hv uliwezaje kumfanya mpenzio kuwa rafiki yako wa karibu sn????nataman na wangu awe hivyo.
Umenichekesha wewe!!Noooo wanaenda direct kwenye ule mchezo wakikubwa wakimaliza ni kwaheri!!mpenzi wako ni rafiki yako....sasa kama wewe mpenzi wako si rafiki yako sijui mnaongea nini mnapokutana.. au ndio inakuwaje, mnatazamana tuuu
Umenichekesha wewe!!Noooo wanaenda direct kwenye ule mchezo wakikubwa wakimaliza ni kwaheri!!
mhhhh nilikuwa sijui loh....Ukijisikia kujamba we jamba tu wala usiwe muoga, uwe unamuaga... Mke wangu naenda kunya:.. vitu kama hivyo ndio hujenga urafiki hasa.
Hiyo ilipaswa kufanyika kabla hamjaanza upenzi. Mnakuwa washkaji na mnaongea lugha zote.
Hivi unajua mpenzio akiwa rafikiyo hata mkiongelea ex wenu wala haiwakeri?
Umenichekesha wewe!!Noooo wanaenda direct kwenye ule mchezo wakikubwa wakimaliza ni kwaheri!!
touching...;-(mpenzi wako ni rafiki yako....sasa kama wewe mpenzi wako si rafiki yako sijui mnaongea nini mnapokutana.. au ndio inakuwaje, mnatazamana tuuu
Mpe uhuru na wewe kuwa huru kwake,mchukuliane kwa kila jambo punguza ubabe,halafu mfanye ajisikie raha na fahari kuwa nawe,penda kutoka nae kwenda nae sehemu nzuri na lazima uoneshe kuwa yeye ni zaidi ya mwanamke mwingine yeyote,halafu zoea kumtania na mwache akutanie,mambo yatakuwa saaafi kabisa