Kagami0,
Walifanya la maana.
Ulitaka binti wa watu atoke kwenye dini ya haki aingie kwenye ukafiri???
OvyoooKagami0,
Walifanya la maana.
Ulitaka binti wa watu atoke kwenye dini ya haki aingie kwenye ukafiri???
Kama sio Mjaluo sijui hahahaNiliachwa kisa ukabila yule Mama aliweza aisee! Na mpka leo mwanae wa kiume haja oa ana zalisha tuu
Pole!Niliachwa na mume wangu kipenzi , mpk leo moyoni mwangu bado anaishi ....kwa ushauri tu wa rafiki zake na hila juu yangu ...baada ya kuona kanifungulia duka kubwa ...na akawa mtu wa ubusy mwingi bar hawampati wakamwaga maneno ....
Its so paini ni miaka miwili kwangu ila naona kama juzi
Sent using Jamii Forums mobile app