Sumbalawinyo
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 1,282
- 247
Tukiwa tunajongea karibu na uchaguzi mkuu wa wabunge, madiwani na rais,
umaarufu wa mwanasiasa kijana wa kambi ya upinzani kutoka CHADEMA umepungua mno.
Amekuwa kimya sana, hatoi tena zile hoja zake za nguvu na hasikiki kabisa.
Sijui ndio tayari ameshajiunga na kambi ya Lowasa na Rostam Aziz na kuwaacha wananchi wake wa Kigoma?
umaarufu wa mwanasiasa kijana wa kambi ya upinzani kutoka CHADEMA umepungua mno.
Amekuwa kimya sana, hatoi tena zile hoja zake za nguvu na hasikiki kabisa.
Sijui ndio tayari ameshajiunga na kambi ya Lowasa na Rostam Aziz na kuwaacha wananchi wake wa Kigoma?