Ulitumia mbinu gani kumfanya Mtoto wako aache kulala chumbani kwako?

Miss Zomboko

JF-Expert Member
May 18, 2014
4,599
9,532
Hebu naomba mnisaidie hapa jaman ili niweze kuwahamisha hawa Watoto chumbani kwangu (Miaka 4&2). Imekuwa vita ya muda mrefu sana hawataki kulala kwenye Chumba chao, wanalazimisha kuendelea kulala kwangu

Hata nikisubiri walale halafu niwahamishe wakishtuka kwenye zoezi la kuhamishwa mtanange unaanza upya, walalia kama ndio wanakufa siku hiyo :D :D :D :D:D:D

Wenzangu mlifanyaje kwenye hili?
 
Hebu naomba mnisaidie hapa jaman ili niweze kuwahamisha hawa Watoto chumbani kwangu (Miaka 4&2). Imekuwa vita ya muda mrefu sana hawataki kulala kwenye Chumba chao, wanalazimisha kuendelea kulala kwangu

Hata nikisubiri walale halafu niwahamishe wakishtuka kwenye zoezi la kuhamishwa mtanange unaanza upya, walalia kama ndio wanakufa siku hiyo :D :D :D :D:D:D

Wenzangu mlifanyaje kwenye hili?
Baba yao iko wapi?
 
Hebu naomba mnisaidie hapa jaman ili niweze kuwahamisha hawa Watoto chumbani kwangu (Miaka 4&2). Imekuwa vita ya muda mrefu sana hawataki kulala kwenye Chumba chao, wanalazimisha kuendelea kulala kwangu

Hata nikisubiri walale halafu niwahamishe wakishtuka kwenye zoezi la kuhamishwa mtanange unaanza upya, walalia kama ndio wanakufa siku hiyo :D :D :D :D:D:D

Wenzangu mlifanyaje kwenye hili?
Lala nao chumbani kwao, wakisinzia toka nenda kwako
 
Mtoto wa miaka 4 alitakiwa awe ameshazoea, kisha wa miaka 2 kama ameacha kunyonya unakuwa unampeleka kwa mwenzie akipata usingizi..

Mtoto wa miaka 4 anapaswa uwe umeshamfundisha kwamba kile ndo chumba chake na kitanda chake, awe anajua muda wa kulala, ukimpa maelekezo kalale aende willingly.

Mtoto anafundishwa akiwa bado mdogo, ila haujachelewa anza sasa.

Siku za kwanza kwanza atalia sana, lkn ndo kukua kwenyewe, mzazi unapaswa uweke boundary kwa mtoto, ukisema no mtoto ajue hapa kimeumana, siyo kuwadekeza dekeza tu kwa kuogopa kuwaliza.
 
Hebu naomba mnisaidie hapa jaman ili niweze kuwahamisha hawa Watoto chumbani kwangu (Miaka 4&2). Imekuwa vita ya muda mrefu sana hawataki kulala kwenye Chumba chao, wanalazimisha kuendelea kulala kwangu

Hata nikisubiri walale halafu niwahamishe wakishtuka kwenye zoezi la kuhamishwa mtanange unaanza upya, walalia kama ndio wanakufa siku hiyo :D :D :D :D:D:D

Wenzangu mlifanyaje kwenye hili?
Sisi wengine hatuna ushauri maana hicho chumba cha pili hakipogo
 
Mtoto wa miaka 4 alitakiwa awe ameshazoea, kisha wa miaka 2 kama ameacha kunyonya unakuwa unampeleka kwa mwenzie akipata usingizi..

Mtoto wa miaka 4 anapaswa uwe umeshamfundisha kwamba kile ndo chumba chake na kitanda chake, awe anajua muda wa kulala, ukimpa maelekezo kalale aende willingly.

Mtoto anafundishwa akiwa bado mdogo, ila haujachelewa anza sasa.

Siku za kwanza kwanza atalia sana, lkn ndo kukua kwenyewe, mzazi unapaswa uweke boundary kwa mtoto, ukisema no mtoto ajue hapa kimeumana, siyo kuwadekeza dekeza tu kwa kuogopa kuwaliza.
Asante
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom