Ladder 49
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 7,416
- 18,856
Wakuu habari zetu?
Najua kila mtu humu alikuwa ana ndoto zake alipo kuwa mtoto ,anataka kuwa mtu fulani kulingana kwamba alivyomwona au alisimuliwa story akapenda.
Mimi nilivyokuwa mdogo nilikuwa nataka sana kuwa pilot au mfanyakazi wa bank nilkuwa nawaona jamaa wako smart sana leo nimeishia nilipokuwapo sio pilot wala accountant.maisha hayana fomula
Japo hatufahamiana kwa majina yetu halisi humu jf lakini sio mbaya tukajua Ulivyokuwa mdogo ulikuwa unataka kuwa nani?
Nawasilisha.
Najua kila mtu humu alikuwa ana ndoto zake alipo kuwa mtoto ,anataka kuwa mtu fulani kulingana kwamba alivyomwona au alisimuliwa story akapenda.
Mimi nilivyokuwa mdogo nilikuwa nataka sana kuwa pilot au mfanyakazi wa bank nilkuwa nawaona jamaa wako smart sana leo nimeishia nilipokuwapo sio pilot wala accountant.maisha hayana fomula
Japo hatufahamiana kwa majina yetu halisi humu jf lakini sio mbaya tukajua Ulivyokuwa mdogo ulikuwa unataka kuwa nani?
Nawasilisha.