New Nytemare
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 3,310
- 2,425
hata mimi naomb kujua kama naweza kupata cheno za ziada kwenye location ya zuku hata kwa kutumia media com????
Wadau ulizeni chochote kuhusu ving'amuzi viwe azam,continatal'statimes.zuku nk
Bwana Ibramadish nataka kuongeza ku band ya pili kwenye dish langu la azam naomba unisaidie jins ya kupata ses5,eutelsat16 na amos5
Mtalaamu naomba kujua hili kama ulishawah jaribu. Dsh la azam na receiver ya mediacom (fta) naweza kupata tbc nikigeuza uelekeo wa East na kutumia intelsat 96? Maana kwa uelekeo wa west napata chanelz 43 ila hakuna ya kiswahili hata moja.[/mkuu kwanza cha kufahamu ni kuwa si kugeuza dish tu bali huko unakoligeuzia unatafuta sattelite ipi na ina nini. Mfano unaposema kuwa hapo west unapata chanel 43 siwezi kujua umetega dish lako ktk sat ipi.
East hutapata tbc1 kwa ku au kwa dish la azam
Hiyo ses huna haja ya ku nyingine balamce hiyo ku vzr utaipata hapo hapo kwa azam. na amos5 na 16e zipo jiran jiran kwa msaada zaidi mtafute fundi akusaidie kuweka ku nyingine
Naomba unisaidie jins ya kuinstall hili dish la zuku, nimenunua wiki iliyopita mpaka leo hakuna mafanikio, nimetafuta fundi nimekosa, wakala alieniuzia kasema hanifungulii akaunti mpaka dish lisetiwe yaani niipate zuku zone. Msaada tafadhali.
shukrani kwa aliyeanzisha uzi huu.hapa naona wengi wataelimika;mchango wangu kama fundi utakuwa kwa upande wa wapenda soka hasa la uingereza.
kama unahitaji kupata chanel zenye kuonyesha epl live na ziwe fta kuna vitu vya kuwa navyo,mfano decoda yenye uwezo wa kuedit biss key na hizi decoda bei zake huanzia laki1 na kuendelea.kwa satelite ya eutelsat16 chanel inayoonyesha epl inaitwa RDV hii ni ya senegal.pia kuna chanel 2 za togo siku za jumamosi huwa wanaonyesha mechi za epl.
hizi hazihitaji bisskey.upande wa arab sat 20 kuna irib varzesh na tv3 ,hizi zinarusha mechi zooote kubwa epl, uefa nk .ila kama receiver yako haina bisskey wakati wa mechi zinajifunga.
nyingine ni astra28 hapa sasa ndio mwisho wa matatizo maana epl inarushwa na tv3 na joy tv inarusha ligi ya hispania nk.hapa napo lazima receiver yako iwe na biss.
Hizi chanel zote nazipata nyumbani kwangu na si za kulipia ni fta.ukihitaji msaada namna ya kuzipata uliza tu nitakusaidia maana tupo hapa ili kushare ujuzi.nawasilisha
Wadau ulizeni chochote kuhusu ving'amuzi viwe azam,continatal'statimes.zuku nk
shukrani kwa aliyeanzisha uzi huu.hapa naona wengi wataelimika;mchango wangu kama fundi utakuwa kwa upande wa wapenda soka hasa la uingereza.
kama unahitaji kupata chanel zenye kuonyesha epl live na ziwe fta kuna vitu vya kuwa navyo,mfano decoda yenye uwezo wa kuedit biss key na hizi decoda bei zake huanzia laki1 na kuendelea.kwa satelite ya eutelsat16 chanel inayoonyesha epl inaitwa RDV hii ni ya senegal.pia kuna chanel 2 za togo siku za jumamosi huwa wanaonyesha mechi za epl.
hizi hazihitaji bisskey.upande wa arab sat 20 kuna irib varzesh na tv3 ,hizi zinarusha mechi zooote kubwa epl, uefa nk .ila kama receiver yako haina bisskey wakati wa mechi zinajifunga.
nyingine ni astra28 hapa sasa ndio mwisho wa matatizo maana epl inarushwa na tv3 na joy tv inarusha ligi ya hispania nk.hapa napo lazima receiver yako iwe na biss.
Hizi chanel zote nazipata nyumbani kwangu na si za kulipia ni fta.ukihitaji msaada namna ya kuzipata uliza tu nitakusaidia maana tupo hapa ili kushare ujuzi.nawasilisha
Naomba unisaidie receiver ni aina gani na pia dish la futi tatu linaweza kifanya kazi? Je uelekeo ni upi magharibi au mashariki?