Author
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 1,709
- 8,007
Habari wadau,
Moja kati ya mada muhimu za kuweka mezani siku hizi ni kuhusu uhusiano kati ya watoto na Baba. Imekuwa kawaida kwa mama kupewa kipaumbele kuanzia ngazi ya familia mpaka jamii.
Kuna wakati taasisi fulani ilifanya tafiti ndogo ya kuwaambia wanaume waliokuwa wanafanya kazi umo kuwapigia baba zao simu na kuwaambia "Nakupenda", Lilikuwa zoezi gumu sana kwa wengi wao.
Leo tuzungumzie swala la zawadi. Mdau tuambie:
1. Ulishawahi kumpa Baba yako zawadi?
2. Unakumbuka ni lini?
3. Ilikuwa zawadi gani?
Moja kati ya mada muhimu za kuweka mezani siku hizi ni kuhusu uhusiano kati ya watoto na Baba. Imekuwa kawaida kwa mama kupewa kipaumbele kuanzia ngazi ya familia mpaka jamii.
Kuna wakati taasisi fulani ilifanya tafiti ndogo ya kuwaambia wanaume waliokuwa wanafanya kazi umo kuwapigia baba zao simu na kuwaambia "Nakupenda", Lilikuwa zoezi gumu sana kwa wengi wao.
Leo tuzungumzie swala la zawadi. Mdau tuambie:
1. Ulishawahi kumpa Baba yako zawadi?
2. Unakumbuka ni lini?
3. Ilikuwa zawadi gani?