Corosive
JF-Expert Member
- Oct 16, 2020
- 1,464
- 2,884
Baamed hata hainog,maana most of them ndo kazi yaoTunda kimasihara jana
Nimepita grocery mida ya saa tano usiku wakiwa wanafunga funga
Mhudumu alikuwa ananidai chupa zake sita akanikumbusha. Nikemjibu zipo apo getto ni jirani na hiyo grocery, nikamwambia twende nikakupe chupa zako mchana nasahau akakubali kufika getto nikamalizana nae kimasihara sana
Ameondoka amefurah nimebak na chupa mbili nimemwambia sijazifungua azifuate leo kasema poa
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app