Umaarufu wa Tundu Lissu umezimwa ghafla na Zito kabwe Tayari ZITO amempiku. rasimi TUNDU LISU Tayari 2020 October Magufuli vs Zito CHADEMA out.

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Sep 4, 2019
1,379
3,882
Hata wabunge hawataki kuisoma hii michezo lakini baada ya TISS kuona ugumu wa Tundu Lissu kuhamia ACT kwa maana ya kuimaliza CHADEMA Plan B ikapangwa nayo ni kuupaisha umaarufu wa ZITO kwa gharama yeyote hili tayari limewezekana.

Baada ya BUNGE kuvunjwa Wabunge kadhaa na madiwani wa CHADEMA watasambaratika yaani CHADEMA itasambaratika rasimi

Habari ya mjini kwenye Upinzani ni ZITO si Tundu Lissu tena

Jiulize Kama ZITO aliandika barua kwa siri ni nani ameiweka hadharani?
Mtu wa kwanza kuidisclose ni Polepole then how kaiweka wazi?

The deal done ACT WAZALENDO chama kikuuu cha Upinzani 2020

Kwa upepo huu wa Zito hamhitaji tena TUNDU LISU yaani ZITO ametengenezewa umaarufu wa kylazimisha na imewezekana hakuna cha Lisu wala mnyika wala CHADEMA.
 
2108471_IMG_20190708_112437_219.jpg
 
We ndo huelewe mambo wanachotaka marekani ni kumbomoa jiwe ndani ya ccm, labda useme Membe vs Zitto.
Pesa za misaada zitakatwa mpaka ccm mpya watachukiana.. Marekani wanataka rais awe Membe, Lissu au Zitto.
 
Chama cha siasa hakijengwi kwa siku moja, wafuasi wa CDM hawayumbishwi na umaarufu wa mtu mmoja, ingekua hivyo chama kingekufa alipofukuzwa zitto, au alipohama Slaa.
CDM itaihitaji ACT kwa upande wa Zanzibar na ACT itaihitaji CDM kwa upande wa Tanganyika. Maalim Seif anaenda kuwa mwenyekiti wa ACT taifa, mziki unaoandaliwa uchaguzi 2020 utawaacha midomo wazi, na CCM wakiiba kura basi tujiandae kuwa Zimbabwe, mabeberu wameshajipanga.
 
Hata wabunge hawataki kuisoma hii michezo lakini baada ya TISS kuona ugumu wa Tundu Lissu kuhamia ACT kwa maana ya kuimaliza CHADEMA Plan B ikapangwa nayo ni kuupaisha umaarufu wa ZITO kwa gharama yeyote hili tayari limewezekana.

Baada ya BUNGE kuvunjwa Wabunge kadhaa na madiwani wa CHADEMA watasambaratika yaani CHADEMA itasambaratika rasimi

Habari ya mjini kwenye Upinzani ni ZITO si Tundu Lissu tena

Jiulize Kama ZITO aliandika barua kwa siri ni nani ameiweka hadharani?
Mtu wa kwanza kuidisclose ni Polepole then how kaiweka wazi?

The deal done ACT WAZALENDO chama kikuuu cha Upinzani 2020

Kwa upepo huu wa Zito hamhitaji tena TUNDU LISU yaani ZITO ametengenezewa umaarufu wa kylazimisha na imewezekana hakuna cha Lisu wala mnyika wala CHADEMA.
wakupimwa ww sio mzima
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom