,463,Uganda ni Ksh 115.60 sawa na Tshs 2,428 huku Rwanda bei ya dizeli ikifikia Ksh 110 karibu Sawa na Tshs 2.310 Wakati Tanzania bei ya dizeli imefikia Ksh 106.90 sawa na Tshs 2,245 tu,Tuendelee kumwombea rais wetu kipenzi cha wengi Mama Samia Suluhu Hassan,

______________________________

Kenyans are paying up to Sh19 more for a litre of petrol compared to their East African neighbours of Tanzania, Uganda and Rwanda as heavy taxation takes a toll on consumers.

Motorists and transporters are paying more than double what their counterparts in Addis Ababa are paying, where a litre of petrol and diesel are retailing at an equivalent of Sh51.28 and Sh44.66, respectively.

In Uganda, which imports part of its fuel through the Port of Mombasa, a litre of super petrol is retailing at Sh131 which is lower compared to Kenya's Sh134.72.


A litre of diesel in the neighbouring country is slightly higher, by Sh2, retailing at Sh117.28 compared to Sh115.60, despite the products going through Kenya into the landlocked country.

In Dar es Salaam, a litre of super petrol is retailing at Sh115.26, which is Sh19.46 less than that of Nairobi.

Diesel is going for Sh106.90 while kerosene is retailing at Sh103.34, compared to Nairobi's pump price of Sh110.82.

A litre of petrol and diesel in Kigali(Rwanda) is Sh121.08 and Sh110, respectively, despite being a land-locked country importing through Tanzania and Kenya.

On Tuesday, fuel prices in Kenya hit a historic high after prices of petrol, diesel and kerosene increasing by Sh7.58, Sh7.94 and Sh12.97, respectively.

“The prices are inclusive of the eight per cent Value Added Tax in line with the Finance Act 2018, the Tax Act 2018, the Tax Laws(Amendment) Act 2020 and the revised rates for excise duty adjustment for inflation,” EPRA director general Daniel Kiptoo said.

The increase came despite lower global crude prices in August which averaged $70.75 a barrel, down from $75.17 in July, and a drop in the landed cost of fuel at the Port of Mombasa.

Consumers in the country pay at least nine different taxes on fuel products which constitute the biggest share of final pump prices.


They include excise duty which takes the lion's share of Sh21.95 of every litre of petrol followed by the Road Maintenance Levy (Sh18).

VAT has been adjusted upwards to Sh9.98 while the Petroleum Development levy is charged at Sh5.40.

Other levies included in the fuel pricing are Petroleum Regulatory Levy, Railway Development Levy, Anti-adulteration Levy, Merchant Shipping Levy and the Import Declaration Fee.

The high fuel prices are expected to increase the cost of living in the country, where inflation has been rising since April, hitting an 18-month high of 6.57 in August.

Manufacturers and transporters have since warned of a jump in the cost of goods and services as they move to pass the high operational costs, occasioned by the fuel price jump, to the consumers.

Agricultural products are also expected to become costlier as diesel is a key input in production, mainly in large scale farming where machinery is used.

A number of other taxes introduced by the Finance Act 2021 are also expected to impact the cost of production in the country, affecting the prices of finished goods in the retail market.

The Consumers Federation of Kenya (COFEK) has since called on the President to request parliament to review the Finance Act.

“We need to ease the cost of living especially by dropping added taxes on cooking gas, fuel and essentials foodstuffs,” Secretary-General Stephen Mutoro said.
 
Mjinga wewe kabisa,

,Machadema ndio yamekuwa yakiwalaghai wamachinga kila mwaka, wa uchaguzi,

Hata wao wamachinga wanaondolewa leo ni Machadema yaliwaruhusu wakae vichochoroni ili wapigiwe tu kura,

Chadema mmewachezea sana machinga wa nchi, Shame on you,

Nampongeza sana Mama Samia kwa juhudi yake ya kuwasaidia wamachinga ili walau wapate mkopo na waaminike na watambulike,
Mitego ya Rais Samia ya Royal Tour yanasa TZS 158.4bl | Hoteli nne kubwa za kitali hadhi ya Kempinski kujengwa Serengeti, Ngorongoro,Manyara & Tarangire,

________________________________

Wawekezaji toka Bulgaria matokeo ya Royal Tour kuwekeza US$ 72M karibu sawa na Tsha 158.4BL kwa kujenga Hotel nne kubwa za nyota tano ( Five Stars Hotel ) katika mbunga za Serengeti, Ngorongoro, Manyara & Tarangire,

Utawala wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa kipindi kifupi cha miezi sita umeonesha matokea makubwa katika kila kona ya nchi, madhalani uwekezaji tayari umekua kwa 400% toka uwekezaji wa US$ 510M hadi US$ 2.98BL sawa na Tshs 7trilioni pesa ambayo itamfikila kila Mtanzania popote alipo katika njia moja au nyingine,

#Mliokuwa mnalalamikia gharama ya Royal Tour mnasemaje kuhusu hizi bilioni 158.4 za fasta !??


.........Kazi iendelee.........



C&P
 
Tanzania ya Samia ni noma,

Umeme bei Chee EAC
Petrol bei Chee EAC
Disel bei Chee EAC
M|taa bei Chee EAC
Data (MB) bei Chee EAC
Maji bei Chee EAC
 
Haha haha hii nchi inawatu aise!

Sasa pesa ya ndege na wamachinga wapi na wapi Mjomba? Au sijaelewa,

Machinga ndio mwekezaji wa kesho, Ndio CEOs waajao, ndio mabilioners wajao,

Kosa kubwa lililofanyika ambalo Rais Samia anaenda kulifuta ni kuwaacha Machinga kuwa adresslessly ,

Bank haiwezi kukupa mkopo wa 2M huku unazurula Mtaani au umekaa pembeni ya barabara, Hii haikubalika kabisa,

Bank wanataka uwe na eneo lako official,

Kitendo cha kuwaacha machinga wakizurula mtaani sio Sifa au tendo la huruma kwao ni kuua ndoto zao za wao kuwa wafanyabiashara wakubwa kesho,

Asante Rais Samia kuwatoa ndg zako wamachinga juani



___________________________________
Kaandika uchafu wa kichwa
 
T
Machinga ni madalali wa kuuza bidhaa za viwanda vya China huwezi kuza uchumi kwa kuwa mchuuzi.Uchumi unakuzwa kwenye uzalishaji tokana na raslimali tele zilizojaa nchini ambazo hazitumiki sababu ya mipango mibovu ya wanasiasa.
Nikweli wasaidiwe in a proper way
 
Jibu Mswali haya kwa Ukamilifu,

1.Rais Mnyenyekevu Africa -SAMIA

2.Rais mpole Africa -SAMIA. √

3. Rais mchamungu Africa -SAMIA √

4. Rais rafiki wa wananchi wake Africa -SAMIA √

5. Rais Chaguo la Watanzani 2025-2030 -SAMIA √
😍😍😍
 
Tanzania yaongoza kwa bei ndogo ya mafuta ya taa, disel na Petrol Afrika Mashariki, Kenya bei juu

#HONGERA RAIS SAMIA
 
Kama kila kitu kikienda kama kinavyotakiwa kuwa umachinga ni hatua ya chini kabisa kuelekea ujasiriamali. Nimesema kila kitu kikienda kama kinavyopaswa kwenda na sio kinyume chake.

Mazingira yanayomzunguka mtu ndio yanayomuinua na kumuangusha chini. Miundo mbinu kama ni rafiki atainuka tu kibiashara.

Elimu ya juu ya uhakika kama ni rafiki atainuka tu na yatakuwa ni yale yale ya Mark Zuckerberg wa Whatsapp aliyeanzia biashara zake ndani ya gereji ya Baba yake akainuka kuwa bilionea.
 
Kama kila kitu kikienda kama kinavyotakiwa kuwa umachinga ni hatua ya chini kabisa kuelekea ujasiriamali. Nimesema kila kitu kikienda kama kinavyopaswa kwenda na sio kinyume chake.

Mazingira yanayomzunguka mtu ndio yanayomuinua na kumuangusha chini. Miundo mbinu kama ni rafiki atainuka tu kibiashara.

Elimu ya juu ya uhakika kama ni rafiki atainuka tu na yatakuwa ni yale yale ya Mark Zuckerberg wa Whatsapp aliyeanzia biashara zake ndani ya gereji ya Baba yake akainuka kuwa bilionea.



Machinga wanajitambua kuwa wao ni nani hapo baadae?

Je, Wanauchukia umachinga kwa dhati ya mioyo yao?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom