Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,350
puuuuuuumba tupu
kama kaanza kuzomewa subiri ipo siku mtasikia katimuliwa. na bado yeye sialijikinga kwenye kanisa? sasa maaskofu wasiokuwa wakatoriki wamesha anza kumwaga cheche na waumini hufuata msimamo wa viongozi wao kwahiyo Slaa hawezi tena pata umaarufu kwa wananchi maana wanaoelimisha jamii juu ya propaganda za slaa.
Gazeti la Tazama linatuhabarisha kuwa umaarufu wa Chadema unaonekana kupungua baada ya Dk.Slaa kuzomewa huko Tabora.
nasikia CDM wanajiandaa na operesheni kambale ikifuatiwa na operesheni mijusi haahaa kweli wameishiwa,sasa ashataja majina wamekaa kimya wanatunga uzushi mwingine wampe mzee wa watu Slaa ataje ili yeye aonekane punguwani kwanini kina MBOWE hawataji majina au huyu aliyechukuliwa katika dirisha dogo prof Safari angepewa jukumu la kutaja majina haahaa
Niliwaonya kumpeleka huyu mzee TBR, hakuna wajinga wajinga huko na ana bahati tu wange mpopoa na mivigi vigi hadi ajishenyente.
Duh poleni sana mlivyojipanga hadi huruma, halafu Msekwa anauliza kwanini CCM inachukiwa na vijana hasa kwenye mtandao wa JF kama nyie ndio watumwa wake mtamuua mzee wa watu kabla ya siku zake.kama kaanza kuzomewa subiri ipo siku mtasikia katimuliwa. na bado yeye sialijikinga kwenye kanisa? sasa maaskofu wasiokuwa wakatoriki wamesha anza kumwaga cheche na waumini hufuata msimamo wa viongozi wao kwahiyo Slaa hawezi tena pata umaarufu kwa wananchi maana wanaoelimisha jamii juu ya propaganda za slaa.
Hata akizomewa kule sio ajabu sana kwa kuwa kule madrasa ni nyingi kuliko madarasa. Ni moja kati ya maeneo ambayo watu wake walichukuliwa sana utumwani na waarabu so sio ajabu kuchukuliwa utumwa na CCM. Tabora hakuna maendeleo yoyote zaidi ya ma-ustaadhi kukaa vijiweni kunywa kahawa, ukombozi kwao sio leo. Mufti si aliwakataza kuandamana na elimu yake ya darasa la saba
Hata akizomewa kule sio ajabu sana kwa kuwa kule madrasa ni nyingi kuliko madarasa. Ni moja kati ya maeneo ambayo watu wake walichukuliwa sana utumwani na waarabu so sio ajabu kuchukuliwa utumwa na CCM. Tabora hakuna maendeleo yoyote zaidi ya ma-ustaadhi kukaa vijiweni kunywa kahawa, ukombozi kwao sio leo. Mufti si aliwakataza kuandamana na elimu yake ya darasa la saba
kababu wanakaonea sana coz wanakapa mizigo mingi sana,sasa na kwavile hakana kazi kanabidi katie maagizo la sivyo zile milioni kumi na ushee za kila mwezi wale wachaga hawatampa haaha kila siku wimbo wa majina?? babu toa singo nyingine haaa kushne kabisa
Hata akizomewa kule sio ajabu sana kwa kuwa kule madrasa ni nyingi kuliko madarasa. Ni moja kati ya maeneo ambayo watu wake walichukuliwa sana utumwani na waarabu so sio ajabu kuchukuliwa utumwa na CCM. Tabora hakuna maendeleo yoyote zaidi ya ma-ustaadhi kukaa vijiweni kunywa kahawa, ukombozi kwao sio leo. Mufti si aliwakataza kuandamana na elimu yake ya darasa la saba
Hata akizomewa kule sio ajabu sana kwa kuwa kule madrasa ni nyingi kuliko madarasa. Ni moja kati ya maeneo ambayo watu wake walichukuliwa sana utumwani na waarabu so sio ajabu kuchukuliwa utumwa na CCM. Tabora hakuna maendeleo yoyote zaidi ya ma-ustaadhi kukaa vijiweni kunywa kahawa, ukombozi kwao sio leo. Mufti si aliwakataza kuandamana na elimu yake ya darasa la saba
Unapogawa Bure Kijarida kumikashifu mwenzako hata kama Allegation zako zina Ukweli zitaonekana ni Propaganda mbele za wasomi na Zinasifiwa na wale wenye uwezo mdogo wa kufikiri na mara Nyingi propaganda za kugawa Vijarada Bure Vinamjenga zaidi Mpinzani wako.
Hongera CCM Think Tank
Gazeti la Tazama linatuhabarisha kuwa umaarufu wa Chadema unaonekana kupungua baada ya Dk.Slaa kuzomewa huko Tabora.
Mimi siwezi kutukana imani ya mtu, na dharau hii kwa waislamu pamoja na tabia ya mgombea wenu wa urais kuiba wake za watu, haitatokea CDM inatawala nji hii.
Gazeti la Tazama linatuhabarisha kuwa umaarufu wa Chadema unaonekana kupungua baada ya Dk.Slaa kuzomewa huko Tabora.
Gazeti la Tazama linatuhabarisha kuwa umaarufu wa Chadema unaonekana kupungua baada ya Dk.Slaa kuzomewa huko Tabora.