chongoe
JF-Expert Member
- Mar 22, 2019
- 1,128
- 2,717
Habari zenu waungwana,
Leo nipo hapa kwa ajili ya maswali ambayo yanahusu mambo ya bahari tu. Mimi ni nahodha wa majahazi ya mizigo Mafia, Kisiju, Kilwa, Nyamisati na Koma.
Uliza swali linalohusu maeneo hayo pia kuhusu safari na vimbwanga vya baharini.
Karibuni.
Leo nipo hapa kwa ajili ya maswali ambayo yanahusu mambo ya bahari tu. Mimi ni nahodha wa majahazi ya mizigo Mafia, Kisiju, Kilwa, Nyamisati na Koma.
Uliza swali linalohusu maeneo hayo pia kuhusu safari na vimbwanga vya baharini.
Karibuni.