wa mchangani
JF-Expert Member
- Feb 23, 2017
- 1,418
- 951
Wanaokuja na tafiti zao wanatakiwa wawekwe ndani maana wenye mamlaka ni bureau of statistics
KUwa makini na TAKWIMU. zimethibitishwa na Tasisi ya Takwimu?Kwa takwimu nilizopata jana umaarufu wa bidada umeshuka kwa 92%.#Na bado
Hiyo hata wewe unaweza. Idea yako hawezi kuifanyia kazi yeye. Fanya wewe utaifanya vizuri zaidiAngepata manangement nzuri, angeandaa fund rising dinners pia kuomba msaada kwenye makampuni makubwa, hata chama chake na kuwa na kipindi kwenye TV kuonyesha kazi zake na kuhoji wahitaji na walionufaika na msaada wake.
Yeye ana nafasi nzuri zaid kwenye jamii, Mimi nanahudumia jamii kwa njia nyingineHiyo hata wewe unaweza. Idea yako hawezi kuifanyia kazi yeye. Fanya wewe utaifanya vizuri zaidi
Hiyo taasisi ya Takwimu ni tawi la CCM.KUwa makini na TAKWIMU. zimethibitishwa na Tasisi ya Takwimu?
Hivi sasa yuko LIVE channel 5 kwenye NIRVANAHabari wanaJF
Pamoja na kwamba Wema hana umaarufu wowote lakini kipindi alipohamia CHADEMA umaarufu wake uliongezeka Mara dufu. Hali hii ilitokana na Wafuasi wa chama hicho kuwa bega kwa bega na yeye hasa katika kazi zake za uigizaji ambapo alikuwa akipositiwa na katika kurasa mbalimbali za wafuasi hao mitandaoni.
Pia alikuwa akipewa fursa mbalimbali katika chama. Cha kushangaza tangu aliporubuniwa na CCM na hatimaye kutangaza kurudi huko amepotea kama upepo. Hasikiki hata kidogo chama tayari kimeshamtupa Mara tu alipomaliza kutangaza kuwa amerudi CCM alionekana Mara moja tu akiwa na Makonda, sijui ndo alikuwa amemkubalia maana mama Wema aliwahi kusikika akisema kuwa Makonda alikuwa akimtaka Wema ingawa Wema alimkatalia.
Wema bila shaka utaielewa rangi halisi ya CCM, utakachoambulia hapo ni kufutiwa kesi tu hakuna kingine tena!
Hapa kasi tu
Msanii yeyote akishajiingiza kwenye siasa kwisha habari yake maana unawagawa washabiki wako.Habari wanaJF
Pamoja na kwamba Wema hana umaarufu wowote lakini kipindi alipohamia CHADEMA umaarufu wake uliongezeka Mara dufu. Hali hii ilitokana na Wafuasi wa chama hicho kuwa bega kwa bega na yeye hasa katika kazi zake za uigizaji ambapo alikuwa akipositiwa na katika kurasa mbalimbali za wafuasi hao mitandaoni.
Pia alikuwa akipewa fursa mbalimbali katika chama. Cha kushangaza tangu aliporubuniwa na CCM na hatimaye kutangaza kurudi huko amepotea kama upepo. Hasikiki hata kidogo chama tayari kimeshamtupa Mara tu alipomaliza kutangaza kuwa amerudi CCM alionekana Mara moja tu akiwa na Makonda, sijui ndo alikuwa amemkubalia maana mama Wema aliwahi kusikika akisema kuwa Makonda alikuwa akimtaka Wema ingawa Wema alimkatalia.
Wema bila shaka utaielewa rangi halisi ya CCM, utakachoambulia hapo ni kufutiwa kesi tu hakuna kingine tena!
Hapa kasi tu
umenikumbusha mbali hii ni jina ya bongo muvi moja ya kitambo sana enzi hio tunatumia hitach chogoFungu la kukosa
Tumpe uenyekiti wa uvccm basi maana kashakuwa msafi! Hahahahhahaahaha