Ilishakuwa hapa "Kesi" tu mzee!Hapa kasi tu
Makamanda kweli wameishiwa sasa mjadala ni wema sepetu!
Huko kwenu mlikua mnampa niniFungu la kukosa
Muulize mhusikaHuko kwenu mlikua mnampa nini
Nakuuliza wewe uleliemjibiaMuulize mhusika
Huu ni mrejesho wa uchungzi wangu! Mbona Umaarufu wa Magufuli ukishuka huwa unaeletwa hapa au nao wanakuwa wamedanganya huku haujashukaUmaarufu wa Wema ungekuwa umeshuka tusingeona unaleta uzi wa kumuhusu yeye,kumbe bi dada bado ni maarufu japo si mwanasiasa...!!!
Huo UMAARUFU ndio wamesema HANA tena au UMEPUNGUA au nimeelewa vibaya. Pesa atachanga za nani kwa mantiki hiyo?! Au afanye ile huwa wanaita KOLABOWema angejikita kwenye kusaidia jamii mfano watoto walemavu. Kufanya kama anavyofanya Hoyce Temu. Atumie umaarufu wake kuchangisha pesa za kutibu na kuwasaidia ma kundi yanayohitaji katika jamii.
Angepata manangement nzuri, angeandaa fund rising dinners pia kuomba msaada kwenye makampuni makubwa, hata chama chake na kuwa na kipindi kwenye TV kuonyesha kazi zake na kuhoji wahitaji na walionufaika na msaada wake.Huo UMAARUFU ndio wamesema HANA tena au UMEPUNGUA au nimeelewa vibaya. Pesa atachanga za nani kwa mantiki hiyo?! Au afanye ile huwa wanaita KOLABO