Revolutionary
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 456
- 86
Kuna mikakati ya muda mrefu na ya muda mfupi kwa vyama vya siasa kuwin washabiki na wanachama wengi kipindi fulani!
Hapa kuna long term strategies na short term strategies ikitiegemeana na haswa ideology ya viongozi wa chama. Ideology nzuri ni zile zinazohusisha mchanganyiko
sahihi wa long term na short term strategies kwa wakati na mahala pale.
Mikakati ya muda mrefu (Long term strategies) huwa imara na very effective kama itakuwa engeneered na futuristic leaders wenye mitazamo (vision) iliyoyukuka (kama Mwl Nyerere.
Mikakati hii ya muda mrefu huleta ukombozi kweli na unaodumu kwa muda mrefu (kama utapata ushikiano wa kutosha). Hii huhitaji viongozi thabiti (a bit dictating) kufikisha nchi wanakodhamiria, Mfano mzuri kwa Afrika ni Rais Paul Kagame wa Rwanda au kidogo Rais Mkapa (kwa alivyokuwa na mtazamo wa kupunguza deni la Tanzania hadi mwaka 2001 Tanzania ikaqualify kusamehewa deni la USD 3 billion Kinyume na sasa.
Hata hivyo viongozi wengi wenye mlengo huu hutokea kutopendwa sana kutokana na wao kutoleta mabadiliko ya haraka haraka ambayo watu hupenda kuyaona na kutokana na kuwa wababe kiasi fulani.
Viongozi wengine wengi kwa kutopenda complication na kutaka kufurahisha furahisha watu ili wapendwe fasta fasta mfano mzuri ni Rais Kikwete na Ideology yake ya Liberal Populist na mikakati yake ya danganya toto (quick win) ambayo huwa haidumu, najua mnakumbuka, mikakati yake iliyokuwa na slogan kama "Kasi mpya Ari mpya, Nguvu mpya", "Maisha bora kwa kila mtanzania"
Mabilioni ya Kikwete, ahadi zake kama ile ya Ajira Millioni ambazo zilimfanya apendwe na KUSHINDA KWA KISHINDO, lakini sasa zimemgeukia na Kuponea chupuchupu kugalagazwa katika uchaguzi uliopita. KWA MTAZAMO WANGU BINAFSI, MIKAKATI NA AHADI ZA DANGANYA TOTO AMBAZO ALISHINDWA KUZIDELIVER NDIO CHANZO CHAKE KUFANYA VIBAYA UCHAGUZI ULIOPITA kinyume na CCM wanavyotafuta Mchawi wao nje ya chama hicho na kuanza kuvua magamba bila matarajio mazuri.
Nina hakika kama Kikwete angekuwa na mikakati sahihi ya kudumu na angetimiza ahadi zake angeendelea kupendwa despite vijembe vya Chadema na hayo wanayowasingizia JF na mahasimu wao wengine!
CHADEMA NA MIKAKATI DANGANYA TOTO (Quick win Strategies!)
Hivi Karibuni CHADEMA wametokea kupendwa na watanzania wengi. Hii inatokana na na sera mikakati inayowavutia wengi.
Kwa mtazamo wangu ni kwamba NYINGI YA SERA NA MIKAKATI YA CHADEMA (except Katiba na mingineyo) NI YA MUDA MFUPI INAYOENDANA NA KUDANDIA DANDIA HOJA NA KUIBUA HOJA NA MASUALA (HOT ISSUES) MBALIMBALI YALIYOMAARUFU KWA WAKATI FULANI TU!
Tunaweza kuona mifano katika hoja nyingi za maandamano, zile zinazoibuliwa na viongozi hao na baadhi ya zile zinazopelekwa Bungeni, mfano baadhi ya Hoja mpito za Mh Mnyika (kuhusu NSSF na nyinginezo) na wengineo pamoja na mkakati wa kuidhoofisha CCM. Nawapongeza kwa ujasiri na uthubutu wa katika kuibua ishu mbalimbali bila woga.
Lakini angalizo ni kwamba hoja na mikakati mingi ni ya kufanya CHADEMA kipendwe tu kwa wakati fulani (wakati huu) na kuna hatari ya chama kupoteza wapenzi na washabiki kwa in a long term na haswa kama CCM itajizatiti na kuanza kuwajengea imani watanzania.
NINI KIFANYIKE.
1. Nashauri pamoja na mikakati hii danganya toto, CHADEMA wawe na waendelee kuwa na mikakati mikubwa ya mtazamo wa mbali wenye lengo la kuikomboa Tanzania kiuchumi na muda mrefu ambayo nguvu zao zote na matendo yote ya kila siku yataelekezwa kufikia lengo hilo kuu, Lengo ambalo liwe wazi na waweze kulidefend watakapokuwa critisized na wapunguze kutumia nguvu nyingi kwenye mambo yasio na matokeo ya muda mrefu.[ni kazi ya Chadema kutafsiri ushauri huu katika vitendo, so I wont dictate what to do
2. Viongozi na wanachama na hasa wabunge wawe waangalifu, waadilifu na makini na madaraka yao na siku zote wafanye maamuzi sahihi hata kama yatawachukiza marafiki zao wa Muda Mrefu!
3. Chadema wasikae tu kutetea hoja au kutekeleza tu "POPULAR ISSUES" kwa wakati fulani bali wakae na watende mambo kimtazamo.
4. viongozi wakubali kwamba kazi nzuri walioianza hawataweza kuikamilisha peke yao yawapasa wawaandae vijana watu (vijana) thabiti na makini watakaoendeleza mapambano kwa nguvu zaid na zaid.
5. Chadema wawe watiifu na wanyenyekevu kwa waliowachagua na Watananzania ili watu waendelee kuwa na imani na Chama na mikakati yao.
NAJUA WADAU MNA MICHANGO MINGI ZAID YA HII.
Bila mikakati ya Muda mrefu, yenye mitazamo thabiti ya kuitoa Tanzania kutoka A kwenda B intakuwa ni kazi sana CHADEMA kushika Madaraka ya Serikali na haswa kama CCM itajirekebisha na kurudi kwenye reli kwa kurudisha uadilifu na uwajibikaji! The Mighty CCM Machinery is has all the advantage!
AND MIND YOU,RAIA NI OPPORTUNISTIC IN NATURE! WATANZANIA WASIJE WAKAWATAFINA CHADEMA MKAISHA UTAMU WAKAWATEMA KAMA BIGJII! kama wanavyotaka kuifanya CCM sasa!
Otherwise CHADEMA IS JUST ANOTHER "BUBBLE GUM POLITICAL PARTY" [kama nyimbo za bongo fleva (not hip hop) zinazotoka leo kesho tunazisahau tunapenda nyingiine....
Hapa kuna long term strategies na short term strategies ikitiegemeana na haswa ideology ya viongozi wa chama. Ideology nzuri ni zile zinazohusisha mchanganyiko
sahihi wa long term na short term strategies kwa wakati na mahala pale.
Mikakati ya muda mrefu (Long term strategies) huwa imara na very effective kama itakuwa engeneered na futuristic leaders wenye mitazamo (vision) iliyoyukuka (kama Mwl Nyerere.
Mikakati hii ya muda mrefu huleta ukombozi kweli na unaodumu kwa muda mrefu (kama utapata ushikiano wa kutosha). Hii huhitaji viongozi thabiti (a bit dictating) kufikisha nchi wanakodhamiria, Mfano mzuri kwa Afrika ni Rais Paul Kagame wa Rwanda au kidogo Rais Mkapa (kwa alivyokuwa na mtazamo wa kupunguza deni la Tanzania hadi mwaka 2001 Tanzania ikaqualify kusamehewa deni la USD 3 billion Kinyume na sasa.
Hata hivyo viongozi wengi wenye mlengo huu hutokea kutopendwa sana kutokana na wao kutoleta mabadiliko ya haraka haraka ambayo watu hupenda kuyaona na kutokana na kuwa wababe kiasi fulani.
Viongozi wengine wengi kwa kutopenda complication na kutaka kufurahisha furahisha watu ili wapendwe fasta fasta mfano mzuri ni Rais Kikwete na Ideology yake ya Liberal Populist na mikakati yake ya danganya toto (quick win) ambayo huwa haidumu, najua mnakumbuka, mikakati yake iliyokuwa na slogan kama "Kasi mpya Ari mpya, Nguvu mpya", "Maisha bora kwa kila mtanzania"
Mabilioni ya Kikwete, ahadi zake kama ile ya Ajira Millioni ambazo zilimfanya apendwe na KUSHINDA KWA KISHINDO, lakini sasa zimemgeukia na Kuponea chupuchupu kugalagazwa katika uchaguzi uliopita. KWA MTAZAMO WANGU BINAFSI, MIKAKATI NA AHADI ZA DANGANYA TOTO AMBAZO ALISHINDWA KUZIDELIVER NDIO CHANZO CHAKE KUFANYA VIBAYA UCHAGUZI ULIOPITA kinyume na CCM wanavyotafuta Mchawi wao nje ya chama hicho na kuanza kuvua magamba bila matarajio mazuri.
Nina hakika kama Kikwete angekuwa na mikakati sahihi ya kudumu na angetimiza ahadi zake angeendelea kupendwa despite vijembe vya Chadema na hayo wanayowasingizia JF na mahasimu wao wengine!
CHADEMA NA MIKAKATI DANGANYA TOTO (Quick win Strategies!)
Hivi Karibuni CHADEMA wametokea kupendwa na watanzania wengi. Hii inatokana na na sera mikakati inayowavutia wengi.
Kwa mtazamo wangu ni kwamba NYINGI YA SERA NA MIKAKATI YA CHADEMA (except Katiba na mingineyo) NI YA MUDA MFUPI INAYOENDANA NA KUDANDIA DANDIA HOJA NA KUIBUA HOJA NA MASUALA (HOT ISSUES) MBALIMBALI YALIYOMAARUFU KWA WAKATI FULANI TU!
Tunaweza kuona mifano katika hoja nyingi za maandamano, zile zinazoibuliwa na viongozi hao na baadhi ya zile zinazopelekwa Bungeni, mfano baadhi ya Hoja mpito za Mh Mnyika (kuhusu NSSF na nyinginezo) na wengineo pamoja na mkakati wa kuidhoofisha CCM. Nawapongeza kwa ujasiri na uthubutu wa katika kuibua ishu mbalimbali bila woga.
Lakini angalizo ni kwamba hoja na mikakati mingi ni ya kufanya CHADEMA kipendwe tu kwa wakati fulani (wakati huu) na kuna hatari ya chama kupoteza wapenzi na washabiki kwa in a long term na haswa kama CCM itajizatiti na kuanza kuwajengea imani watanzania.
NINI KIFANYIKE.
1. Nashauri pamoja na mikakati hii danganya toto, CHADEMA wawe na waendelee kuwa na mikakati mikubwa ya mtazamo wa mbali wenye lengo la kuikomboa Tanzania kiuchumi na muda mrefu ambayo nguvu zao zote na matendo yote ya kila siku yataelekezwa kufikia lengo hilo kuu, Lengo ambalo liwe wazi na waweze kulidefend watakapokuwa critisized na wapunguze kutumia nguvu nyingi kwenye mambo yasio na matokeo ya muda mrefu.[ni kazi ya Chadema kutafsiri ushauri huu katika vitendo, so I wont dictate what to do
2. Viongozi na wanachama na hasa wabunge wawe waangalifu, waadilifu na makini na madaraka yao na siku zote wafanye maamuzi sahihi hata kama yatawachukiza marafiki zao wa Muda Mrefu!
3. Chadema wasikae tu kutetea hoja au kutekeleza tu "POPULAR ISSUES" kwa wakati fulani bali wakae na watende mambo kimtazamo.
4. viongozi wakubali kwamba kazi nzuri walioianza hawataweza kuikamilisha peke yao yawapasa wawaandae vijana watu (vijana) thabiti na makini watakaoendeleza mapambano kwa nguvu zaid na zaid.
5. Chadema wawe watiifu na wanyenyekevu kwa waliowachagua na Watananzania ili watu waendelee kuwa na imani na Chama na mikakati yao.
NAJUA WADAU MNA MICHANGO MINGI ZAID YA HII.
Bila mikakati ya Muda mrefu, yenye mitazamo thabiti ya kuitoa Tanzania kutoka A kwenda B intakuwa ni kazi sana CHADEMA kushika Madaraka ya Serikali na haswa kama CCM itajirekebisha na kurudi kwenye reli kwa kurudisha uadilifu na uwajibikaji! The Mighty CCM Machinery is has all the advantage!
AND MIND YOU,RAIA NI OPPORTUNISTIC IN NATURE! WATANZANIA WASIJE WAKAWATAFINA CHADEMA MKAISHA UTAMU WAKAWATEMA KAMA BIGJII! kama wanavyotaka kuifanya CCM sasa!
Otherwise CHADEMA IS JUST ANOTHER "BUBBLE GUM POLITICAL PARTY" [kama nyimbo za bongo fleva (not hip hop) zinazotoka leo kesho tunazisahau tunapenda nyingiine....