Fmruma
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 498
- 778
Nikiwa chuo 3rd yr nikapata ka tempo nikawa nakusanya uki mix na boom mambo yakawa poa maana huko job palikua panalipa..after 2 yr nikanunua ka alteza namba B haikupita muda nika exchange na alteza namba D ila niliongeza hela kama m3 hv hilo teza nilikaa nalo sana