The golden
JF-Expert Member
- Sep 11, 2018
- 1,381
- 2,553
Ndugu zangu tunaishi katika dunia ya hatari sana. Chuki, wivu, hasira, uroho, urafi, wizi, kusingiziana imekuwa sehemu ya maisha yetu.
Hakuna kitu kinaumiza moyo kama kusingiziwa jambo la uongo ambalo hujalifanya au kujaribu tu kulifanya. Binafsi nimewahi kusingiziwa jambo la hatari sana, tena na ndugu zangu kama siyo busara ya watu fulani hivi ningepotea kabisa.
Tukio hili sitalisahau maisha yangu yote. Nilijetanga nikaishi maisha yangu. Nilisamehe lakini sitasahau.
Je, wewe ulishawahi kusingiziwa jambo la uongo?
Hakuna kitu kinaumiza moyo kama kusingiziwa jambo la uongo ambalo hujalifanya au kujaribu tu kulifanya. Binafsi nimewahi kusingiziwa jambo la hatari sana, tena na ndugu zangu kama siyo busara ya watu fulani hivi ningepotea kabisa.
Tukio hili sitalisahau maisha yangu yote. Nilijetanga nikaishi maisha yangu. Nilisamehe lakini sitasahau.
Je, wewe ulishawahi kusingiziwa jambo la uongo?