Uliza swali lako kuhusu CFD, Options, Bonds, Stocks and Currency Trading (Forex)

Anza kujifunza trading psychology itakusaidia kujibu maswali yako.hili gemu ni gumu. Kuna muda utafika utajijibu maswali hayo mkuu na utanishukuru.
Remember success cannot be bought or transferred but through what
dah mkuu ni kweli, maswali mengi huwa yankuja kichwani mwangu nikijaribu kyaserch google sometimes hayapo.. ila kuna muda sijui huwa miujiza nikiwa sina kazi kuna muda dishi la kichwa huwa linatuliaa najikuta tu majibu yanaanza kuja taratitu na hapo huwa naturiaa vizuri nachukua karamu na limu pepa, naanza kuyaamishia kwenye karatasi hadi yote yanaishaa.. then najiuliza mbona mwanzo nilishindwaaa??? ahaaaaa! basi natunza ile karatasi kama kumbukumbu... siku zikipita nikisoma ile karatasi naanza kucheka najiuliza tena hivi haya majibu ningeyapata wapi???
leo tena baada ya weekenk hii kuchungulia chati. pair ya USD CAD naipenda hiyo.. nikasema ngoja nijipime kama market ikifunguka jumapili usiku itanipa pesa.. nikatest kwa demo.. kilichotoke ni opposite halafu palitokea big moves dah nikasema ningepatia hii kitu kwa real money ningelala baa kabisaaa
usdcad.PNG
 
Jibu zuri sana.
Ahsante mwl.rct Kama umenielewa Ila navyojua mwingine atamaindi na tangiapo nachoona mie ni sahihi sio lazima kiwe sahihi kwako pia.
dah mkuu ni kweli, maswali mengi huwa yankuja kichwani mwangu nikijaribu kyaserch google sometimes hayapo.. ila kuna muda sijui huwa miujiza nikiwa sina kazi kuna muda dishi la kichwa huwa linatuliaa najikuta tu majibu yanaanza kuja taratitu na hapo huwa naturiaa vizuri nachukua karamu na limu pepa, naanza kuyaamishia kwenye karatasi hadi yote yanaishaa.. then najiuliza mbona mwanzo nilishindwaaa??? ahaaaaa! basi natunza ile karatasi kama kumbukumbu... siku zikipita nikisoma ile karatasi naanza kucheka najiuliza tena hivi haya majibu ningeyapata wapi???
leo tena baada ya weekenk hii kuchungulia chati. pair ya USD CAD naipenda hiyo.. nikasema ngoja nijipime kama market ikifunguka jumapili usiku itanipa pesa.. nikatest kwa demo.. kilichotoke ni opposite halafu palitokea big moves dah nikasema ningepatia hii kitu kwa real money ningelala baa kabisaaa
View attachment 1826930
Tafuta kaunta book zuri la quire 4 mkuu uwe unaweka samari za kutosha.
Mwishowe kabisa utakuja kujua kuwa ni mindset will make your equity curve slope positive
 
Fanya monitoring ya currency index
View attachment 1826903

How
Lazima uwe na Tool kama hii pichani.
  • Hapo namonitor individual currency: AUD, USD, EUR, CAD, NZD, CHF, JPY
  • Chukulia GBP imeanza Uptrend cycle na ikiwa leo ni siku yake ya kwanza , Angalia neno 1 PFL ( Peak Formation Low).

Complete 28 Currency Pair Taken @ 21:15HR
View attachment 1826908


Tumia Higher time frame Daily/ Weekly - Hivyo ukiwa kwenye lower Timeframe below H1 utatambua wazi kuwa hii ni Retracement/ Correction

Huu ni uongo umeutoa wapi?.

Sababu price Change haipimwi kwa kutumia muda, Price hupimwa kwa kutumia Volume/Ticks/ Pips etl Time has no effect on Price change. Kuna factors zinazopelekea price kubadilika kwa haraka ila haihusiani na Time hata kidogo kama ulivyo eleza hapo juu.

Unachanganya habari.

Duu, Bado una safari ndefu sana.
ahaaa ndio bado sanaaa mkuuu
 
Ahsante mwl.rct Kama umenielewa Ila navyojua mwingine atamaindi na tangiapo nachoona mie ni sahihi sio lazima kiwe sahihi kwako pia.

Tafuta kaunta book zuri la quire 4 mkuu uwe unaweka samari za kutosha.
Mwishowe kabisa utakuja kujua kuwa ni mindset will make your equity curve slope positive
dah nipo napambana tu mkuu taratibu
 
Fanya monitoring ya currency index
View attachment 1826903

How
Lazima uwe na Tool kama hii pichani.
  • Hapo namonitor individual currency: AUD, USD, EUR, CAD, NZD, CHF, JPY
  • Chukulia GBP imeanza Uptrend cycle na ikiwa leo ni siku yake ya kwanza , Angalia neno 1 PFL ( Peak Formation Low).

Complete 28 Currency Pair Taken @ 21:15HR
View attachment 1826908


Tumia Higher time frame Daily/ Weekly - Hivyo ukiwa kwenye lower Timeframe below H1 utatambua wazi kuwa hii ni Retracement/ Correction

Huu ni uongo umeutoa wapi?.

Sababu price Change haipimwi kwa kutumia muda, Price hupimwa kwa kutumia Volume/Ticks/ Pips etl Time has no effect on Price change. Kuna factors zinazopelekea price kubadilika kwa haraka ila haihusiani na Time hata kidogo kama ulivyo eleza hapo juu.

Unachanganya habari.

Duu, Bado una safari ndefu sana.
mkuu kuhusu price inapimwa kwa pips sio time. nami kuna sehemu kwenye website flani niliikutaa kaeleza hivyohivyo namii nikachukua hivyohivyo. kichwani nikajiuliza kwamba labda momentum ya markets kuwa kubwa inapimwa na muda.. kwamba kitu kimemove sana kwa muda mfupi ndo tuseme kwa kwamba kuna high demands au supply kwenye market.
 
dah mkuu ni kweli, maswali mengi huwa yankuja kichwani mwangu nikijaribu kyaserch google sometimes hayapo.. ila kuna muda sijui huwa miujiza nikiwa sina kazi kuna muda dishi la kichwa huwa linatuliaa najikuta tu majibu yanaanza kuja taratitu na hapo huwa naturiaa vizuri nachukua karamu na limu pepa, naanza kuyaamishia kwenye karatasi hadi yote yanaishaa.. then najiuliza mbona mwanzo nilishindwaaa??? ahaaaaa! basi natunza ile karatasi kama kumbukumbu... siku zikipita nikisoma ile karatasi naanza kucheka najiuliza tena hivi haya majibu ningeyapata wapi???
leo tena baada ya weekenk hii kuchungulia chati. pair ya USD CAD naipenda hiyo.. nikasema ngoja nijipime kama market ikifunguka jumapili usiku itanipa pesa.. nikatest kwa demo.. kilichotoke ni opposite halafu palitokea big moves dah nikasema ningepatia hii kitu kwa real money ningelala baa kabisaaa
View attachment 1826930
Kuchora chora hayo ma trend lines ,S&R hayatakusaidia kitu.

Jifunze demand and supply maana soko lolote like duniani hata pale kariakoo bei ya bidhaa inategemea imbalances , supply and demand

Jifunze deep accumulation and distribution.

Kwaheri
 
mkuu wanasema the problem is not the problem, the problem is your altitude to the problem
naomba kuuliza yafuatayo

1. kama market ipo kwenye uptrend na chukulia trendline umechora kwa kutumia H4 timeframe na market ipo uptrend(bullish market), sasa nitajuaje kama trend market ipo mwishoni kuisha na kuanza trend mpya downtrend?? na nitajuaje life time ya momentum hiyo itakayotokea??
2.how do you deal with retracement or correction phase?
3.tafsiri ya momentum katika fizikia inasema is the pruduct of mass and velocity, pia wanasema when either mass or velocity increases also momentum increases , na tafsri ya momentum kwenye forex wanasema is the product of TIME and PRICE yaani wanamanisha momentum is about price and time an increase in momentum happen when price increase very quickly in a short period of time sasa kwa maelezo hayo ni kwamba PRICE inapomove juu au chini kwa haraka sana (quikly) pasipo vikwazo vyovyote (yaani either una kuta kuna kandle moja kubwa sana wanita spike au candle za aina moja bullish au bearlish au mchanganyiko japo zinakuwa zinapanda au kushuka straight pasipo sideways move sasa hapa tunatengeneza point ya juu, high swing na point ya chini low swing , sasa kama ni bullish point ya juu wanaita supply zone na point ya chini demand zone. sasa tuangalie upande mwingine support na resistance wanasema resistance ni high swing zote na support ni low swing zote . Sasa swali linakuja je suppot level zote zinaqualify kuitwa demand zones ?????? na resistance levels zote zina qualify kuitwa supply zone???
4.je Momentum trading ni sawa na support and resistance trading???
5.how do you deal with reversal patterns such as wedges and contnuation patterns such as flags,traingles patterns?

KALIBUNI WAJUMBE
Pesa ipo kwenye MT4 au MT5 kuitoa ndo utajiri wako. utajiri upo kwenye vichwa vyetu.
Hapo mwishini nmecheka sana!

Ni kweli pesa ipo kwenye meta 4 au meta 5 na inaonekana kabisa inavyotembea, ila kuibeba sasa
 
Kuchora chora hayo ma trend lines ,S&R hayatakusaidia kitu.

Jifunze demand and supply maana soko lolote like duniani hata pale kariakoo bei ya bidhaa inategemea imbalances , supply and demand

Jifunze deep accumulation and distribution.

Kwaheri
nami ndo naumiza akiri kujifunza demand and supply, nipe hata hints tu
 
Hapo mwishini nmecheka sana!

Ni kweli pesa ipo kwenye meta 4 au meta 5 na inaonekana kabisa inavyotembea, ila kuibeba sasa
dah yaani hizi graph pasua kichwa, mbaya zaidi ukatapo tamaa tu, ukicheki maspkes makubwa unaona ona unaacha kabisa pesaa bila sababu unarudi tennaa
 
Habari zenu wanajamii forum!

Kama kichwa cha habari kilivyo nipo hapa kuisaidia umma Wa watanzania kuhusiana na biashara hizi ambazo zimeibuka ivi karibuni kwetu huku lakini ila huko nje ni biashara za muda mrefu sana tokea huko karne ya 18.

Sie tumezipata kutokana na ujio Wa simu janja ikiwa imeunganishwa na internet.

Watu wanajua kuwa kuna upigwaji kweli Upo kwa watu wengine kuwaambia wengine wao ni Guru wanawapiga pesa.
Kama tulivyoshuhudia huko kama miaka mitatu inapita ivi.

Ishu hii ni halali sema inatakiwa upate MTU sahihi sana akuelekeze ila siye mwenye kuweka Hela mbele.

Ukweli ni kuwa unaweza ukafanya kama kamari na unaweza ukaifanya kama biashara zingine tu.

Na uzuri Wa hii kuijua hakuna cha TRA,wateja,bosi,wala nani yaani hakuna kubembeleza mteja.

Pia kumbuka ni fani kama fani zingine zilivyo jamani mfano kuwa mfanyabiashara mkubwa ana uzoefu Wa kutosha na sio kuwa amelala na kuamka akajikuta hapo alipo.

Ni kama ilivyo sheria, engineering, Doctor of Medicine, mhasibu ama mwalimu.so hakuna ulelemama kuwa kuna pesa nyepesi kama wengi wanavyoinadi.

Binafsi nimejitoa kwa biashara hii hata kama itakuja kunilipa huko mbele kwa miaka 20 tokea sasa siogopi mana hakuna mafanikio cheap tunavyopenda binadamu.

Ila ni nzuri ukiijua unachofanya.

Biashara hii ni suala zima kuhusu psychology.

Pia haitakiwi ufanye live trades before ya demo trading na umeki faida kwa demo account kama mwaka mzima ndo uamue kuingia huko kwa live trades.

Wengi wanafundisha watu kwa kuwapotosha kuwa kuna pesa laini.

Hii fani sintoiacha mana najua hata wanangu nitawafundisha maarifa yake so yaweza kutokea kwao matunda.

Yaani unaipofanya tegemea miaka mitano ama kumi huko mbeleni kabisa usiwe na haraka na utoe mawazo ya Hela kichwani.
Usiwe kama students eti ni fani gani yenye kulipwa pesa nyingi.

Binafsi napenda niwe Nina interact na watu wenye passion nayo mana shuleni huwezi ukakaa mwenyewe. Pia unawafundisha wasio ijua kuna vitu unaimprove. Kwa wale walikuwa wanawaelekeza wenzao shuleni nadhani unajua unaletewa swali hulijui ila unashangaa unalijibu na unapata solutions fasta sana.
ukiweza kujua haya , forex itakuwa rahisi
1.TIME confrmation, je muda umefika nijitose baharini?
2.DIRECTION, je itaenda juu au chini
3.MOMENTUM, Je kama muda umefika,na nimeona itaenda upande huu, sasa je itatembea kwa wingi wa pips (distance) kiasi gani?
4.TRADE PLANNING, sasa kama yote haya nimejua nitupie fedha kiasi gani, na lot size gani,kwa stop loss ya pips ngapi, kwa reward ya ngapi? ili nipate samaki bahari ya MT5 au MT4?, kisha niwthdraw samaki kwenda bank au mpesa, ili niweze kuspend duniani kwa kuwa na chakula,mavazi,nyumba,usafiri n.k
ahaaa! wajumbe ni kwa leo ubongo umefikiria hayo tu.
 
Habari zenu wanajamii forum!

Kama kichwa cha habari kilivyo nipo hapa kuisaidia umma Wa watanzania kuhusiana na biashara hizi ambazo zimeibuka ivi karibuni kwetu huku lakini ila huko nje ni biashara za muda mrefu sana tokea huko karne ya 18.

Sie tumezipata kutokana na ujio Wa simu janja ikiwa imeunganishwa na internet.

Watu wanajua kuwa kuna upigwaji kweli Upo kwa watu wengine kuwaambia wengine wao ni Guru wanawapiga pesa.
Kama tulivyoshuhudia huko kama miaka mitatu inapita ivi.

Ishu hii ni halali sema inatakiwa upate MTU sahihi sana akuelekeze ila siye mwenye kuweka Hela mbele.

Ukweli ni kuwa unaweza ukafanya kama kamari na unaweza ukaifanya kama biashara zingine tu.

Na uzuri Wa hii kuijua hakuna cha TRA,wateja,bosi,wala nani yaani hakuna kubembeleza mteja.

Pia kumbuka ni fani kama fani zingine zilivyo jamani mfano kuwa mfanyabiashara mkubwa ana uzoefu Wa kutosha na sio kuwa amelala na kuamka akajikuta hapo alipo.

Ni kama ilivyo sheria, engineering, Doctor of Medicine, mhasibu ama mwalimu.so hakuna ulelemama kuwa kuna pesa nyepesi kama wengi wanavyoinadi.

Binafsi nimejitoa kwa biashara hii hata kama itakuja kunilipa huko mbele kwa miaka 20 tokea sasa siogopi mana hakuna mafanikio cheap tunavyopenda binadamu.

Ila ni nzuri ukiijua unachofanya.

Biashara hii ni suala zima kuhusu psychology.

Pia haitakiwi ufanye live trades before ya demo trading na umeki faida kwa demo account kama mwaka mzima ndo uamue kuingia huko kwa live trades.

Wengi wanafundisha watu kwa kuwapotosha kuwa kuna pesa laini.

Hii fani sintoiacha mana najua hata wanangu nitawafundisha maarifa yake so yaweza kutokea kwao matunda.

Yaani unaipofanya tegemea miaka mitano ama kumi huko mbeleni kabisa usiwe na haraka na utoe mawazo ya Hela kichwani.
Usiwe kama students eti ni fani gani yenye kulipwa pesa nyingi.

Binafsi napenda niwe Nina interact na watu wenye passion nayo mana shuleni huwezi ukakaa mwenyewe. Pia unawafundisha wasio ijua kuna vitu unaimprove. Kwa wale walikuwa wanawaelekeza wenzao shuleni nadhani unajua unaletewa swali hulijui ila unashangaa unalijibu na unapata solutions fasta sana.
wajumbe leo nimefikiria haya

1.you have to let win dump money sometime so they keep playing(balack jack theory). kwamba unachopata ni cha mwenzako kapoteza.
2.market move up and down because of the psychology of the participants and not stupid lines drawn on the charts.
3.wajumbe, who progrramed the forex markets? and if he or she still alive , i think have a deep pocket of money because he know all stuff make the market move.
4.wanasema look deep into NATURE and then you will understudy every thing better(Albert Einstein), nature means homeginity.wajumbe what is the nature of the market??. if we understudy nature (tabia asilia ya market) then we understudy what price is doing now and will do in future(mwenendo wa bei)
5.If supply and demand move the market i think what cause the supply and demand to increase or decrease is due to FEAR(woga) and GREED(urafi) of the parcipants(PSYCHOLOGY)
6.Forex is the mental business, before you do any thing you need to REASONING.
7.Wajumbe nimeanza kusoma ACCUMLATION and DISTRIBUTION kama alivoshauri ndugu "mtanzanyika Huru Said" ila namuomba naye aje atupe hints kidogo

JAMMI FORUM.PNG


JAMII FORUM,,.PNG
 
Kuchora chora hayo ma trend lines ,S&R hayatakusaidia kitu.

Jifunze demand and supply maana soko lolote like duniani hata pale kariakoo bei ya bidhaa inategemea imbalances , supply and demand

Jifunze deep accumulation and distribution.

Kwaheri
Hiyo demand and supply zone si ndiyo support & resistance mkuu au labda una maana gani utueleweshe vizuri. Hayo maneno sijui accumulation na distribution ni maneno ya kuuzia vitabu tu ila Msingi wa fx market ni Support ( Demand zone) na Resistance (Supply zone). Hata mimi huwa sipendi kuchora hizo support & resistance lines na trend lines nilizichora wakati nikiwa newbie tena kwa muda mfupi tu nakajiongeza nikatafuta njia rahisi ya kujua support (demand/oversold zone) na resistance (supply/overbought zone). Ila kwa newbie hapa bongo lazima wapitie hiyo hatua ya kuchora hayo ma mistari maana walimu wengi ndio wanayofundisha hayo maana hawawezi kutoa holy grill strategies zao kwa wanafunzi ( selfish nature ya mwanadamu).
 
Hiyo demand and supply zone si ndiyo support & resistance mkuu au labda una maana gani utueleweshe vizuri. Hayo maneno sijui accumulation na distribution ni maneno ya kuuzia vitabu tu ila Msingi wa fx market ni Support ( Demand zone) na Resistance (Supply zone). Hata mimi huwa sipendi kuchora hizo support & resistance lines na trend lines nilizichora wakati nikiwa newbie tena kwa muda mfupi tu nakajiongeza nikatafuta njia rahisi ya kujua support (demand/oversold zone) na resistance (supply/overbought zone). Ila kwa newbie hapa bongo lazima wapitie hiyo hatua ya kuchora hayo ma mistari maana walimu wengi ndio wanayofundisha hayo maana hawawezi kutoa holy grill strategies zao kwa wanafunzi ( selfish nature ya mwanadamu).
sawa mkuu mi bado nayachora kila siku, tungeombaa utufungue nasisi jinsi ya kuidentify demand na supply zone bila kutumia misitali.
 
First tunafanya kitu inaitwa CFD I e contract for future differences.
Hizi Mambo mkuu hazina tofauti Kama wanunuavyo magunia ya mpunga wakitrgemea kuwa yatapanda ili value iongezeke wapige hela. Umeona Kama mwaka huu.

Ukiuza mpunga ama ng'ombe zako afu Bei ikashuka so utakuwa umepata faida.yaani pale unaweka contract kuwa itapanda ama itashuka so iyo tofauti ndiyo differences kwa baadaye aka futures
tunauza thamani ya kitu, na sio tunauza kitu sawa mkuu uko vizuri sanaa kwama sio lazima umiliki kitu eg. mchele ndo upate pesa ila unaweza kuwa mchambuzi wa mwenendo wa mabadiliko ya bei ya mchele, na ukapata pesa zaidi ya mmiliki wa mchele, unaweza ukafanya speculation ya mchele, na ukapata pesa ukanunua mchele, na ukaweka stoo uwo mchele kwa muda flani kulingana na uchambuzi wakoo then ukasell ukapata faida. so at the same time umefanya business kama speculation na pia ukafanya business kwa kumiliki mchele
 
tunauza thamani ya kitu, na sio tunauza kitu sawa mkuu uko vizuri sanaa kwama sio lazima umiliki kitu eg. mchele ndo upate pesa ila unaweza kuwa mchambuzi wa mwenendo wa mabadiliko ya bei ya mchele, na ukapata pesa zaidi ya mmiliki wa mchele, unaweza ukafanya speculation ya mchele, na ukapata pesa ukanunua mchele, na ukaweka stoo uwo mchele kwa muda flani kulingana na uchambuzi wakoo then ukasell ukapata faida. so at the same time umefanya business kama speculation na pia ukafanya business kwa kumiliki mchele
very simple!

kama 'mwanafunzi' atashindwa kuelewa hii 'submision' ni Sawa wanaposema 'Trading is Not For Everyone'.
 
very simple!

kama 'mwanafunzi' atashindwa kuelewa hii 'submision' ni Sawa wanaposema 'Trading is Not For Everyone'.
sisi hatumiliki sarafu, hatuuzi wala kununua sarafu wanaofanyaa hivyo ni wale wanaohusika mojakwamoja kwenye mtandao wa ECN, ila wewe unatumia mtandao mwingne wa broker unakuwezesha kuchambua mienendo ya bei inayotokea kwenye ECN network, ukikula broker anakulipa au atajua mwenyewe wapi achukue pesa akulipe na ukipoteza broker anachukua hela yako uliorisk kwa positions zako.. so unafanya speculation ya VALUE increase or decrease ya sarfu flani na sio unamiliki sarafu husikaa
kwa vile mfano broker ana wateja 1000, mala nyingi wanaofanikiwa ni wachache, so unakuta hasara anayopata say watu 100 ndo winners anachukua loss ya watu 900, then anakulipa chapu hapo hajagusa mtaji wake, na bado anakula spread kutoka kwakwo, so kufilisika kwake ni ngumu sana, unless winners ni wengi kuliko loosers! inampelekea kuanza kutumia capital yake kulipa wanaowin
 
Back
Top Bottom