Transistor
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 970
- 1,460
Uliza swali lolote la electronics!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
electronic huwa inahusu nn zaidi hii course yake? content gani hasa unazisomea?Uliza swali lolote la electronics!
Ktk transformer za tanesco. Huwa naona wameandika ...KVA. hyo KVA inamaanisha nn? (Najua kugoogle)
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitambo sana sijakusikia humu...Uliza swali lolote la electronics!
Ktk transformer za tanesco. Huwa naona wameandika ...KVA. hyo KVA inamaanisha nn? (Najua kugoogle)
Sent using Jamii Forums mobile app
Kilo Voltage AmpereKtk transformer za tanesco. Huwa naona wameandika ...KVA. hyo KVA inamaanisha nn? (Najua kugoogle)
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba 200KVA sawa na wats ngap? Au hamna uhusiano hapo?Kilo Voltage Ampere
Ni kipimo cha wattage ya transformer.
Kva=Voltage x Current/1000
Kilo = ni kipimo katika maalfu
1kilo = 1000
Hivyo VA 1000 ni sawa na kusema 1KVA
Hivyo ukiona kipimo kipo katika K maana kipo katika maalfu.
1KVA = 1000 VA
Kitambo sana sijakusikia humu...
Swali 1:
linahusu kucharge Lead acid battery
-ni Voltage kiasi gani na Current kiasi gani inayohitajika kuchaji lead acid battery yenye 12V, 7.2AH
Swali 2:
linahusu kucharge Li ion/Polymer battery
-ni Voltage kiasi gani na Current kiasi gani inayohitajika kuchaji Li ion/polymer battery yenye 3.7V, 2000mAH
12v yenye 7.2ah
Chukua 7.2ah / 10h =
0.72ampere as charging current.
13.5v as charging voltage
2000mAH/3h =600mAH
Charging volage 5voltage
hiyo 13.5V na hiyo 5V zinapatikanaje? au ni fixed values kwa hizo battery?
Tumia IC lm386 Ku create hio signal booster ni rahisi sana mkuuKUHUSU ELECTRONIC DEVICES: mobile signal booster naishi kwenye bonde kiasi kwamba mpaka sasa nipo baa mtaa wa tatu natuma hii txt ndio niende nyumbani asubuhi ndio nikute majibu ya MOBILE SIGNAL BOOSTER
Sijakuelewa bado aseHii iko bomba Sema unapoteaga sana. Naomba utuekeze Tofauti ya kuwa na matatizo kwa Crt pamoja na Ic proseser ya tv