hao walikuja dodoma na magari ya jeshi pamoja na mafile yao juzi tu hapa, alafu anasema aulizwe swali lolote kuhusu dodoma.Kwanini haujibu maswali ya wadau na umeomba kuulizwa?
Acha uongoKwa nini mji wa ddma una omba2 wengi kuliko miji nyingine
Kwa sababu ni jangwa.Kwa nini mji wa ddma una omba2 wengi kuliko miji nyingine
Sasa Kwa nini seriarikali ya nchi maskini hivi ijenge mji jangwani je kuna faida gani kwa nchi hii??sabab u ni jangwa.