Eng Kahigwa
JF-Expert Member
- Feb 18, 2014
- 783
- 625
Ni za pc na pia naweza nikatumia vyote still ishu ikawa the same.Je unatumia speaker za pc yenyewe au external. Namaanisha audio aux
Ni za pc na pia naweza nikatumia vyote still ishu ikawa the same.Je unatumia speaker za pc yenyewe au external. Namaanisha audio aux
Ok huenda ikawa driver zilizoingia sio halisi au kuna shida kwenye motherbody au hata hizo speaker zenyewe humo kwa pcNi za pc na pia naweza nikatumia vyote still ishu ikawa the same.
Inaweza kugharimu bei kiasi gani? Naweza kupata hata mikoani? Msaada hapoKama inadisplay nyeupe na kwenye desktop inaonyesha ..change mkanda
Mkuu laptop yangu ni dell inspration 5100, hua nacheza pes kwa pc yangu huku nmetoA betr, inaleta effct gan, au ushaur wako ni upHata ukitaka ushauri kuhusu wiring ndani ya nyumba uliza...km kuna emergence fundi yuko mbali...au unataka ushauri uliza
Sijakuelewa PS or pes then y unatoa battery
Mie uwa sifanyi for business nasaidia tu hardware hasa laptop ni ngumu mno...BT ukiwa na goli zuri inalipa...nimeivest kwenye photocopy+umeme+ uvuvi
Matatizo ya computer yamejigawa kwenye makundi mengi...ilo lako ni tatizo la power...ili kusolve lazima upime vifaa kuanzia chaja,transistor n.k utagundua tatizo km una idea na umeme tumia AVO metre utajua tatizo ni ishu ndogo tu hiyo
Watu wengi wanaambiwa computer yako imekufa motherboard nunua laptop mpya.. Hii si sawa ni uvivu tu wa mafundi...
Embu taja tatizo lako hapa nikushauri....
Umecheck VGA cable?Kiongoz Nina desktop yangu nikiiwasha inawaka lakini aidisplay , nimejatibu kutoa ram,better hard disk lakini bado je tatizo ni mini?
Sent using Jamii Forums mobile app