Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,126
- 8,625
- Thread starter
- #21
DJ ArafatYuko mmoja hapa mtaani kwangu,simuombei mabaya ila dah jamaa anajiamini sana,hizo show kama alizokuwa nafanya huyo marehemu hapo juu huwa anazifanya sana...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DJ ArafatYuko mmoja hapa mtaani kwangu,simuombei mabaya ila dah jamaa anajiamini sana,hizo show kama alizokuwa nafanya huyo marehemu hapo juu huwa anazifanya sana...
Ni kweli. He should have known better.Ukicheki clip Youtube ndipo utamshangaa huyu marehemu
huyu jamaa amefanya collabo na j martin kama tatu hivi hadi nikajuaga ni kundi yeye na j martin!
hapa bongo bado t bway 360 anakimbizaga ndinga vibaya mnooo
Daaah R.I.P
Tupe shule apaRest In Protons.
"It's I-ya Jeremiah, conceived through the blunt fire
On Kawasakis could wheelie up on one tire"
AZ- "The Format"
AZ ni rapper maarufu wa New York City, hapo alikuwa anajitapa jinsi anavyoweza kurusha pikipiki kwa tairi moja kama marehemu.Tupe shule apa
Video tafadhali ama link yakeJana ilikuwa siku ngumu sana kwa tasnia ya mziki Afrika hususani nchini Congo na Ivory Cost. Hii ni baada ya mwanamziki na DJ maarufu sana kijana DJ Arafat kuaga dunia kwa ajali mbaya ya pikipiki akiwa anaendesha (anaichezea) kwenye barabara kuu za mjini Ivory Cost.
Katika video iliyonaswa na CCTV DJ Arafat anaonekana akiiandaa pikipiki yake huku wafuasi wake wakimshangilia akiwa hana hata kofia ngumu maarufu helmet na vifaa vingine ambavyo huwa naona waendesha pikipiki kubwa za mashindano wakivaa. Baadae anaonekana akiendesha kwa madaha (akiendesha kwa kutumia tairi moja yaani mbele imeinuka!! Baadae anaweka miguu juu ya sehemu ya kukalia na mwisho anaonekana akiiparamia gari na kufa palepale.
Kwa haraka utaona kabisa umaarufu wake hakujali sheria za barabarani wala polisi wa usalama barabarani. Huyu ndie alikuwa DJ special wa wanamziki wa Congo waendapo kupiga show Ivory Cost ukizingatia wanaongea lugha moja (French) na kafanya colabo za kutosha.
R.I.P bro
View attachment 1179854View attachment 1179855View attachment 1179856View attachment 1179858
Mzigo mpya umeingia Kutoka *Congo* Maarufu kwa jina la *vumbi la Kongo*
ambao unaitwa *Kasongo mundende* walio wengi wanajua kwa jina la *Kizizi cha mkuyati*
Bei ni efu 20000.tu.
Njoo imbox au nipigie 0759900549/0654233452
*Zifuatazo ni baadhi ya faida zake*
DAWA YA KUPAKA INAKUPA MAJIBU MUDA MCHACHE BAADA YA KUIPAKA
FAIDA ZA KASONGO
KUCHELEWA KUFIKA KILELENI MAPEMA√
KUUFANYA UUME LEGE KUWA NGANGALI√
KUMUDU TENDO LA NDOA KWA MUDA MREFU√
HURUDISHA HESHIMA YA NDOA√
UNAOUWEZO WA KUTAFUTA GOLI LA KWANZA KWA MUDA WA DAKIKA 40 UKIMALUZA TU NGOMA INASIMAMA TENA..LAKINI PIA
KULETA HAMU YA KURUDIA
BILA KUCHOKA√
Hii ni dawa kiboko yao
Pia ninayo dawa ya kukuza uume kwa ulefu na upana.
*DAWA NI YA ASILIHAINA MADHARA KWA MATUMIZI.*
Imagoma mkuu hebu nisaidie nifuate taratibu zipiUnaweza kuiweka hapa hiyo video mkuu!?