CleverKING
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 8,503
- 25,466
Wakuu,maisha ni safari,na katika maisha tunakutana na mambo mengi sana,
Kama kuna mtu labda uliwahi kumkosea jambo sehemu fulani kama vile,kwenye vyombo vya usafiri,Sokoni,Madukani au sehemu yeyote ile na ukaja kujutia kosa lako na ukatambua kua wewe ndio mkosa na ukatamani kumuomba msamaha ila hujui utampataje coz mlikutana tu kwenye hizo sehemu nilizozitaja hapo juu,
Tutumie uzi huu kuwaomba samahani tuliowakosea japo kwa kuandika story yenyewe ilikuwaje? Huenda uliyemkosea akakusoma hapa na kukusamehe,na Mungu ataona kua umejitambua na unaomba radhi,
Karibuni wakuu.
Kama kuna mtu labda uliwahi kumkosea jambo sehemu fulani kama vile,kwenye vyombo vya usafiri,Sokoni,Madukani au sehemu yeyote ile na ukaja kujutia kosa lako na ukatambua kua wewe ndio mkosa na ukatamani kumuomba msamaha ila hujui utampataje coz mlikutana tu kwenye hizo sehemu nilizozitaja hapo juu,
Tutumie uzi huu kuwaomba samahani tuliowakosea japo kwa kuandika story yenyewe ilikuwaje? Huenda uliyemkosea akakusoma hapa na kukusamehe,na Mungu ataona kua umejitambua na unaomba radhi,
Karibuni wakuu.