Mr.Duttu
Member
- Nov 7, 2015
- 91
- 57
Hello guys,
Natumai mko na siku njema nyote na ata ambao wana ili nalile yote ndo maisha.
Naitaji kupata experience kwa mtu aliyewai kufanya kazi kwenye Microfinance moja mjoni apa inayoitwa Ultimate Finance ofisi zao zipo opposite na mahakama ya rufaa posta na pengine, naitaji kujua utendaji wao wa kazi, policies zao na uendeshaji wao kiujumla maana tunaskia izi Microfinance uwa zina longolongo nying sana
Asante.
Natumai mko na siku njema nyote na ata ambao wana ili nalile yote ndo maisha.
Naitaji kupata experience kwa mtu aliyewai kufanya kazi kwenye Microfinance moja mjoni apa inayoitwa Ultimate Finance ofisi zao zipo opposite na mahakama ya rufaa posta na pengine, naitaji kujua utendaji wao wa kazi, policies zao na uendeshaji wao kiujumla maana tunaskia izi Microfinance uwa zina longolongo nying sana
Asante.