mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 23,951
- 131,271
Hahah...Michaela Bradshaw when in tribal council, Survivor: Game Changers soon after JT was blind sided...
Asante kwa hiyo GIF
Hahah...Michaela Bradshaw when in tribal council, Survivor: Game Changers soon after JT was blind sided...
Asante kwa hiyo GIF
Hatari mkuu...ila hhii ya yogurt umenikumbusha mbali kuna mrembo mmoja tulinunua yogurt na akailamba off 🍆...wanawake hawa jamani watamu balaaaHii ni fresh from shamba, kionjo toka kwenye himaya zake. No 3, sijamaliza (nazipa no iwe rahisi kukumbuka draft zangu)
Kuna hili shombe moja nlipiga nalo chuo, wakati huo nafanya Masters yeye alikua akimalizia program zake za Udaktari wa binadamu. Kile chuo watu wa humanities na health tunakutana maktaba na canteen, na kwa kua tuko wachache ilikua rahisi kujuana kwa sura.
Mwaka jana mwishoni, nikawa nauguza moja ya hospitali za A grade mjini, mara paap huyu hapa. Tukafanya catch up kidogo, tukabadili no na kucheka kiasi, maana chuo alikua akinata hata salamu hatoi. Akasaidia mgonjwa wangu akapata tiba fasta sana.
Sikuwahi kueka comment kwenye status zake, hua naangalia na kupita hivi. Sasa usiku ulopita nkafanya hivo.
Kuna msanii mmoja alikua anafanya show ndogo, na watu wachache tukapata complimentary tickets kwenye hiyo event usiku wa jana. Nilienda kwa kua nimeletewa na mtu nnaheshimiana nae sana.
Nmefika kwenye event, nkaenda simama nyuma kabisa, karibu na open kitchen, nkiangalia wanaongia na kutoka, na kuliona vema jukwaa. Mara paap, namuona yule shombe, akiwa kavaa vema na kupangilia nguo zake. Ile rangi yake, ikisadifiwa na zile nguo zake, na ule urefu wake. Nkajaribu kumpotezea nkarudi kuangalia status za watu, ikawa kaeka picha ya ile event. Nka-comment "hey beautiful, am here" akauliza nilipo nkamwambia nilipo. Akaja na the full gang ya girls alokua nao, na wote ni visu.
Alikuja na moto wake, akankumbatia nkaona hapa kanunua kesi, nkamchombeza "unanukia kimalkia, na mfalme wako nipo". Nkatambulishwa kama "bestie" kwenye ile gang na wakaniomba niwe kwenye meza yao. Sikukataa, nkasogea na kuendelea kusogeza masaa, na story fupi fupi, nkijitahidi kutoongea sana.
Tumetoka akaomba niwaendeshe, maana nlimwambia sikua na usafiri ntachukua Uber. Nkawasambaza gang lake makwao, kisha tukabaki wawili. Nkampeleka hadi kwake, ikafika wakati wa kuondoka, nmesimama nkaona huu upuuzi hapa lazima nile.
Nkabadili laini ya data na kueka isiyo na data wakati naita Uber, ikawa inaonesha inatafta lakini hamna kinachoendelea, nkaigiza kama nmeanza kukasirika ili kupata mwanya wa kucheza na hisia zake, na kweli ililipa, akaanza kujisikia vibaya na anataka anipeleke kwangu. Akaomba aingie ndani aoge na kubadili kisha anipeleke. Tulipokua tunarudi ndani nkamshika kiuno kimaskhara, akashtuka kidogo. Akawa anajitoa lakini nmekaza, na kumuuliza unaenda wapi, hebu nsikie hayo marashi kabla hujayaoga. Nkamkumbatia huku nkimvutia kwangu, na kumuomba nmuogeshe, nkijaribu kutafta chimbo la nyege zake lilipo. Nlipofika kwenye ile milima miwili, alishtuka nkajua naam nmefika penyewe.
Nguo zilianza kupunguzwa palepale, shombe likihema halielewi linaguswa wapi linaachwa wapi, nkamuuliza bafu liliko nkamkokota taratibu hadi bafuni. Nkaanza mtia maji ya kichokozi, nkamtesa kwa mkono umpakao sabuni, wakati huo ukuni upo kwenye ule mstari wa milima miwili, mikono ikiosha mbele ya mwili wake kichokozi. Mpaka tunamaliza kuoga, kuna mtu kadondosha dafu bafuni.
Tumerudi ndani kujifuta maji, nkamuomba yoghurt, akanletea. Nkammwagia kusudi, na kuanza kuiramba, naiweka sehemu za kichokozi na kuiramba, shombe alihadaika na akahangaika. Nlipoona sasa yuko tayari, nkajaribu kutia kidole, kisha nkakitoa akawa anantazama, nkakiramba kile kidole huku nkitabasamu. Akashika mdomo kwa kushangaa, huku akisema nlijua utafuta nkamwambia panua tueke huku nkicheka.
Usiku ulikua mfupi, pia mrefu... Miaka kumi ya karibuni sijakutana na mtu low miles kama ile. Hazijatumika kabisa, nlitia mpaka kabadilika rangi. Nkaja kuacha ilipokua kavu, usingizi tuliolala tumeamka leo saa5 asubuhi, kaamka anakuta nshamchezea mno, na ashalainika nkaitafta morning glory. Nikanywa chai, nkamnyoa vuzi, akapika nkamtia kimoja tena, nkaoga na kurudi home. Nmeamka nikakumbuka kuna uzi wetuu.
NB: 1. Watieni vizuri, huyu shombe leo yote anagombana na mchumba ake hapa kisa hapokei simu, na ukuni ulimnogea.
2. UKIMWI upo, kavu inaua... Maskhara at your own risk.
Wa tz weeeengi wavivu kusoma na ndio maaana watu husain mkataba bila kuuusoma kumbe ndani ya huo mkataba kuna sheria kali matokeo yake inakula kwakoHuwa nkikuta stori ndefu huwa sisomi maana inanichosha ... just fupisha lenga point
Hiyo ya kuchinja Mbuzi ni kuvunja ukoo kama sikosei.
Tamu huua, chungu huponyaWajuba endeleeni kuusaka ukimwi kwa mbupa za bure,
Hakuna masikhara wala nini
Mnapenda kitonga
Ile siku anatamani ingekua ni lita 5. Akina asas na Darfresh hawajui hizi dhambi zetuHatari mkuu...ila hhii ya yogurt umenikumbusha mbali kuna mrembo mmoja tulinunua yogurt na akailamba off 🍆...wanawake hawa jamani watamu balaaa
Nyingine jaribu nutella nayo uone utamu wake au demu anywe savvannh alafu akipe blowjob huku unaimwagia 🍆 savannah....utapiga nduruuuuIle siku anatamani ingekua ni lita 5. Akina asas na Darfresh hawajui hizi dhambi zetu
Ma-introvert kuna sehemu tunakwama, ma-legend mmeshanielewa!Mkesha wa Mwaka Mpya.
Soo ni ijumaa majira ya saa 2 usiku nipo kwenye issue zangu za kujenga taifa, napata call kutoka kwa mshkaji wangu.
Sasa hapa kabla sijaendelea naomba niweke kitu kimmoja sawa, mimi ni Introvert na sio mtu wa kutokatoka sana.
Soo hata hii siku plan ilikua nimalize ishu zangu nkalale.
Mshkaji akanambia, we boya leo lazima tukanywe, kwa sababu ilikua ijumaa na mkesha, nkaona isiwe case.
Mwana akanipa Location, nkatimba.
Kufika nkawakuta wana washaanza kufurah kitambo, mm nlikua mtu wa 5 pale.
Akaja mhudumu akachukua order, maisha yakaendelea.
Hapa sasa ndo mambo yalipoanzia.
Napata call, nipo kwenye kelele ikabid ntoke ntafute sehem iliyotulia, namaliza kuongea na simu naona mdada wa makamo anabishana na mtu, anavutia, nafikiri alikua anabishana na mteja.
Mimi nacheck tu lile sakata, wakamalizana, ikabid niimsalimie, nkamuuliza shida nin, akasema nsijali alikua anadeal na wateja wasumbufu (Baadae nlikuja kugundua ndo manager wa ile Bar)
Akaniuliza ndo naingia, nkamwambia hapana niko na washkaji tumechill ndan, kama utani nkamwambia karibu.
Akacheka akasema atakaribia.
Nimeingia ndan nimeshasahau kama hata nlikutana nae nje, ghafla naona mdada amekuja kwenye meza yetu, akawasalimia wana, then akaja akasimama pembeni yangu, nkamwambia karibu, tukuagizie nn, akasema yeye yupo kazin kwa muda ule hawezi kunywa labda baadae baada ya kumaliza kazi, nkamwambia fresh.
Sasa maajabu yalianzia hapa.
Wale washkaji zangu wa2 walikua na madem zao soo nlikua alone pale bored, na nahisi huyu dada alinotice ile issue, akaamua kunipa company.
Then next thing you know, 10 minutes in, yupo pale pale tunapiga story, hadi washkaji wakawa wanashangaa ile bond tuliyokua nayo pale.
Manzi akasema ngoja aende akaangalie kama kila kitu kinaenda sawa, nkamruhusu, akanambia narudi muda sio mrefu.
Washkaji kuona vile ikabid waanze kuuliza huyu dada nimemjulia wap mbona hawajawah muona na mm, nkawaambia nimemjulia pale pale, tena nje nlivyoenda kuongea na simu, washkaji na wale mamanzi wao wakakataa kata kata.
Nkawapuuza.
Majira kama ya saa 7 usiku hivi, manzi akarudi tena, this time akawa ana kinywaji mkonon, nkamuuliza muda wa kazi umeisha, akanambia anakaribia kumaliza kwaio ameona anze mdogo mdogo, safari hii akavuta kiti akakaa pembeni yangu, tukawa even sasa, kila mtu na manzi ake.
Wakuu nsiwachoshe sana na maelezo, ila kifupi tu ni kwamba baada ya kama saa 1 hivi tulikua tumeshaongea mengi kuhusu yeye, kazi yake na ofcourse mahusiano yake.
Ila hakugusia kabisa swala la kua na mtoto.
Mwanangu mmoja kuona vile, akanitonya, kumskiliza akanambia hii Mama mzee usiilazie damu.
Nkajisemea potelea pote, ngoja niombe game.
Suprisingly, ile mama haikukubali ila haikukataa pia.
Aliishia kutabasamu tu.
Nkawa nshausoma mchezo, saa 9 hii hapa, washkaji wakahama kiwanja, mm nkakomaa na ile Mama.
Saa 10 usiku, akasema tusepe, tuko safar ile naanza kutafuta hotel nbook, nashangaa ananiuliza unataka kubook hotel ya nin, twende ukapajue kwangu, hahahah Wanawake.
Nlipigwa sana na butwaa ila kwa sababu sisi wanaume niwatu wa kujitoa mhanga nkaamua njitoe mhanga, nkakubali, alikua ameshaanza kuwaka, hao mpaka kwake.
Maelezo mafupi kuhusu yeye.
Mrefu, Ameenda hewani, Maji Kunde, Ana shape lile la kiumama, Tako kubwa na mguu mmoja hivi wa hatari sana.
Anaishi na dada wa kazi na watoto mtoto wake.
Hii nlikuja kuijua asubuh.
Kufika kwake hao straight chumbani, sasa hapa nseme tu ukweli, hawa wamama watakuja kutuua vijana, binafsi wana nafasi yakipekee kwenye moyo wangu na wabarikiwe wote kwa ukarimu wao.
Amenzidi 6 Years.
Picha linaanza mwanaume naambiwa lala kitandan halafu tulia, ikabidi niwe mpole nifate maelekezo tu, wakuu alichonifania yule mwanamke inabaki kua siri yangu mpaka kesho.
Ila kama una pressure, unaweza pata mshuko wa moyo.
Niwe muwazi, wala sitopepesa maneno, kwa alichonifanyia nkasema huyu hakuna kitu ntaacha kumfanyia, nlipiga rim ya ulimi back n forth (Malenjidi washaelewa hapa) mpaka akaanza kusquirt, kwann aianze kupiga yowe, msala huu, kuja kushtuka godoro lote lishaloa vibaya mnoo, ila naanza kupiga pumbu, mtu hata hajisomi huko, piga sana pumbu aiseee staki hata kukumbuka.
Uzuri wake, hakubani wala hakunyimi hata kidogo, pamoja na hali yake bado aliweza kutoa ushirkiano mwanzo mwisho.
With a happy ending ofcourse.
Kuja kumaliza, tukatandika mashuka chin tukalala, nakuja kushtuka saa 4 asubuh, namcheck yeye bado kalala, nkaoga nkavaa ile nasepa akashtuka, ananiuliza naenda wap? Eti usiondoke nsubiri tutaondoka wote jion.
Nkasema usintanie, nkamcash nkachukua number yake nkamwambia ntakucheck baadae (Hapa hakunruhusu kizembe kusepa)
Natoka seblen nakuta dogo anaangalia Tv na Beki 3, hii ilinvuruga mentally, ilinfanya jiulize maswali mengi sana.
Ila baadae tulikuja kusettle kila kitu.
She's a mother of one, na ni mpambanaji, binafsi nimemkubali sana.
Hana Mume.
Hii mama mpaka leo hii bado napiga na sina mpango wa kuacha kupiga, niwe mkweli tu.
Her Sex game in A One.
Halafu ni mtu asiyejua kuvunga, akijiskia atasema. Na mm nakua mwanaume kwenye hili, SIKATAI.
Huu mwaka naona umeanza vizuri kwangu, sema invoice za hapa na pale zimeshaanza kuhusika ila kwa kweli mm kwangu sio issue, i can handle them.
Am OUt.
Umenikumbusha kitu kuna demu nililitia guest sasa likaniambia linataka linywe kwanza basi nikalipa hela likanunua Kilimanjaro likaingia nazo zikiwa kwenye kile kikapu cha plastikiNyingine jaribu nutella nayo uone utamu wake au demu anywe savvannh alafu akipe blowjob huku unaimwagia savannah....utapiga nduruuuu
Ahsante Kiongozi, nimeuona! Kheri ya Mwaka Mpya pia!Mkongwe
Heri ya mwaka mpya
Mkuu matusi wa si issue kivile maana unaweza tukana mpaka kesho na haitobadilisha kitu,Af nyie mafa***la mbona neno kubaka mnalimisuse sana yani kila kitu mnaiga mabasha wenu wa magharibi. No wonder mnasema binti wa form 4 nae et anabakwa wakati nyege zake zinasababisha avue chupi mwenyewe
Kwa hiyo hapo huyo maza amebakwaje sasa, au amelazimishwa? Basi tuseme Dr ndo kabakwa maana ametengenezewa mazingira mpaka ameshawishika.
Acheni uzwazwa wa kuiga kila kitu kwa hao matupinkele
Mkuu umesema vyema, sema hayo ni majaribu kweli mnayopitia maana kiuhalisia yafaa kuwa na moyo mgumu sana kuyashindanajua ni kinyume na maadili ya kazi, kuhusu kula kwa mpalange baadae nilisikitika kidogo lakini no way ishatokea.
Very sure inanitesa Mimi pia wanaona nna ring kidoren lakini madem wananifata wenyewe tena ving'ang'nizi balaa,,,nadhani inapasa nibadiri muonekano niwe na muonekano wa kigesta Sana labda itasaidia mana Ni ngumu kuziacha pissi Kali na Ni hatari mana najiona kabisa naelekea pazia la kuzimu😪Sijui kwanini? Ila usipokuwa naye! Kupata ni ngumuuuu.
Suchly siwez kukupa big up kijana ni ujinga tu imagine uyo mzee unamuheshim nae anakuheshim then anagundua hilo nin kinafata hapo kama sio mauaji kama ni mke wa mtu imekuwa verified bs subiri hyo karma itakurudia tuvizuri
siwezi mwacha aiseee si kwa shooo hizi anazo nipaaaa
hatujali, kikubwa nyapu imeliwa unexpectedlyWajuba endeleeni kuusaka ukimwi kwa mbupa za bure,
Hakuna masikhara wala nini
Mnapenda kitonga
dah kwamba kikaumana tenaNo 2.
2004, mkoa fulani wenye baridi zake nyingi kama friji... Nmeamka asubuhi, dada wa binti nnaotoka nae (classmate na mtoto wa mwenye nyumba) kaja kwao kusalimia, ndani napiga magoma ya Daz Nundaz na Inspekta.
Akaja azima kanda asikilize kwake, jioni kaileta anasema haimfai maana hana asali wa moyo kashatendwa na mumewe. Nkamwambia kaa tusikilize, nkaanza muimbia pale.