Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,638
Ilikuwa mwaka 2015 life after Chuo hapo sina ajira wala mishe ya kueleweka ya kuniingiziamtoto mmoja WA kichaga nilipigwa faini ya milioni moja kwa kumzalisha binti ilikuwa hatari.
- 500,000 faini ya kumzalisha Mtoto wao.
- 500,000 kumgomboa Mtoto dah.