mapengo junior
JF-Expert Member
- Jun 28, 2011
- 1,137
- 275
teh teh ajali tu ndugu polee....ila ndo matumizi
Hellow! jf
Huyu binti nilikuwa nawasiliana nae kwanza kwa pm. hadi tukapanga nae niende kumtembelea zanzibar. Jmos iloisha nikafunga safari hadi bandalini. Mpango ulikuwa ni kwenda nilale huko. Nikampigia simu ya kwamba napanda boti ya saa nane na akaahidi kuja kunipokea bandali ya zenj, Cha ajabu nilipofika zenji na kumpigia simu akanijibu "HIVI UMEENDA KWELI? MWENZIO NAKAA ARUSHA. YALE NI MAMBO YA JF BANA FIGGANIGGA, MI NKAJUA WANTANIA ATI!. POLE SANA".Akamalizia na kicheko!. Nimfanyeje huyu jaman?. Mia
Hellow! jf
Huyu binti nilikuwa nawasiliana nae kwanza kwa pm. hadi tukapanga nae niende kumtembelea zanzibar. Jmos iloisha nikafunga safari hadi bandalini. Mpango ulikuwa ni kwenda nilale huko. Nikampigia simu ya kwamba napanda boti ya saa nane na akaahidi kuja kunipokea bandali ya zenj, Cha ajabu nilipofika zenji na kumpigia simu akanijibu "HIVI UMEENDA KWELI? MWENZIO NAKAA ARUSHA. YALE NI MAMBO YA JF BANA FIGGANIGGA, MI NKAJUA WANTANIA ATI!. POLE SANA".Akamalizia na kicheko!. Nimfanyeje huyu jaman?. Mia
Ha ha haaaa jamani polee eee uuuwiiii hahaha haaaa jamani mie mbavu zanguuuu. Hapo ulishajiandaaa na mastail kibaaaao, eee yaani ntamfanya hivi na hiviii mpk huyo aliyenaye amuone katoto mziki ninao mie fuul zaid ya sab~ufa. uuuuuwiiii weee bidada huko ulikoo NAKUPA SALUUUUT jamaaa alijua atakugeuzageuza kama chapati kikaangoni.
We konda kilicho kufanya ufukunyue hii thread ni nini? hahahaaa...!!!. miaMloge tu.
hahahahaaaa...!!! hamna mastyle wala nini mtu wangu. Zamani mademu wa JF walikua wanazingua kinoumer, kwanza walikuwepo wachache akina Husninyo, Dena Amsi, Preta, Lizzy na wengine wachache.Ha ha haaaa jamani polee eee uuuwiiii hahaha haaaa jamani mie mbavu zanguuuu. Hapo ulishajiandaaa na mastail kibaaaao, eee yaani ntamfanya hivi na hiviii mpk huyo aliyenaye amuone katoto mziki ninao mie fuul zaid ya sab~ufa. uuuuuwiiii weee bidada huko ulikoo NAKUPA SALUUUUT jamaaa alijua atakugeuzageuza kama chapati kikaangoni.
Sasa hivi nyie ni dada zangu. Huna haja ya kumuita Dena Amsi. alimuambia Washawasha enzi hizo akijiita popo bawa eti "kupigana siwezi lakini kupepeta mdomo tu hunishindi" kila nikikumbuka Dena nacheka sana. miakhaaaaa!!! kwahiyo sie ndio mademu? Dena Amsi wewe ni demu?
Mchunguzi sidhani kama ataweza kuelewa kitu. miaHapa MCHUNGUZI HURU anaweza akakuelewa vema