Mbanti
JF-Expert Member
- Apr 29, 2017
- 943
- 1,727
Imekuwaje kijana?Kwenye Maisha yako Ogopa sana Mwanamke unaemchukulia kama Mtoto mdogo kwako hasa age kuanzia 18 Nyie nyiee eehe hatari utashangazwa siku ukikaweka Angle 90
Imekuwaje kijana?Kwenye Maisha yako Ogopa sana Mwanamke unaemchukulia kama Mtoto mdogo kwako hasa age kuanzia 18 Nyie nyiee eehe hatari utashangazwa siku ukikaweka Angle 90
Duh, we jamaa! Unadhani watu wazima ni wazembe kiasi hicho? Bi mkubwa wako anayajua yote mliyokuwa mnafanya.
Na usishangae kujua ashawasikiliza mara kibao mkiwa mnafanya yenu
Mzee ulisukuma topee aiseeeNakumbuka ilikuwa mwezi wa kumi katikati wakati wa likizo nikaamua nile bata kwa kupiga bia na mbuzi wa kuchoma,sasa nikawa nimetoka baa moja inaitwa JM pale maduka mawili chang'ombe.Nimepiga bia za kutosha nikaona sio mbaya nikiwapigia kampani ili tuungane kwa ajili ya stori za hapa na pale,baada ya kuwapigia simu mshikaji kanitel tuonane pale liquid bar kurasini.Nikaondoka hadi pale kufika nikamkuta jamaa anapiga kilevi aina ya Serengeti light anachanganya na k.vant nikaona sio kesi niwapige round moja ya nguvu, wakapewa bia nne nne lakini pembeni kuna mdada akanilaumu Shem mbona mie umeniruka nikamjibu sikufahamu basi mshikaji akaniambia show yangu mpya nikaona sio shida nikampiga fungu sita za bia.Demu akaanza kupagawa akaona mshikaji atakuwa na hela akawa anakunywa na kujibebisha kwa ngu huku akivikata viuno kwa ustadi.Tuliendelea kunywa kufikia saa tano usiku akawa kalewa na mshikaji dizaini anaanza kuzima demu akaniombaniwasindikize Lodge nikawa nakataa ila demu akanilazimisha sana niwapeleke.Baada ya kutoka pale nikawapeleka lodge kufika pale mshikaji akajilaza kitandani akazima mazima,mie nikaaga niondoke heee demu akanidaka akafungua zipu akawa ananyonya ukuni aisee nikavurugwa plus pombe nikampa ushirikiano ila nikawa namuangalia mshikaji bado amelala fofofo nikambinua demu nikampiga pump za nguvu nikamkojolea.Basi demu akaniambia nataka nikupatie vitu adimu demu nikamtest vipi kwa Mparange unaendaga akaniambia wewe tyuu daah sitasahau nilipiga sana kisha nikasepa usiku mwingi.
Leta hii mkuu.. naisubiriiTakuja kushusha jinsi nilivyo mla sister kwenye vimbweta wakati nipo chuo au wakanisa mta ni mind
Halafu moyoni akasema yeees Nina mwanaume hapaDuh, we jamaa! Unadhani watu wazima ni wazembe kiasi hicho? Bi mkubwa wako anayajua yote mliyokuwa mnafanya.
Na usishangae kujua ashawasikiliza mara kibao mkiwa mnafanya yenu
Halafu moyoni akasema yeees Nina mwanaume hapa
Huyo ni malaya, jamaa alimchukua ili atimize wajib siku hyo (prob 97%)Daah miaka ya nyumba kama mwaka 2016 hivi
kuna siku nmeenda kwa braza mmoja hivi jiran yetu nilikua nataka niweke simu chaji..sasa nkakutana na braza nje kabsa ya uzio anaagizwa aende sehemu.. na maza ake..sasa sikua na wazi tofauti nkaingia ndani nkaingia hadi room kwake..nashtuka demu kalala kajifunika akaushtuka anashangaa sura ngeni..nkasalimia shem mambo akajibu poa..nkaanza kutafuta chaja..nikaweka..sasa kwa alivolala shepu imejichora kwa shuka kichwa cha chini kikasema noo...shetani nae akakaa pemben nifanye naturally bila kumsingizia.. basi nkaanza kumshika bila kusema kitu..hakatai.. anauliza braza yupo wapi? Sasa akili ikakumbuka kaenda soweto..dah soweto ni mbali.. nkasema nkikomaa nakula..basi demu akatoa shuka yupo uchi aisee..fasta nkafungua zipu nkatoa mkuyenge huu hapa.. nkamwambia shika..akajaa..akaanza kunyonya mkuyenge daah.. nikainamisha kwa bedi nikato mbaaa to mbaaa mno..nikakojoa..nikachukua namba chapu na simu nikachomoa nikasepa kimyaa.. demu nikawa namcheki nato mbaa saanaa daaah!!!!
N.B.WAZEE WANAWAKE NI DHAIFU....
Unashangaa kumbe rikiboy ni baba akoSiku ID zetu zikafunguka tukajua Nani ni nani. Ikatokea kama wikileaks. Kuna watu watatamni ardhi ipasuke wajifiche. Tukae mguu sawa hii inaweza ikawa ndo next deal
Unaulizia gesi NtwaraMzee ulisukuma topee aiseee
Utakuta Bujibuji ndio Majaliwa Kassim au Rikiboy ndio Ndugai.Siku ID zetu zikafunguka tukajua Nani ni nani. Ikatokea kama wikileaks. Kuna watu watatamni ardhi ipasuke wajifiche. Tukae mguu sawa hii inaweza ikawa ndo next deal
simulizi Bora kuliko zote JFKWA WASOMAJI WAPYA
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
...
"Hodiii!, hodi hodi humu ndani"
Nilibisha hodi huku nikigonga mlango kwa kutumia kipande cha chuma kilichoning'izwa maalum kwa ajili hiyo.
"Karibu, fungua mlango umeshindikwa tu"
Sauti nyororo ilisikika kutoka ndani.
"Starehe"
Nilijibu huku nikisukuma mlango mzito wa mbao ulio nakshiwa kwa ustadi mkubwa. (Neno 'starehe' enzi hizo ndio lilitumika kujibu pindi ubishapo hodi na kukaribishwa)
Nilipofungua mlango nikakutana na korido ndefu nyembamba (wakati huo iliitwa 'ukumbi' japo siyo kama kumbi tuzijuazo leo), pembeni kulia na kushoto kulikuwa milango, wa kushoto ulikuwa mpana ambapo ulikuwa wazi ukiwa umesitiriwa na pazia zuri jepesi lenye 'kuangaza' (transparent) la rangi nyeupe, upande wa kulia mlango ulikuwa umefungwa, na milango mingine mitatu pia ilikuwa imefungwa.
Mbele mwisho wa korido kulikuwa na mlango ambao ulikuwa wazi kiasi cha kuweza kuona nafasi kubwa iliyokuwepo na sehemu ya uzio wenyeji waliita uani (sikuhizi ukisema uani watu watajuwa ni maliwatoni)
************
"Karibu tupo huku varandani"
Ile sauti nyororo iliendelea kunikaribisha na sauti hiyo ilitokea upande ule wa pazia jepesi angavu ambapo nilivyoingia nikatambua kuwa pale palikuwa ndiyo sebuleni.
Kabla ya kuingia nilivua viatu vyangu (raba - Morogoro shoes), havikutoa harufu mbaya kwa kuwa ndiyo nimevivaa kwa mara ya kwanza baada ya kuvinunua, vilikiwa vya rangi ya bluu na soksi zangu nyeupe. Hapo mlangoni kulikuwa na viatu vya sandarusi vyenye ukubwa tofauti pea tatu... nikajuwa utaratibu wa kuingia humo ni pamoja na kuvua viatu.
Nilipekenyua pazia kulia na kushoto na kupiga hatua kuvuka kivingiti cha mlango na kukanyaga zulia zuri la manyoya manyoya.
Ndani niliwakuta wanawake wawili na mtoto mmoja mdogo wa chini ya miaka mitano. Wale wanawake mmoja alikuwa mwafrika, amejitanda vizuri ushungi huku akiwa ameshika ukili (alikuwa anasuka mkeka).
Wote walikuwa wamekaa chini na kuegemea mito midogo, hapakuwa na viti bali meza ndogo iliyo chinichini sana jirani na zulia.
Yule mwanamke wa pili alikuwa mweupe, asili ya Asia, na sikuweza kufahamu maramoja kama alikuwa Mwarabu ama Mhindi. Alikuwa anakoroga maji ya rangirangi akichanganya sukari na yale maji, bila shaka alikuwa anaandaa "ashkrim", watoto walikuwa wanaita hivyo. Zilikuwa zile "icecream" (malai) ambaozo maji huwekwa kwenye "kijikopo" kidogo kisha kuchomekwa kijiti cha chelewa ambapo maji yakiganda kile kijiti huwa ni sehemu ya kushika ashkrim hiyo.
"Karibu uketi"
Alisema yule mwanamke 'mwarabu' huku akiendelea na kazi yake.
Ndipo nikajuwa kuwa ile sauti nyororo ni ya huyo mama.
"HAMIDAAAA"
Aliita yule mama wa kiarabu.
Mara nikasikia sauti mlango fulani ukifunguliwa na kisha hatua za kivivu zikija upande wetu kutokea koridoni.
Pazia lilisogezwa pembeni akachungulia msichana aliye jitanda ushungi.
"Abee"
Yule binti aliitikia huku akimuangalia yule mama mkoroga malai.
"Hebu kamletee mgeni kinywaji"
Yule binti aliondoka bila kusema neno.
"Mzee Mjumbe nimemkuta?"
Niliuliza hivyo baada ya kuwasalimia kama ilivyo desturi na kujitambulisha.
"Tangia alivyoenda msikitini bado hajarudi, bila shaka atakuwa pale Shibam wanapocheza keram na zuna"
Alijibu yule mama huku ameinama akiendelea na kazi yake.
*************************
Michezo ya Keram, Zuna, Karata, Bao ilikuwa maarufu sana kwenye 'kijiwe' cha kahawa na tangawizi pale Shibam na sehemu nyingine jijini Dar es Salaam. Mambo na mipango mbalimbali ilijadiliwa hapo ikiwemo siasa, michezo nk.
Mara yule binti alirudi huku ameshika magi iliyojaa sharubati na mkono wa kushoto ameshika bilauli ya bati.
Alimimina ile togwa kwenye ile bilauli mbele yangu kisha akanipatia. Ilikuwa togwa ya mtama uliokobolewa na kutengenezwa kwa ustadi mkubwa.
Maeneo ya FAYA (fire brigade) hivi sasa, zamani palikuwa na mti wa muembe mkubwa ambapo palikuwa maarufu sana kwa biashara ya togwa hadi eneo hilo likapewa jina la "mwembe togwa"
Pia haikuwa ajabu kukuta sinia yenye maji iliyowekwa chupa za 'fanta' ndani mkiwa na togwa, imezibwa na kipande cha gazeti iliyokunjwa vema kwenye kila chupa, wengine waliweka chupa moja tu ama stuli iliyofunikwa kawa bila kitu ndani, wateja hutambua moja kwa moja kwamba hapo kuna biashara fulani.
**********************
Niliipokea ile bilauli na kuigigida (kuinywa kwa haraka) kwa nilikiwa nataka niondoke niwahi kupeleka ujumbe sehemu nyingine kwa kuwa hapo tayari niliwaachia moja ya barua nilizokuwa nazo.
Nilikuwa nina karatasi kadhaa (barua) za kuwasambazia wajumbe wa nyumba 'kumi kumi' (waliitwa hivyo) kutoka kwa Katibu Kata, Kata ya Magomeni...
Niliwaaga wale wenyeji mle sebuleni na kuanza kuondoka. Yule binti naye akachukuwa ile bilauli pekee na kuacha magi yenye togwa iliyobakia pale sebuleni...
***********
Wakati navaa viatu pale koridoni, Hamida (siyo jina lake halisi) naye akawa anakuja kutoka uani (siyo maliwatoni) huku ameshika bilauli nne mkononi...
Nikawa namuangalia huku nikiwa nafunga kamba za viatu. Mara ghafla mtandio ukateleza akabaki kichwa wazi...
Moyo ulinilipuka paa! Kwa kumuona Hamida vizuri waziwazi...
Aliinama haraka haraka na kuchukuwa mtandio wake lakini kwa bahati mbaya tena zile bilauli zikamponyoka na kuanguka sakafuni...
=
=
=
.......
****
Hivi ndivyo nilivyokutana na Hamida wangu...
Nilianzisha uzi wake kwa kuwa stori hii haikuwa "kimasihara"
Pitia uzi huu Uhusiano wangu kimapenzi na "Hamida"
______________
James Jason
karibu sana
Moja ya simulizi bora ila sio kuliko zotesimulizi Bora kuliko zote JF
Msamehe, huyo atakua hajapitia simulizi ya Khumbu humu... Inasisimua na hutachoka kuisoma...Moja ya simulizi bora ila sio kuliko zote
nimeisoma hiyo haina majaabu zaidi ya tako la khumbuMsamehe, huyo atakua hajapitia simulizi ya Khumbu humu... Inasisimua na hutachoka kuisoma...