super mimi
JF-Expert Member
- Oct 21, 2016
- 223
- 171
Salutiii....MMU....!!!!!! Niingie janvin mojakwamoja ..binafsi mm ex wangu. Nilimtext. Nikamfahamisha. ...enhe wadau karibun tujuzane..... Je wewe ulitumia njia ipi???
mkojo unafanyajeNiligundua ananicheat..... Nikamwambia tuachane, kikaniumaaa nikanywa mkojo nikamsahau
Mkuu una itikadi sawa na mimiHaha... Watu tunatofautiana sana... Sijawah kuacha niliachwa na demu mmoja tu.... Sijawahi kuacha tukiwa kwenye mapenzi mim ndiyo ninaekupa option nakuambia kabisa ukinichoka unaruhusiwa kuniacha.... Mim najua nikikuacha kuna kitu kinaitwa Karma.....
Kweli nimeamini wewe ni simba jike. Kwa hiyo huchenjui tena makinikia?? au??Niligundua ananicheat..... Nikamwambia tuachane, kikaniumaaa nikanywa mkojo nikamsahau
Au ulikuwa na mashauzi sana ? maana nanyi mkishatongozwaga na kuambiwa mnapendwa basi huwa mnadhani hakuna mwanamke mwingine mzuri zaidi yenu.Dah ningejua nisingeifungua hii Uzi,niliachwa kimya kimya, nilipiga simu mwezi mzima lakn haikupokelewa ,enginer wa kipare go to hell
hiyo noma mkuuNapenda kuachwa zaid kuliko kuacha,,maana muachaji hufeli zaid kuliko alieachwa
hiyo noma mkuuNapenda kuachwa zaid kuliko kuacha,,maana muachaji hufeli zaid kuliko alieachwa
Tehe tehe teheNiligundua ananicheat..... Nikamwambia tuachane, kikaniumaaa nikanywa mkojo nikamsahau
alie kuacha alikustukia kuwa we jambazi au?Haha... Watu tunatofautiana sana... Sijawah kuacha niliachwa na demu mmoja tu.... Sijawahi kuacha tukiwa kwenye mapenzi mim ndiyo ninaekupa option nakuambia kabisa ukinichoka unaruhusiwa kuniacha.... Mim najua nikikuacha kuna kitu kinaitwa Karma.....
Kaka sipo hivo kabisa yaan,nilikuwa namuheshim mno, nimemsaidia mengi, sijui kuringa wala kuonyesha zarau mim ni mpole ukiniona utafikir no mlokole aliyeshika dini, mim sio muongeaji, unaweza nikera na nikacheka,Au ulikuwa na mashauzi sana ? maana nanyi mkishatongozwaga na kuambiwa mnapendwa basi huwa mnadhani hakuna mwanamke mwingine mzuri zaidi yenu.
sijui nani kawaloga. Ukishasifiwa tu mzuri na ukiwa na kitako ndio basii .badilikeni mtaachwa sana msipokuwa makini.