NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,032
- 4,023
Nimekuwa nikiuliza siku nyingi sana.Israel ni taifa dogo sawa na mkoa wa Morogoro.
Lakini umaarufu wake hata Marekani wako kama wanawalinda.
Vitabu vya dini viliwaita ni taifa teule la mungu.Ukisoma biblia hata majeshi ya wayahudi walikuwa wakishinda vita kila wakipigana.
Nini sababu kubwa mataifa makubwa Marekani,Urusi,Ujerumani kuwatukuza na kuwaogopa hawa watu.
Sina chuki nao mi sio semitic ila nataka kujua siri iliyofichika juu yao duniani.
c.c Mbwanaallyamtu
Lakini umaarufu wake hata Marekani wako kama wanawalinda.
Vitabu vya dini viliwaita ni taifa teule la mungu.Ukisoma biblia hata majeshi ya wayahudi walikuwa wakishinda vita kila wakipigana.
Nini sababu kubwa mataifa makubwa Marekani,Urusi,Ujerumani kuwatukuza na kuwaogopa hawa watu.
Sina chuki nao mi sio semitic ila nataka kujua siri iliyofichika juu yao duniani.
c.c Mbwanaallyamtu