Umachinga au Ujasiriamali ni hatua ya kutoka katika uchumi mdogo kwenda uchumi wa kati na baadae uchumi wa juu

CM 1774858

JF-Expert Member
May 29, 2021
4,985
4,083
UMACHINGA SIO KIPAJI, SIO SIFA, SIO CHEO, SIO KIPAWA | UMACHINGA NI HATUA YA KUFIKIA NDOTO YA KUWA MFANYABIASHARA MKUBWA NDANI|NJE YA TANZANIA
________________________________________


Nguli wa Uchumi mfaransa Jean Baptiste mwanzilishi wa neno ujasiriamali|Umachinga alisema " Umachinga ni hatua ya kutoka katika uchumi mdogo kwenda uchumi wakati na baadae uchumi wa juu " Jean-Baptiste,

Hata hivyo, niserikali ya kishamba tu ndio inaweza kujisikia fahari mtu kujiita Machinga miaka nenda rudi uje na nimshamba pekee ndio anaweza kujisifia yeye ni mmachinga mzoefu,Umachinga sio sifa wala kipaji ni hatua|daraja la kupita kwenda hatua ya juu zaidi katika kumiliki na kuendesha biashara kubwa,Kila anayetamani machinga aendelee kuwa machinga huyo ni muuwaji wa ndoto za watu hao nani mtu hatari sana kwa Ustawi wa Taifa na Watu wake hasa hao machinga,Akitokea mtu anayetafuta nafuu kwenye Siasa akakwambia wewe Machinga endelea kuwa machinga nitakulinda huyo ni hatari kuliko mchawi na hafai kuwa kiongozi kama anashindwa kukuongoza kwenda kuwa mfanyabiashara mkubwa na anafurahia namna jua linavyoishia mwilini mwako siku kwa siku ili tu siku moja umpigie kura huyo hakufai wewe wala Mungu,

Tanzania inajumla ya Wamachinga 2,335,711 wenye vitambulisho huku wafanyabiashara wakifikia 3.8M,Hii ni sawa nakusema idadi ya wamachinga Tanzania ni 62% ya walipa kodi wote wa nchi hii,Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza wamachinga wapangwe vizuri maana yake watolewe Juani wapeleke kwenye maeneo ambayo watatambulika ( Permanent premises) ili kutimiza ndoto yao ya kuwa wafanyabiashara wakubwa,hapa lazima tumpongeze sana Rais wetu Mhe Samia Suluhu Hassan ,Moja ya Sharti kubwa la kupata mkopo toka benki yoyote ya Biashara ni kuwa na eneo sahihi na kufanyia biashara ( business premise ).Nahapa natamani wamachinga mnielewe vizuri nimesema umachinga sio kipaji ni hatua ya ukuaji katika biashara hivyo ni lazima ifike siku Muhitimu huo Umachinga ila kamwe hamuwezi kuuhitimu Umachinga mkiwa Chini pembeni ya Barabara,

Wamachinga wa nchi hii wamefanyiwa sana siasa na imefika wakati wamejiona kama wao ndio wenye turufu ya Siasa na Wanasiasa wa Tanzania badala ya kuwaza zaidi kesho yao katika biashara zao,Leo Machinga akihamishwa kupelekwa mahali patakapoamua kesho yake iliyonjema anahisi kaonewa kwakuwa tu uchaguzi umekwisha,Tunataka viongozi kama Rais Samia wasiojali kesho yao kisiasa ila Kesho ya wamachinga na watoto wao na watoto wa watoto wao,Kama Rais Samia atafanikiwa kuwahitimisha Umachinga hao watu 2.34M maana yake by 2024|25 Tanzania itakuwa na walipakodi zaidi ya 6M na itakuwa rekodi nyingine kwake kwani tangu Uhuru walipakodi wamefikia 3.8M kwenye nchi ya watu 60M,kwa akili za kawaida Watu wanaweza wakadhani machinga wanaonewa kumbe wanasaidiwa kufikia ndoto zao kirahisi, Mwenye masikio naasikie haya,


.........Kazi iendelee .........




IMG-20210910-WA0025.jpg
VIVA TANZANIA | VIVA SAMIA | VIVA CCM
 
Wamachinga watanzani wamelemazwa nakubaliana na wewe,

tena wamechezewa sana

Hawakuwa na wakuwasaidia kufikia malengo yao zaidi ya kutafuta kura tu wakati wa uchaguzi, shame

Machinga badala ya kusaidiwa hata kutafutiwa mikopo wanapewa kadi hazina hata majina yao,

Bank gani itampa mkopo huyu mtu anayefanya biashara barabarani?

Nani atoe malikauli kwa mtu asiye na anuani ya biashara

Wamachinga wa Tanzania wameteseka sana,

Hongera sana Rais Samia tunakupenda sana,
 
Pesa ya ndege moja tu ingetosha kumaliza tatizo la machinga mijini.
Machinga ni zao la kushindwa kwa sera za ccm kuhusu uchumi.


Mjinga wewe kabisa,

,Machadema ndio yamekuwa yakiwalaghai wamachinga kila mwaka, wa uchaguzi,

Hata wao wamachinga wanaondolewa leo ni Machadema yaliwaruhusu wakae vichochoroni ili wapigiwe tu kura,

Chadema mmewachezea sana machinga wa nchi, Shame on you,

Nampongeza sana Mama Samia kwa juhudi yake ya kuwasaidia wamachinga ili walau wapate mkopo na waaminike na watambulike,
 
Pesa ya ndege moja tu ingetosha kumaliza tatizo la machinga mijini.
Machinga ni zao la kushindwa kwa sera za ccm kuhusu uchumi.
Hayo maneno ni very unscientific na huwezi kuyalinda au kuya defend na data wala takwimu bali labda na ushabiki wa kisiasa! Hiyo pesa ya kununua ndege moja ingefanya nini!? Wamachinga wako dunia nzima hata huko kwenye pesa zaidi ya hizo za ndege moja wapo! Nenda New York wapo, nenda Washington wapo, nenda Cairo wapo na nenda sijui wapi wamachinga wapo!

Na huko ni pia ni "kushindwa kwa sera za CCM"? Wamachinga au Umachinga ni zao la ukosefu wa ajira ingawa inapaswa kuwa a stepping stone to MFANYA BIASHARA na hatimaye TO MWEKEZAJI kwa kutumia mtaji na fursa zilizopo, kuendelea kuwa Machinga miaka nenda miaka rudi ni kuwa FAILURE IN BUSINESS!
 
Napenda sana ujasiri wa huyu Mama, Kuna wakati kama kiongozi lazima uoneshe njia hata kama utachukiwa kwa muda ipo siku watakuelewa,

Haiwezekani mtu anamika 20 ni machinga, Kwanini asisaidiwe kufikia levels za juu,

Wenzetu Kenya wanawapa mafunzo na mitaji na wamefanikiwa sana,

Mtoto wa watu anakaa juani miaka 10 eti anaitwa machinga mzoefu, Hii hapana,

Binafsi nazidi tu kumpenda Rais Samia,



QUOTE="CM 1774858, post: 40215588, member: 635023"]
UMACHINGA SIO KIPAJI, SIO SIFA, SIO CHEO, SIO KIPAWA | UMACHINGA NI HATUA YA KUFIKIA NDOTO YA KUWA MFANYABIASHARA MKUBWA NDANI|NJE YA TANZANIA
__________________________________________
Niserikali ya kichawi tu ndio inaweza kujisikia fahari mtu kujiita Machinga miaka nenda rudi uje na nimchawi pekee ndio anaweza kujisifia yeye ni mmachinga mzoefu,Umachinga sio sifa wala kipaji ni hatua|daraja la kupita kwenda hatua ya juu zaidi katika kumiliki na kuendesha biashara kubwa,Kila anayetamani machinga aendelee kuwa machinga huyo ni muuwaji wa ndoto za watu hao nani mtu hatari sana kwa Ustawi wa Taifa na Watu wake hasa hao machinga,Akitokea mtu anayetafuta nafuu kwenye Siasa akakwambia wewe Machinga endelea kuwa machinga nitakulinda huyo ni hatari kuliko mchawi na hafai kuwa kiongozi kama anashindwa kukuongoza kwenda kuwa mfanyabiashara mkubwa na anafurahia namna jua linavyoishia mwilini mwako siku kwa siku ili tu siku moja umpigie kura huyo hakufai wewe wala Mungu,

Tanzania inajumla ya Wamachinga 2,335,711 wenye vitambulisho huku wafanyabiashara wakifikia 3.8M,Hii ni sawa nakusema idadi ya wamachinga Tanzania ni 62% ya walipa kodi wote wa nchi hii,Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza wamachinga wapangwe vizuri maana yake watolewe Juani wapeleke kwenye maeneo ambayo watatambulika ( Permanent premises) ili kutimiza ndoto yao ya kuwa wafanyabiashara wakubwa,hapa lazima tumpongeze sana Rais wetu Mhe Samia Suluhu Hassan ,Moja ya Sharti kubwa la kupata mkopo toka benki yoyote ya Biashara ni kuwa na eneo sahihi na kufanyia biashara ( business premise ).Nahapa natamani wamachinga mnielewe vizuri nimesema umachinga sio kipaji ni hatua ya ukuaji katika biashara hivyo ni lazima ifike siku Muhitimu huo Umachinga ila kamwe hamuwezi kuuhitimu Umachinga mkiwa Chini pembeni ya Barabara,

Wamachinga wa nchi hii wamefanyiwa sana siasa na imefika wakati wamejiona kama wao ndio wenye turufu ya Siasa na Wanasiasa wa Tanzania badala ya kuwaza zaidi kesho yao katika biashara zao,Leo Machinga akihamishwa kupelekwa mahali patakapoamua kesho yake iliyonjema anahisi kaonewa kwakuwa tu uchaguzi umekwisha,Tunataka viongozi kama Rais Samia wasiojali kesho yao kisiasa ila Kesho ya wamachinga na watoto wao na watoto wa watoto wao,Kama Rais Samia atafanikiwa kuwahitimisha Umachinga hao watu 2.34M maana yake by 2024|25 Tanzania itakuwa na walipakodi zaidi ya 6M na itakuwa rekodi nyingine kwake kwani tangu Uhuru walipakodi wamefikia 3.8M kwenye nchi ya watu 60M,kwa akili za kawaida Watu wanaweza wakadhani machinga wanaonewa kumbe wanasaidiwa kufikia ndoto zao kirahisi, Mwenye masikio naasikie haya,


.........Kazi iendelee .........


VIVA TANZANIA | VIVA SAMIA | VIVA CCMView attachment 1937108
[/QUOTE]
 
Haha haha hii nchi inawatu aise!

Sasa pesa ya ndege na wamachinga wapi na wapi Mjomba? Au sijaelewa,

Machinga ndio mwekezaji wa kesho, Ndio CEOs waajao, ndio mabilioners wajao,

Kosa kubwa lililofanyika ambalo Rais Samia anaenda kulifuta ni kuwaacha Machinga kuwa adresslessly ,

Bank haiwezi kukupa mkopo wa 2M huku unazurula Mtaani au umekaa pembeni ya barabara, Hii haikubalika kabisa,

Bank wanataka uwe na eneo lako official,

Kitendo cha kuwaacha machinga wakizurula mtaani sio Sifa au tendo la huruma kwao ni kuua ndoto zao za wao kuwa wafanyabiashara wakubwa kesho,

Asante Rais Samia kuwatoa ndg zako wamachinga juani



___________________________________
Pesa ya ndege moja tu ingetosha kumaliza tatizo la machinga mijini.
Machinga ni zao la kushindwa kwa sera za ccm kuhusu uchumi.
 
Napenda sana ujasiri wa huyu Mama, Kuna wakati kama kiongozi lazima uoneshe njia hata kama utachukiwa kwa muda ipo siku watakuelewa,

Haiwezekani mtu anamika 20 ni machinga, Kwanini asisaidiwe kufikia levels za juu,

Wenzetu Kenya wanawapa mafunzo na mitaji na wamefanikiwa sana,

Mtoto wa watu anakaa juani miaka 10 eti anaitwa machinga mzoefu, Hii hapana,

Binafsi nazidi tu kumpenda Rais Samia,



QUOTE="CM 1774858, post: 40215588, member: 635023"]
UMACHINGA SIO KIPAJI, SIO SIFA, SIO CHEO, SIO KIPAWA | UMACHINGA NI HATUA YA KUFIKIA NDOTO YA KUWA MFANYABIASHARA MKUBWA NDANI|NJE YA TANZANIA
__________________________________________
Niserikali ya kichawi tu ndio inaweza kujisikia fahari mtu kujiita Machinga miaka nenda rudi uje na nimchawi pekee ndio anaweza kujisifia yeye ni mmachinga mzoefu,Umachinga sio sifa wala kipaji ni hatua|daraja la kupita kwenda hatua ya juu zaidi katika kumiliki na kuendesha biashara kubwa,Kila anayetamani machinga aendelee kuwa machinga huyo ni muuwaji wa ndoto za watu hao nani mtu hatari sana kwa Ustawi wa Taifa na Watu wake hasa hao machinga,Akitokea mtu anayetafuta nafuu kwenye Siasa akakwambia wewe Machinga endelea kuwa machinga nitakulinda huyo ni hatari kuliko mchawi na hafai kuwa kiongozi kama anashindwa kukuongoza kwenda kuwa mfanyabiashara mkubwa na anafurahia namna jua linavyoishia mwilini mwako siku kwa siku ili tu siku moja umpigie kura huyo hakufai wewe wala Mungu,

Tanzania inajumla ya Wamachinga 2,335,711 wenye vitambulisho huku wafanyabiashara wakifikia 3.8M,Hii ni sawa nakusema idadi ya wamachinga Tanzania ni 62% ya walipa kodi wote wa nchi hii,Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza wamachinga wapangwe vizuri maana yake watolewe Juani wapeleke kwenye maeneo ambayo watatambulika ( Permanent premises) ili kutimiza ndoto yao ya kuwa wafanyabiashara wakubwa,hapa lazima tumpongeze sana Rais wetu Mhe Samia Suluhu Hassan ,Moja ya Sharti kubwa la kupata mkopo toka benki yoyote ya Biashara ni kuwa na eneo sahihi na kufanyia biashara ( business premise ).Nahapa natamani wamachinga mnielewe vizuri nimesema umachinga sio kipaji ni hatua ya ukuaji katika biashara hivyo ni lazima ifike siku Muhitimu huo Umachinga ila kamwe hamuwezi kuuhitimu Umachinga mkiwa Chini pembeni ya Barabara,

Wamachinga wa nchi hii wamefanyiwa sana siasa na imefika wakati wamejiona kama wao ndio wenye turufu ya Siasa na Wanasiasa wa Tanzania badala ya kuwaza zaidi kesho yao katika biashara zao,Leo Machinga akihamishwa kupelekwa mahali patakapoamua kesho yake iliyonjema anahisi kaonewa kwakuwa tu uchaguzi umekwisha,Tunataka viongozi kama Rais Samia wasiojali kesho yao kisiasa ila Kesho ya wamachinga na watoto wao na watoto wa watoto wao,Kama Rais Samia atafanikiwa kuwahitimisha Umachinga hao watu 2.34M maana yake by 2024|25 Tanzania itakuwa na walipakodi zaidi ya 6M na itakuwa rekodi nyingine kwake kwani tangu Uhuru walipakodi wamefikia 3.8M kwenye nchi ya watu 60M,kwa akili za kawaida Watu wanaweza wakadhani machinga wanaonewa kumbe wanasaidiwa kufikia ndoto zao kirahisi, Mwenye masikio naasikie haya,


.........Kazi iendelee .........


VIVA TANZANIA | VIVA SAMIA | VIVA CCMView attachment 1937108
[/QUOTE]


🤛🏿 🤛🏿
 
🤛🏿🤛🏿

QUOTE="CHIEF MASALAKULANGWA, post: 40215950, member: 630004"]
Hayo maneno ni very unscientific na huwezi kuyalinda au kuya defend na data wala takwimu bali labda na ushabiki wa kisiasa! Hiyo pesa ya kununua ndege moja ingefanya nini!? Wamachinga wako dunia nzima hata huko kwenye pesa zaidi ya hizo za ndege moja wapo! Nenda New York wapo, nenda Washington wapo, nenda Cairo wapo na nenda sijui wapi wamachinga wapo!

Na huko ni pia ni "kushindwa kwa sera za CCM"? Wamachinga au Umachinga ni zao la ukosefu wa ajira ingawa inapaswa kuwa a stepping stone to MFANYA BIASHARA na hatimaye TO MWEKEZAJI kwa kutumia mtaji na fursa zilizopo, kuendelea kuwa Machinga miaka nenda miaka rudi ni kuwa FAILURE IN BUSINESS!
[/QUOTE]
 
Mjinga wewe kabisa,

,Machadema ndio yamekuwa yakiwalaghai wamachinga kila mwaka, wa uchaguzi,

Hata wao wamachinga wanaondolewa leo ni Machadema yaliwaruhusu wakae vichochoroni ili wapigiwe tu kura,

Chadema mmewachezea sana machinga wa nchi, Shame on you,

Nampongeza sana Mama Samia kwa juhudi yake ya kuwasaidia wamachinga ili walau wapate mkopo na waaminike na watambulike,



Amen🤛🏿🤛🏿
 
Wamachinga watanzani wamelemazwa nakubaliana na wewe,

tena wamechezewa sana

Hawakuwa na wakuwasaidia kufikia malengo yao zaidi ya kutafuta kura tu wakati wa uchaguzi, shame

Machinga badala ya kusaidiwa hata kutafutiwa mikopo wanapewa kadi hazina hata majina yao,

Bank gani itampa mkopo huyu mtu anayefanya biashara barabarani?

Nani atoe malikauli kwa mtu asiye na anuani ya biashara

Wamachinga wa Tanzania wameteseka sana,

Hongera sana Rais Samia tunakupenda sana,



Weigh 🤛🏿🤛🏿
 
UMACHINGA SIO KIPAJI, SIO SIFA, SIO CHEO, SIO KIPAWA | UMACHINGA NI HATUA YA KUFIKIA NDOTO YA KUWA MFANYABIASHARA MKUBWA NDANI|NJE YA TANZANIA
__________________________________________
Niserikali ya kichawi tu ndio inaweza kujisikia fahari mtu kujiita Machinga miaka nenda rudi uje na nimchawi pekee ndio anaweza kujisifia yeye ni mmachinga mzoefu,Umachinga sio sifa wala kipaji ni hatua|daraja la kupita kwenda hatua ya juu zaidi katika kumiliki na kuendesha biashara kubwa,Kila anayetamani machinga aendelee kuwa machinga huyo ni muuwaji wa ndoto za watu hao nani mtu hatari sana kwa Ustawi wa Taifa na Watu wake hasa hao machinga,Akitokea mtu anayetafuta nafuu kwenye Siasa akakwambia wewe Machinga endelea kuwa machinga nitakulinda huyo ni hatari kuliko mchawi na hafai kuwa kiongozi kama anashindwa kukuongoza kwenda kuwa mfanyabiashara mkubwa na anafurahia namna jua linavyoishia mwilini mwako siku kwa siku ili tu siku moja umpigie kura huyo hakufai wewe wala Mungu,

Tanzania inajumla ya Wamachinga 2,335,711 wenye vitambulisho huku wafanyabiashara wakifikia 3.8M,Hii ni sawa nakusema idadi ya wamachinga Tanzania ni 62% ya walipa kodi wote wa nchi hii,Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza wamachinga wapangwe vizuri maana yake watolewe Juani wapeleke kwenye maeneo ambayo watatambulika ( Permanent premises) ili kutimiza ndoto yao ya kuwa wafanyabiashara wakubwa,hapa lazima tumpongeze sana Rais wetu Mhe Samia Suluhu Hassan ,Moja ya Sharti kubwa la kupata mkopo toka benki yoyote ya Biashara ni kuwa na eneo sahihi na kufanyia biashara ( business premise ).Nahapa natamani wamachinga mnielewe vizuri nimesema umachinga sio kipaji ni hatua ya ukuaji katika biashara hivyo ni lazima ifike siku Muhitimu huo Umachinga ila kamwe hamuwezi kuuhitimu Umachinga mkiwa Chini pembeni ya Barabara,

Wamachinga wa nchi hii wamefanyiwa sana siasa na imefika wakati wamejiona kama wao ndio wenye turufu ya Siasa na Wanasiasa wa Tanzania badala ya kuwaza zaidi kesho yao katika biashara zao,Leo Machinga akihamishwa kupelekwa mahali patakapoamua kesho yake iliyonjema anahisi kaonewa kwakuwa tu uchaguzi umekwisha,Tunataka viongozi kama Rais Samia wasiojali kesho yao kisiasa ila Kesho ya wamachinga na watoto wao na watoto wa watoto wao,Kama Rais Samia atafanikiwa kuwahitimisha Umachinga hao watu 2.34M maana yake by 2024|25 Tanzania itakuwa na walipakodi zaidi ya 6M na itakuwa rekodi nyingine kwake kwani tangu Uhuru walipakodi wamefikia 3.8M kwenye nchi ya watu 60M,kwa akili za kawaida Watu wanaweza wakadhani machinga wanaonewa kumbe wanasaidiwa kufikia ndoto zao kirahisi, Mwenye masikio naasikie haya,


.........Kazi iendelee .........


VIVA TANZANIA | VIVA SAMIA | VIVA CCM​

View attachment 1937108




MAMA SAMIA PIGA KAZI, TUSAIDIE MACHINGA, TUMECHEZEWA SANA
 
Ujinga na Umasikini ni turufu muhimu kwa tabaka tawala kuendelea kumkandamiza mnyonge..
Akimpa fursa ya kumfikia atahatarisha nafasi yake..

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Haha haha hii nchi inawatu aise!

Sasa pesa ya ndege na wamachinga wapi na wapi Mjomba? Au sijaelewa,

Machinga ndio mwekezaji wa kesho, Ndio CEOs waajao, ndio mabilioners wajao,

Kosa kubwa lililofanyika ambalo Rais Samia anaenda kulifuta ni kuwaacha Machinga kuwa adresslessly ,

Bank haiwezi kukupa mkopo wa 2M huku unazurula Mtaani au umekaa pembeni ya barabara, Hii haikubalika kabisa,

Bank wanataka uwe na eneo lako official,

Kitendo cha kuwaacha machinga wakizurula mtaani sio Sifa au tendo la huruma kwao ni kuua ndoto zao za wao kuwa wafanyabiashara wakubwa kesho,

Asante Rais Samia kuwatoa ndg zako wamachinga juani



___________________________________


Mtoto wa Mama Samia huwa nakuelewa sana wewe, kila post yako lazima nicomment
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom