smaki
JF-Expert Member
- Jan 23, 2019
- 4,977
- 3,066
umaskini unakusumbua rafiki kopesha tu..mpe mpaka akome ubishi watu tunawajengea migorofa.tunawasomesha.tunawapa kazi watu km hao.migari...mpaka watoto wao tunaishi nao kwa gharama zetu!!Tatzo lake kukopa sana na yeye ndio ana shida muda wote
Nimeshindwa aisee nimemchana tumeachana
Ajabu sasa sijawahi pungukiwa zaidi nasonga mbele mbaya.
mmoja ninae hapa washington namsomesha bureee!!
Jiulize tangu nyerere tanzania imetoa nini kwa nchi wahisani???? Mpaka mnawatukana mnawabeza lkn uliwahi ona wameacha???
Hamjifunzi tu nyie watu? Kuna siri ktk utoaji chunguza....hamjafundishwa nyie na wazazi wenu...