mwipwa
Senior Member
- May 25, 2018
- 102
- 255
Strictly kwenye mada.. binafsi nilikuwa na huyo mrembo wangu... ᵐᵗᵒᵗᵒ ᵃᵐᵉᵘᵐᵇⁱᵏᵃ ᵇᵃˡᵃᵃ_ ,.. sio kwa kumpenda kule ,tulipendana zaid ya miaka mitano. Nilimpenda haswaa mpak nikahisi chizi ,waliowah penda wanajua..Jina lake likitajwa tu haijalish nilikuwa nafany nin lazma mawazo yahamie kwake..text yake ikiingia tu moyo paaaaah..!! call yake ndo usiseme.!!
Hakika nilipenda..na sizan nitakuja rudia huu upuuz wa kupenda haswa...kwan tulikuja achana kwa sababu ndogo sana..
Binafsi saiz naumuona wa kawaida sana kushind hapo zaman...hanivutii tena hat afanye nn
Text yake saiz naona kama zile za POLISI na MUHIMU kwa lain yangu,znanisumbua..
Tujulishane wakuu kama kuna mtu imeshawah mtokea hii kitu..na anaendelea nayo vp.::
Hakika nilipenda..na sizan nitakuja rudia huu upuuz wa kupenda haswa...kwan tulikuja achana kwa sababu ndogo sana..
Binafsi saiz naumuona wa kawaida sana kushind hapo zaman...hanivutii tena hat afanye nn
Text yake saiz naona kama zile za POLISI na MUHIMU kwa lain yangu,znanisumbua..
Tujulishane wakuu kama kuna mtu imeshawah mtokea hii kitu..na anaendelea nayo vp.::