Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,047
- Thread starter
- #21
60-70 elfu.Nini faida ya majani yaliyokauka kwa mbuzi anayenenepeshwa
60-70 elfu.Nini faida ya majani yaliyokauka kwa mbuzi anayenenepeshwa
Aliyehasiwa maana anakuwa na nyama nyingi kuliko mafuta, so kupata faida ni rahisi sana.Mkuu yupi anakua mbuzi safi kwa ajili ya kunenepesha kati ya aliyehasiwa na ambaye hajahasiwa?
Ndio panafaaaa, hasa wilaya ya Kibondo na Kasulu.Vipi Kigoma panafaa kufuga Mbuzi kibiashara? Na maeneo yapi ya Kigoma ni mazuri kwa mtu anaetaka kufuga Mbuzi wengi?
Safi sana, Bei ya Mapori huko ikoje?Ndio panafaaaa, hasa wilaya ya kibondo na kasulu.
Asante sana, inategemeana na sehemu kwa wastani ni kuanzia 300000.Safi sana, Bei ya Mapori huko ikoje?
AsanteAsante sana, inategemeana na sehemu kwa wastani ni kuanzia 300000.
Ok karibu sanaAsante
Laki tatu ni kwa ekari au ni pori kama pori?Ok karibu sana
ShukraniAliyehasiwa maana anakuwa na nyama nyingi kuliko mafuta, so kupata faida ni rahisi sana.
Karibu sana kwa kunimiss muda mrefu sasa nimerudi tena kwa nguvu mpya, hali mpya na Kasi ya ajabu.
Kilimo biashara kwa manufaa ya vijana na taifa kwa ujumla.
Pori na pia hekariLaki tatu ni kwa ekari au ni pori kama pori?
Mbuzi wa kufaa kwa supu Akisha nenepeshwa au kufugwa kwa zero grazinga anafaa awe na miaka 1.3-1.4 au 1.8-1.9 kutegemeana na malisho na afya yake.Nikifuga mbuzi kwa zero grazing, tangu anazaliwa mpaka anafaa kwa supu, inatakiwa awe na umri gani exactly?
Asante sana kwa ukarimu wako pamoja na utu wa kujaliShukrani
Majani makavu huwasaidia Mbuzi kuto kupata minyoo ya mara kwa mara kwasababu kwenye majani mabichi huwa yanawapa magonjwa ya matumbo hasa yakiwa machanga, na kwa Mbuzi wa maziwa husaidia maziwa kuwa mazito kuliko majani mabichi.Nini faida ya majani yaliyokauka kwa mbuzi anayenenepeshwa
Mbuzi kuzaa mapacha au 3 inategemeana na ukoo aliotokea, mara nyingi huwa watu wanataka Mbuzi wanao zaa mapacha lakini kuna baadhi ya wafugaji wasio waaminifu huwapatia wenzao Mbuzi asie zaa mapacha mwisho huyo anaetaka kuanza ufugaji hapati matokeo yanayo stahili.Mkuu naomba kujua kuhusiana na mbuzi kuzaa mapacha na wengine wanafikia hata kuzaa wanne kwa wakati mmoja,je hii hutegemea ukoo wa mbuzi au kuna jinsi unaweza ukawafanya wakazaa hivyo?