mhuri25
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 2,666
- 3,453
Kusingiziwa kusikie tu japo wakati mwingine unadharirika sana!!
Ipo hivi Iumaa ya wiki iliyopita Demu wangu ambae ni mfanyakazi mwenzangu pia aliniomba sana nikalale kwake maana Rafiki ake ambae wamesoma wote chuo kimoja na kwasasa tupo nae kituo kimoja ameondoka kaenda kwa jamaa ake wilaya moja inayounda jina la mkoa mpya Huko Kanda ya ziwa!!
Basi bwana kweli nikaenda maana kusema kweli kimepita kipindi sijala mzigo kutokana kuishi na huyo Rafiki ake( huyu manzi hapendi kabisa nimle getto kwangu au Guest/lodge yeye anataka ukamale kwake tu!!
Basi muda usiku kucha nimelala nae ile asubuhi yeye alikuwa anaenda kazini mie nilikuwa OFF, akaniacha nimelala mida ya saa1 hv mkojo ukawa umenibana sana na kwa bahati mbaya uwanj Kuna mafundi walikuwa wanarekebisha nikatoka nje nikamkuta dogo mmoja nae wamepanga alipopanga demu wangu, nikimuuliza dogo uwanj wapi nataka nikakojoe dogo akaniambia zunguka upande wapili Kuna choo Cha jirani huwa tunatumia pia kweli nikazama si nikakuta Kuna mzigo hv umeshushwa Kama muda kidogo Mimi na jinsi nilivyobana nikakojolea kwa juu juu nahakukuwa hata na Maji nikasepa zangu!!
Daah nimerudi tu getto nak kulala hata dakika 3 hazijapita akaja maza akaanza kugonga ile nafungua tu nasikia baba baba Heshima ni kitu Cha bure nausijitetee kabisa chukua maji ukamwagie tabia gani hii, mama anaongea kwa nguvu haswa Hadi akatoka mama mmoja mpangaji mwenzie akaanza kumueleza kwa kilugha asee nilifadhaika Sana Sana tu kinyonge nikaenda kumwagia!!
Ila kusema ukweli yule Mama nimemkariri vizuri najua atakuja tu kazini kwangu na sitalaza damu nimepanga nitamwambia Mama si ulinidharirisha kiasi kile siku ile asubuhi Sasa leo utajua haujui huwa Sina roho yakisasi kabisa ila kwa hili utanisamehe kabisa wewe Mama!!!
Ipo hivi Iumaa ya wiki iliyopita Demu wangu ambae ni mfanyakazi mwenzangu pia aliniomba sana nikalale kwake maana Rafiki ake ambae wamesoma wote chuo kimoja na kwasasa tupo nae kituo kimoja ameondoka kaenda kwa jamaa ake wilaya moja inayounda jina la mkoa mpya Huko Kanda ya ziwa!!
Basi bwana kweli nikaenda maana kusema kweli kimepita kipindi sijala mzigo kutokana kuishi na huyo Rafiki ake( huyu manzi hapendi kabisa nimle getto kwangu au Guest/lodge yeye anataka ukamale kwake tu!!
Basi muda usiku kucha nimelala nae ile asubuhi yeye alikuwa anaenda kazini mie nilikuwa OFF, akaniacha nimelala mida ya saa1 hv mkojo ukawa umenibana sana na kwa bahati mbaya uwanj Kuna mafundi walikuwa wanarekebisha nikatoka nje nikamkuta dogo mmoja nae wamepanga alipopanga demu wangu, nikimuuliza dogo uwanj wapi nataka nikakojoe dogo akaniambia zunguka upande wapili Kuna choo Cha jirani huwa tunatumia pia kweli nikazama si nikakuta Kuna mzigo hv umeshushwa Kama muda kidogo Mimi na jinsi nilivyobana nikakojolea kwa juu juu nahakukuwa hata na Maji nikasepa zangu!!
Daah nimerudi tu getto nak kulala hata dakika 3 hazijapita akaja maza akaanza kugonga ile nafungua tu nasikia baba baba Heshima ni kitu Cha bure nausijitetee kabisa chukua maji ukamwagie tabia gani hii, mama anaongea kwa nguvu haswa Hadi akatoka mama mmoja mpangaji mwenzie akaanza kumueleza kwa kilugha asee nilifadhaika Sana Sana tu kinyonge nikaenda kumwagia!!
Ila kusema ukweli yule Mama nimemkariri vizuri najua atakuja tu kazini kwangu na sitalaza damu nimepanga nitamwambia Mama si ulinidharirisha kiasi kile siku ile asubuhi Sasa leo utajua haujui huwa Sina roho yakisasi kabisa ila kwa hili utanisamehe kabisa wewe Mama!!!