Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,379
- 3,882
Hata wabunge hawataki kuisoma hii michezo lakini baada ya TISS kuona ugumu wa Tundu Lissu kuhamia ACT kwa maana ya kuimaliza CHADEMA Plan B ikapangwa nayo ni kuupaisha umaarufu wa ZITO kwa gharama yeyote hili tayari limewezekana.
Baada ya BUNGE kuvunjwa Wabunge kadhaa na madiwani wa CHADEMA watasambaratika yaani CHADEMA itasambaratika rasimi
Habari ya mjini kwenye Upinzani ni ZITO si Tundu Lissu tena
Jiulize Kama ZITO aliandika barua kwa siri ni nani ameiweka hadharani?
Mtu wa kwanza kuidisclose ni Polepole then how kaiweka wazi?
The deal done ACT WAZALENDO chama kikuuu cha Upinzani 2020
Kwa upepo huu wa Zito hamhitaji tena TUNDU LISU yaani ZITO ametengenezewa umaarufu wa kylazimisha na imewezekana hakuna cha Lisu wala mnyika wala CHADEMA.
Baada ya BUNGE kuvunjwa Wabunge kadhaa na madiwani wa CHADEMA watasambaratika yaani CHADEMA itasambaratika rasimi
Habari ya mjini kwenye Upinzani ni ZITO si Tundu Lissu tena
Jiulize Kama ZITO aliandika barua kwa siri ni nani ameiweka hadharani?
Mtu wa kwanza kuidisclose ni Polepole then how kaiweka wazi?
The deal done ACT WAZALENDO chama kikuuu cha Upinzani 2020
Kwa upepo huu wa Zito hamhitaji tena TUNDU LISU yaani ZITO ametengenezewa umaarufu wa kylazimisha na imewezekana hakuna cha Lisu wala mnyika wala CHADEMA.