wakaliwetu
JF-Expert Member
- Jul 16, 2020
- 671
- 1,129
Ndugu upo Dar sehemu gani? ufugaji wako unaufanyia kigoma au Dar. Kama hauto jali ningeomba tutembelane kwenye mashamba yetu ya ufugaji mimi nipo Dar kibamba ninaufugaji wa Mbuzi na nahitaji baadhi ya mbegu kutoka Kigoma kunawale wa mgongo mpana wazaao mapacha nawahitaji 4.Kigoma, Pwani na Dar es salaam.