Geniustin
JF-Expert Member
- Mar 15, 2013
- 4,379
- 2,827
Mbona huko pazuri aseemindset ya mzawa mweusi ni mbaya sana na imewaletea umaskini mkubwa sana,tatizo kila kitu hapa kinafanywa na serikali,elimu,afya,gharama za kuishi kama maji na umeme vyote vinafanywa na serikali,mzawa akizaa mtoto atapewa R400 sawa na Sh 80000 kwa mwezi mpaka mtoto atimize miaka 18,ssasa utakuta wazawa wanashindana kuzaa manake anajua akizaa 10 ana R4000 pamoja na free services
Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app