Tamama
JF-Expert Member
- Mar 15, 2016
- 887
- 1,098
Always yeye yupo right
Mkipanga kuonana akichelewa yeye kufika ni sawa ukichelewa wewe ananuna
Anakuudhi yeye na bado ananuna yeye
Anachokitaka ndio kifanyike/ usipofata ushauri wake ni kwamba una dharau
kukasirika katikati ya maongezi ya furaha ni jambo la kawaida ( utani afanye yeye sio wewe)
Anapenda kutoa kasoro
Yan unaeza shika simu umpigie muonane ukaishia kuirudisha mfukoni mana unawaza anaweza akuharibie siku shida yote ya nini
Mkipanga kuonana akichelewa yeye kufika ni sawa ukichelewa wewe ananuna
Anakuudhi yeye na bado ananuna yeye
Anachokitaka ndio kifanyike/ usipofata ushauri wake ni kwamba una dharau
kukasirika katikati ya maongezi ya furaha ni jambo la kawaida ( utani afanye yeye sio wewe)
Anapenda kutoa kasoro
Yan unaeza shika simu umpigie muonane ukaishia kuirudisha mfukoni mana unawaza anaweza akuharibie siku shida yote ya nini