Hakuna ujinga niliowahi kuuwaza kama kuoa mwenye mshahara,cjawahi waza kuwaza na nna muomba aniongoze huu mcmamo wangu...!!mwanamke akishakuwa na mshahara (hela) za kutafuta mwenyewe uyo hawi mke ndani ya nyumba zaidi ya kutaka na yeye awe na sauti,Amri & maamuzi ndani ya nyumba tena wanaenda mbali kimaamuzi mpaka wanafikia ya kukupangia cku ya kumvua kabati (c..up..) Mungu aliyeumba mbingu na nchi alishaweka muongozo tena kwenye vitabu vya dini zote mbili kubwa duniani BIBILIA INASEMA MWANAMUME NDIO KICHWA CHA FAMILIA NA QUR AN INASEMA MWANAUME NI KIONGOZI MBELE YA WANAWAKE...!! Lakn Leo tumejitia ujuaji ndio mambo hayaendi kila siku mabalaa ukame,magonjwa,njaa kwa kupindisha maandiko...!!