kilama
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 2,655
- 1,766
Hii komenti yako imenichekesha sana.Naona na wewe unajaribu Bahati yako, maneno mazuri ya kumpamba ili umwingize Kwenye kumi na nane zako au siyo?!!.
Hii komenti yako imenichekesha sana.Naona na wewe unajaribu Bahati yako, maneno mazuri ya kumpamba ili umwingize Kwenye kumi na nane zako au siyo?!!.
Very true, hasahauliki.Ukishampenda hata mkiachana bado utaendelea kuwa na kijiba cha roho hata ujisahaulishe vipi...
haswaaaaaaa
Hapa kuna mwingine anapendwa tayari.
Ahahah.mkuu hiv bado kuna watu wanawekaga vocha!? Tena unatembea nazo kabisa?? Ahahah strange.huwezi shtuka tena maana una jitoto kaliiiii saivi
ungekua member wa chaputa ungeona balaa lake msg yake ikiingia
au akikubip tu ukute msd call (nakwambia ungekua unaweka vocha za akiba nyuma ya cover kama mimi)
labda awe hataki tu au kama mlikuwa marafiki wa kalamu. Ujasiri unaouzungumzia wa kugomea kupasha kiporo hamjaumbiwa.Huwa sipashi kiporo....period!
wapo mkuu hadi na kesho,mimi mmoja wao.Ahahah.mkuu hiv bado kuna watu wanawekaga vocha!? Tena unatembea nazo kabisa?? Ahahah strange.
Ahahahahah...mkuu mm kitamboo sikumbuki hata mwaka gan nimeacha kukwangua vochawapo mkuu hadi na kesho,mimi mmoja wao.
mtu anapokwambia ana shida ya vocha na sio wa mtandao wako huwa unamsaidiagaje??Ahahahahah...mkuu mm kitamboo sikumbuki hata mwaka gan nimeacha kukwangua vocha
Mm ni mdau sana wa voda na tigo so huwa natuma tu kw mpesa au tigo pesa.Uzur siku hiz haijalish mtandao unaweza tuma kiwango chochote kwa namba yoyote.Then yy atamalizana kununua juu kwa juu.mtu anapokwambia ana shida ya vocha na sio wa mtandao wako huwa unamsaidiagaje??
Mm ni mdau sana wa voda na tigo so huwa natuma tu kw mpesa au tigo pesa.Uzur siku hiz haijalish mtandao unaweza tuma kiwango chochote kwa namba yoyote.Then yy atamalizana kununua juu kwa juu.
Ndicho nimekua nikikifanya
Ujue huyo kashakuwa sugu kwa kuumizwa, ukiumizwa sana unakuwa sugu.Kuna watu ni mabingwa wa kujifanya hawaumizwi na mapenzi as if sio binadamu.
Kuna msemo mapenzi hayana baunsa,ni msemo halisia kabisa.
Sikaagi na namba kubwa ya pesa kwenye simu, juzi kati nikajisahau kuacha namba kuubwa ya pesa kwenye simu tahamaki eti napigiwa simu kuwa nimepata bonus toka Airtel, Nikashtuka nikamwambia we Customer Care subiri nikupigie, nikazima nikahamisha namba zangu halafu nikampigia na kumuuliza wewe customer Care? akawa anarukaruka nikagunduA KUWA WEZI WAKO KWENYE MAKAMPUNI ya SIMU.Ahahaha...mm sikaagi na hela kwenye moesa au tigo pesa zaid ya hela vocha.Kama ni ya mambo ya msingi ikitumwa humonbasi fasta naiingiza kunako takiwa.so kwenye simu kwakwel huwa sika na hela zaid ya 20,000/=...na ndionmaana huwa nazitumia kwa vocha
Ahahahah...mbali na hao..kukaa na hela nying kwenye cm huwa najaikuta natumia kwenye unplanned issues.Unakuta una 200k labda, na ni hela ya kazi..Mtu wakowa karibu labda mshkaji kakupigia anaomba um assist, ni rahis sana kuona okay.Sikaagi na namba kubwa ya pesa kwenye simu, juzi kati nikajisahau kuacha namba kuubwa ya pesa kwenye simu tahamaki eti napigiwa simu kuwa nimepata bonus toka Airtel, Nikashtuka nikamwambia we Customer Care subiri nikupigie, nikazima nikahamisha namba zangu halafu nikampigia na kumuuliza wewe customer Care? akawa anarukaruka nikagunduA KUWA WEZI WAKO KWENYE MAKAMPUNI ya SIMU.