The Transporter
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 3,453
- 6,758
Leta kisa cha chongoe
Leta kisa cha chongoe
Wakati unasoma sekondari hukufundishwa kupwa na kujaa kwa maji ?au ulikua unalala wakati unafundishwa.
Nishawapakia sana tena mmoja alinipa elimu ya utambuzi mambo siwezi kuyasema sana nachokumbuka kuna siku ilikuwa nimebeba sukari na mafuta ya kupikia mzigo unafikia milioni nne natoka zenji naitafuta mafia boti ya mali asili ikawa inatufkuza jini ndo alonipa elimu ya kuchuka kindu saba na kutupa baharini siwezi sema sana naweza nkawaharibia wenzangu jini ni kiumbe kama wengine tu naweza kusema hapa kwakuwa ni mambo ya kuamini wadau hapa wengine watanipopoaMkuu, ulishawahi kukutana na majini ukiwa safarini, yaani kupakia abiria kumbe ni jini kufika katikati ya bahari anazama baharini.
Jongoo bahariViumbe gani, mzee
Mkuu weka nyamaa basi kidgo.Jongoo bahari
Na Kuna jongoo wa Aina nyingi pauni, spinyo, Barango, jongoo maji etc Hao ni jongoo wa pesa
Mapenzi ya papa pia, utumbo wa nyoka mkunga, nyamata etc
Ova
Kwa taarifa nilizopata hao watu walikodi Fiber Boat toka Nyamisati iwapeleke Mafia, so kuna baadhi ya Abiria waliiona ile boat ikiwa Nyamisati, so hata tulivyoikuta ile boat juu chini kwanza hatukujua kama Ndo ile Ilikua na Mzungu na baadhi ya Waswahili, baada ya kufika Mafia Nahodha ndo anatoa taarifa kuhusu kuiona ile Fiber Boat, Ndo anapewa habari kuwa kuna Boat imepinduka......Kila nikikumbuka hiki kisa naumia sana. Hao mmoja ni ndugu yangu. Mliwezaje kujua kama ni nusu saa ilikuwa imepita mlipo ikuta boti?
Mlipofika pwani na kutoa taarifa ilikuwa ni wastani wa muda gani toka muione boti yao baharini?
Hahahahahah Brother wazoee na kuwapuuza ndo wanadam hao,hapa jibu ninalotoa ni yale ninayo yaelewa mimi nayokutana nayo mfano huwezi kuniuliza kitaalamu kwann vibwengo huwapoteza watu usiku baharini sasa unataka nijibu vp kitaalam mimi najibu uhalisia ule nnaokutana nao uliza je ushawah pakia magendo ndo ntakujibu kitaalam .silali na deni mpuuzi mwenyewe
Nishawapakia sana tena mmoja alinipa elimu ya utambuzi mambo siwezi kuyasema sana nachokumbuka kuna siku ilikuwa nimebeba sukari na mafuta ya kupikia mzigo unafikia milioni nne natoka zenji naitafuta mafia boti ya mali asili ikawa inatufkuza jini ndo alonipa elimu ya kuchuka kindu saba na kutupa baharini siwezi sema sana naweza nkawaharibia wenzangu jini ni kiumbe kama wengine tu naweza kusema hapa kwakuwa ni mambo ya kuamini wadau hapa wengine watanipopoa
CCM kote wamefikaJe ni kweli kwamba ni 20% tu ya eneo la Bahari ndilo mwanadamu amefika na 80% haijafikiwa na mwanadamu?
Ukimpakia jini akifika safari yake anatumbukia kwenye maji au?yule nahodha alienusurika aliogelea mpaka kisiwa cha koma na sio nyamisat
Ukiona blue au weusi jua hapo kuna kina kirefuKwann yale maji ya bahari ni blue?
Usawa huo hauna samaki wakubwa kama papa?yule nahodha alienusurika aliogelea mpaka kisiwa cha koma na sio nyamisat
Naomba nikujibu Kama hutojali,Mkuu kuna bahari mbili zimeungana moja ina maji chumvi na nyingine ina maji ya kawaida pale unaizungumziaje
Acha ku-act kama choko boss ... be a man. Mwamba anajibu kulingana na real life experience we unataka kushikwa-shikwaMajibu niliyopewa ni Kiswahili Kiswahili ( Kienyeji ) tupu Ndugu wakati Mimi nilidhani kwa Kujiita Kwake Mbobezi wa Bahari ningepata Madini mno.
Sasa kama jibu ulikua unalijua kwa nn uliuliza....?Umenijibu Kienyeji ( Kipuuzi ) sana na hakuna hata Jibu la Kitaalam la Masuala haya ya Bahari ulilojibu hapa. Huna ukijuacho kuhusu Bahari Ndugu.