Ulishawahi kuwa na rafiki wa jinsia tofauti mliyeshibana sana?

Mkuu unabahati Sana Mke wake alikubali urafiki baada ya ndoa. Wengi wao kwenye uchumba anajifanya anakubali urafiki wenu, wakishafunga tu ndoa hataki uwe na mazoea na mume wake na urafiki wenu utafia hapo.
Mke wake Ni rafiki kwa kiasi ambacho kamzidi mume wake

Kwa sasa mke tunachat zaidi ya mume
Akija kikazi.mkoa niliopo anafikia kwangu tunaongea vitu vingi ambavyo hata my friend(mume ) hajui.

Kifupi wale washakuwa ndugu zangu

Yule dada naona aliona anifanye rafiki tu maana sidhani kama tungeweza kuacha urafiki..binafsi nisingeweza..And because of that....I can't betray her trust!!!
 
Nilikutana nae Sjut-dom tuliishi kwa upendo na kushare mengi,tulishauriana mengi kuhusu masomo tulipeana moyo pale tulipofeli maana ilikuwa kufeli tunafeli pamoja,alikuwa mrembo sana na sikuwahi kumuomba tunda japo wengi walipotuona walijua tunakulana.
Nilikuja kupata mpenzi chuoni akanionya kuhusu ukaribu na yule rafiki yangu wa kike sikumsikiliza nilimuelewesha kuwa yule ni rafiki tu hakuna cha zaidi wakawa wanaitana wifi lakini mpenzi wangu alikuwa anavuta mdomo hapendi hata kuitwa wifi.Siku moja tulienda cape town usiku tukala pombe yule rafiki yangu akajichanganya akamix pombe nyagi yangu na wine na hajazoea alitaka tu kuona je itampelekesha maana alikuwa anajisifu anaziweza pombe.Alilewa sana kiasi cha kumshika na kumsapotu huku akitembea akiwa amefunga macho nilimpeleka hadi kwake nikamuingiza ndani,ilikuwa ni saa 7 usiku nikawaza naendaje kwangu sasa na bajaji tuliyokodi ilishaondoka nikaamua nalala pale kwake,nilikula tunda usiku ule na vibe la nyagi,asubuhi mapema niliamka zangu nikasepa geto kwangu nilijua urafiki utaisha maana nimemla akiwa kalewa,nikaanza kumkwepa cha ajabu hakuwahi kuzungumzia lile swala na urafiki uliendelea japo nilikuwa namkwepa sana baadae tulimaliza chuo akaolewa ana watoto saa hizi na bado tuna kaurafiki.
Weww kma mimi urafiki wangu huishia kuwatafuna,wachache sana tumebaki kua marafiki
 
me
JamiiForums1453165253.jpg


Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Habari zenu wakuu,

Nimemkumbuka kaka fulani tulikuwa marafiki sana tangu nikiwa secondary. Kwa miaka 10 alikuwa mtu wangu wa karibu sana, mshauri wangu kwenye kila Jambo.

Kiasili Mimi ni introvert, sipendi mashost, mashoga wale wakunijua kiundani. So kuwa na this guy ambae nlikuwa namwambia issue zangu ilinifanya niwe na amani sana atleast I have someone wakusikiliza matatizo yangu when I'm down.

Tulikuwa marafiki, kila mtu was so free and open kwa mwenzake. Akiwa na stress za Kazi, maisha au mahusiano atanipigia nimpe ushauri. Akipata msichana lazima aniulize unamuonaje huyu.

Nilikuwa nikiwa hata na stress za mahusiano au maisha, hata kama ni usiku wa manane nitampigia atapokea. Sometimes ninauchungu na hasira nikimpigia akipokea tu naanza na yowe nalia hapo atanibembeleza nikitulia naanza kumwadithia kilichojiri.

Alikuja kuoa later, Wife wake akaanza kumind urafiki wetu wakati kiukweli hatukuwa na cha zaidi. We spoke about it na niliamua tusitishe ukaribu wetu, Mke wake awe na Amani.

I really miss you Rafiki.
Hapo ni sawa na kutumia mua kama mkongojo wa kutembelea, siku ukisikia hamu au njaa na huna kitu mfukoni utajisikia kuumega tu.
 
Nilikutana nae Sjut-dom tuliishi kwa upendo na kushare mengi,tulishauriana mengi kuhusu masomo tulipeana moyo pale tulipofeli maana ilikuwa kufeli tunafeli pamoja,alikuwa mrembo sana na sikuwahi kumuomba tunda japo wengi walipotuona walijua tunakulana.
Nilikuja kupata mpenzi chuoni akanionya kuhusu ukaribu na yule rafiki yangu wa kike sikumsikiliza nilimuelewesha kuwa yule ni rafiki tu hakuna cha zaidi wakawa wanaitana wifi lakini mpenzi wangu alikuwa anavuta mdomo hapendi hata kuitwa wifi.Siku moja tulienda cape town usiku tukala pombe yule rafiki yangu akajichanganya akamix pombe nyagi yangu na wine na hajazoea alitaka tu kuona je itampelekesha maana alikuwa anajisifu anaziweza pombe.Alilewa sana kiasi cha kumshika na kumsapotu huku akitembea akiwa amefunga macho nilimpeleka hadi kwake nikamuingiza ndani,ilikuwa ni saa 7 usiku nikawaza naendaje kwangu sasa na bajaji tuliyokodi ilishaondoka nikaamua nalala pale kwake,nilikula tunda usiku ule na vibe la nyagi,asubuhi mapema niliamka zangu nikasepa geto kwangu nilijua urafiki utaisha maana nimemla akiwa kalewa,nikaanza kumkwepa cha ajabu hakuwahi kuzungumzia lile swala na urafiki uliendelea japo nilikuwa namkwepa sana baadae tulimaliza chuo akaolewa ana watoto saa hizi na bado tuna kaurafiki.
Au alilewa sana kias cha kutokujua kama alimegwa?
 
naomba tu niwe mkweli katika marafiki zangu wengi wa kike niliwala kimasiara na walikubali kuliwa kwerri kwerri (in magu voice)

et rafik yako anakuja geto kuomba ushaur mama yake anaumwa huku anajiliza liza

rafik yako wa kike anakuja geto mnapika mnakula ,story story kibao alafu mvua ya mawe inaanza kunyesha.

rafik yako weekend mnaenda viwanja mnakunywa ,mkishalewa anakwambia nipeleke nyumbani

rafik yako upo nae mnachek movie kwenye pc nje barid kali alafu unaona watu wanaanza kunyanduana,mara rafik anaangalia pembeni anacheka kinafiki.
 
Aisee huyu mtu niliwahi kuwa naye. Yani ilikuwa ni furaha kumwona na yeye kuniona. Kila linalonihusu wa Kwanza kujua yeye na vivyo hivo Kwa upande wake linalomtatiza lazima aje kupata Amani kwangu. Kuna wakati alikuwa akija analia lakini baada ya kuongea naye anatulia na kupata amani kabisa anasahau yaliyomsibu

Ila shida ilitokea baada ya kumaliza shule kila mtu akaenda njia yake yy akaenda chuo fulani bagamoyo kazi ikabaki mi ndo namtafuta tu na wala sikuchoka kwa jinsi nilivyokuwa namkubali. Nikawa namtafuta kama kawaida ili anisaidie yanayonisibu akawa anadai yuko busy tuu kila siku. Hali hiyo iliendelea hadi nikaona hana mpango wa kunidumisha ktk maisha yake.

Sikuwahi kuwaza kumpoteza Yule dada katika maisha yangu na kila liliponijia wazo hilo nilikuwa naumia sana Kwa hiyo nilikazana sana kumtafuta lakini nilikosa ushirikiano wake nikaanza kuushawishi moyo ukubali kwamba nimempoteza...nakumbuka siku Ile nililia sana kwamba nampoteza mtu muhimu kwangu sijasahau hadi leo!

Huenda leo ningekuwa mtu wa huzuni sana kama nisingepata mke rafiki! Namshukuru Mungu alinijalia kumpata mke ambaye ni rafiki yangu haswa na hivyo sijawahi kumkumbuka.
Una Mambo ya kike Sana wewe,mwanaume gani unalialia Kama demu?
 
Ninao marafiki wa kiume wa karibu katika nyakati zote za maisha tangu shule ya msingi.
Wako ambao tumekuwa familia marafiki.
Heshima kwao wote. Aliyekuwa mpenzi kisha mume nilimtaarifu mapema kuwa wapo na nashukuru ananielewa.
Na wao walijua mahusiano yangu na wengine tumeextend urafiki umekuwa wa familia. Nguo na viatu vya kitchen party na send off niliwaambia wanichangie na wakanipa.

Mmoja wa karibu sana mchumba wake alijitahidi sana kuachanisha ukaribu na bahati mbaya huyu rafiki alifariki soon baada ya ndoa yake. Mpaka leo mimi ni sehemu ya familia yake, kidogo nikipata nawatumia. Wadogo zake wakiwa na shida wananipigia. I miss him so much.

Marafiki waliopo tunaendelea sema kwa sasa tuko mbalimbali.

Sikuwahi kuwafikiria kama wapenzi kwa sababu wana heri nyingi lakini wana kasoro za msingi kwangu kuwa wenza na bahati wako wanawake wanamudu vizuri hivyo ambavyo mie siwezi.
😍what a best way to be remembered by a lady,umenikumbusha Dada mmoja, hapa Duniani nimewahi kuambiwa maneno mengi mazuri lakini sidhani kama yanafikia kuna siku nimeambiwa "wewe tu ndio mtu unayenijali,wewe ndiye pekee unaniulizaga kama nimekula" alikuwa kama hajala natuma hela ya chakula,alikuwa akiishiwa pedi natuma hela ya pedi, we still keep in touch
 
Umenikumbusha msh'kaji wangu G,daah!!! Tulikuwa zaidi ya marafiki buanaa pale SJUT Dodoma,.yaani ni yule msh'kaji ambaye akisafiri akachelewa kurudi chuo na assignments zinatakiwa basi nakesha Google namfanyia na namkusanyia kabisaa and likewise,.mmoja kati yetu akiwa na changamoto yoyote ile hata ya mahusiano basi tutaumia wote,hadi kupiga 🍻🍻 tupo wote in short tulikuwa karibu kuliko tulivyokuwa na wapenzi wetu,.

Sijui kwann urafiki wetu ulikuja kuisha namna ile 😔ila najua ulikuwa damu yangu kinyama,.popote ulipo nakutakia tuu yenye kheir,tulibebana sanaa G,. anyway one love 💕
Umenikumbusha nikiwa chuo kikuu nili fanya assgnment mbili....yangu na ya L (demu)
Nil submit mwenyewe assignment zote mbili Cha kushangaza matokeo ya assgnment alinipiku...
Nilimtongoza mdada mwingine akanambia kwa nn usimtongoze L
Maana huyo L nilikua naumarib Sana nae chuo kizima kilijua ni mtu wangu na ilijulikana ni mtu wangu kumbe ni Best....

Ofcorse mm ni good behaved person ila nilichezea kibut kwa L
Mpk leo sijawai kujua kwa nn L hakutaka mm na yeye the wapenzi..
Badae nili observe L alikua anapenda wanaume Hardcore wanywa pombe,wavuta sigara na bangi...na yeye alikua anatumia...

Mm good behaved nika temana nae...
 
Umenikumbusha nikiwa chuo kikuu nili fanya assgnment mbili....yangu na ya L (demu)
Nil submit mwenyewe assignment zote mbili Cha kushangaza matokeo ya assgnment alinipiku...
Nilimtongoza mdada mwingine akanambia kwa nn usimtongoze L
Maana huyo L nilikua naumarib Sana nae chuo kizima kilijua ni mtu wangu na ilijulikana ni mtu wangu kumbe ni Best....

Ofcorse mm ni good behaved person ila nilichezea kibut kwa L
Mpk leo sijawai kujua kwa nn L hakutaka mm na yeye the wapenzi..
Badae nili observe L alikua anapenda wanaume Hardcore wanywa pombe,wavuta sigara na bangi...na yeye alikua anatumia...

Mm good behaved nika temana nae...
😂demu akiwa rafiki ako hivo usimtongoze we jimilikishe tu, anyway story yako imenikumbusha boya fulani tulikua nalo bar tunapiga vyombo sasa kuna dada stranger akaanza kunipigisha story na kutunulia k vant kubwa bila kumuomba
sasa hilo jamaa langu lilivoona demu anavuta fegi ili kum impress nalo likaomba fegi, wakati wa kuwasha ilikuwa kituko maana liliwasha fegi ikiwa mkononi demu akacheka sana🤣
 
59 Reactions
Reply
Back
Top Bottom